Kila Mwafrika, akidhamiria, anaweza kuwa milionea au bilionea. Mimi nakataa dhana kwamba Waafrika tumelaaniwa. Kama ni laana, kwanini mabilionea hawa wa Afrika hiyo laana haijawaathiri?
Hawa hapa baadhi tu ya mabilionea Waafrika na mali zao (net worth in billions of dollars):
1. Aliko Dangote...
Iwapo kuna makundi mawili makubwa ya wafia dini wa Yesu na wa Muhamad je ni kundi lipi ambalo liko sahihi na linapata msaada zaidi ya lingine kutoka kwa kiongozi wao?
Na kwanini kuwe na makundi mawili kwa wafia dini wa kiafrika wakati Mungu ni mmoja tu?
Je makundi ambayo hawako kundi la Yesu...
Hapo ndipo utajua watoto wa nje wa baba na wale wanaosadikika kuwa ni wake kwa maana baba alipita na mke wa mtu,
Utawajua wadeni wake kila mara wanakuwa karibu na mke wake au kaka zake marehemu,
michepuko yake inakuwa around kama wataweza kugawiwa chochote.
Kuna wale speculators: wanaomchukia...
Kuna watu ni naive, wanadhani injustice ikifanyiwa watu fulani basi hilo haliwahusu. Na pia huwa kuna kasumba ya watu kuabudu Mwenye nguvu. Kwa watu wa aina hii makosa yote huwa ni ya asiye na nguvu. Kwao Mwenye nguvu akimtemea mate asiye na nguvu hilo siyo tatizo, ila asiye na nguvu naye...
Haiwezekani mtu uishi kwa vitabu vya hadithi na mistari ukawa mzima labda mfu.
Haiwezekani Mungu akuletee watu wengine nje ya jamii yako eti ndiyo wakuoneshe njia ya mbinguni.
N.K.
Ukichunguza mitambo yote iliyopo duniani, utagundua imetengenezwa na wazungu, wachina, wajapani n.k
Sasa najiuliza, sisi waafrika pamoja na ndugu zetu waarabu, tumetengeneza mitambo ipi hapa duniani?
Kwa sababu nikiangalia ata kitendea kazi changu cha kukwangulia nyanya hapa jikoni, naona...
WAAFRIKA kiujumla kinachotudumaza ni UTUMWA ambao bado umebaki kwenye fikra zetu kuanzia nyanja za kijamii, kisiasa, kiuchumi na kiutamaduni. Na kama taifa la Tanganyika tunahitaji ukombozi wa kifikra dhidi ya nini mahitaji yetu ya msingi, malengo yetu, na miongozo yetu kuyafikia hayo mahitaji...
📸Tokyo, Japan
NB: Mada hii imekuwa direct translated from English to Swahili kwa kutumia ChatGPT 4
Chini ya mradi ujulikanao kama JICA Africa Hometown Initiative, Shirika la Ushirikiano wa Kimataifa la Japan (JICA) limeweka miji ifuatayo nchini Japan kuwa "miji ya nyumbani" kwa raia wa baadhi...
Je MUNGU atakubali kutuchoma moto tena sisi waafrika?
Hiyo sio double punishment?
Toka mwanzo tunaiishi jahanam hapahapa duniani kutuchoma tena moto si utakua uonevu?
Naomba MUNGU atusamehe sisi waafrika kama huo moto upo sisi tupewe msamaha kama special group au ww unasemaje?
Eeh Mungu...
Mungu" unayemwamini ni utendaji wa moja kwa moja wa kundi fulani la watu lililofanikiwa kuwatawala babu zako kwanza. Kabla ya Wazungu na Waarabu kuleta miungu yao, babu zenu walikuwa na miungu yao pia.
Ubinadamu umeamini katika si chini ya miungu 5,000 tofauti katika miaka 10,000 ya historia ya...
Katika nchi nyingi za Afrika, tumeona jambo la kushangaza lakini la kusikitisha: mtu akipata tu ladha kidogo ya madaraka, ghafla anasahau misingi ya utu, uwajibikaji, na usawa ambayo yawezekana alikuwa mwanaharakati wa kuvipigania hadi akaaminiwa kupewa cheo alichonacho.
Akishapata madaraka...
Utasikia mfia dini mmoja wa kiafrika akijigamba kuwa yeye ni mwana wa Yesu na Yesu ni Mungu wasiomwamini Yesu hawatauona ufalme wa Mungu/Mbinguni.
Je ni kweli wasiomwamini yesu siyo watu wa Mungu?
WaTanzania bado tunazidi kuonekana wapumbavu kila uchwao sijajua ni elimu yetu ya kimagumashi au nini au kwasababu waafrika au waTanzania tumeishi kwenye misingi ya kuwaona wanasiasa au viongozi ni waungu watu na inashangaza kiukweli kwasababu Mwanasiasa au kiongozi akifariki tu tunakimbilia...
Hiyo mistari yenu ya biblia na quruan mmewekewa kwaajili ya marejeo ni kitu hamjui tu kwani hata nyimbo/miziki ya Kiafrika ina maana na mafundisho mazuri tu kuliko huo upuuzi wenu usioenda na matukio na wakati kila leo ni yaleyale hayabailiki.
Situkeni!!
UTANGULIZI:
Wiki hii, uteuzi wa Balozi mpya wa Ghana nchini Korea Kusini umezua mjadala mkubwa mitandaoni, si kwa sababu ya sifa zake au sera zake, bali kwa sababu ya sura yake. Balozi huyu ni Mghana mwenye asili ya Kiasia – jambo ambalo kwa baadhi ya watu limechukuliwa kama "kashfa" kwa...
asili
balozi
changamoto
friji
ghana
hata
haya
hoja
jamiiforums
kisasa
korea
korea kusini
kuhusu
kuliko
kusini
kuweka
makosa
mjadala
mweupe
nchini
sana
uteuzi
vyakula
waafrika
wenye
Huu ndiyo ukweli,eti wasomi wooooote hao ndani ya Afrika sijui madokta,maprofesa, nk bado kuna wajinga na masikini wa kumwaga ndani ya Afrika sasa hao wasomi wamesoma nini kama siyo UJINGA waliosoma?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.