Alhuda Newspaper 17/07/2025
Afrika, Waafrika wajiulize kulikoni
• Uzalendo umeondoka, kutumiwa kumetamalaki, uzezeta unachomoza
• Utovu wa nidhamu, chuki, ubaguzi miongoni mwa vijana na wazee, mila na desturi hatarini
• Wako wapi Nyerere, Kwame Nkrumah, Kaunda, Mondlane, Samora...