Wamatumbi: Amkeni Kutoka Matrix!

Wamatumbi: Amkeni Kutoka Matrix!

de Gunner

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2021
Posts
10,062
Reaction score
20,013
Enyi wamatumbi acheni kuwa kama nguruwe.

Acheni kuruka ruka kama nyani mkichekana nyuma zenu.

Acheni kupoteza potential zenu mkifanya jambo lile lile kwa miaka 50.

Hamkuumbiwa kufanya kazi kama mashine.

Hamkuumbiwa dharau na u fukara wa kupewa matusi na dhihaka kutoka kwa binadamu wenzenu walio wazidi makablasha.

Hamkuumbiwa utumwa wa kukubali utawala uwaondolee uhuru.

Enyi wamatumbi amkeni kutoka usingizi wa matrix. Acheni kuwa wajinga ilihali nyie tayari ni werevu hata kabla hamjaenda shuleni.

Basi, kama wewe ni mmatumbi mwenye nongwa. Amka uwahi kazini ukaendelea kufanya jambo lile lile kwa miaka 50. Alaf uje uuguze magonjwa nyemelezi kama kisukari, presha na obesity kwa hela ya mafao.

Hii sio sheria though kila mtu ana free will.

Nimemaliza.
 
Hakuna anayependa kufanya kazi kama punda.
Ila mazingira yanalazimisha
Kupata kipato cha kukidhi mahitaji
Kufikia malengo binafsi
Kuboresha maisha yao na familia zao.
Sio mazingira ni zao la mfumo , watu wachache watumikisha wengine, hata watumishi wa umma wanatumikishwa na CCM. Kwa hiyo , hakuna tatizo ni yale yale tu , hata ufike migodoni wapo cheap labor na mapapa ndo kama hao wanamwaga hela .
 
Sio mazingira ni zao la mfumo , watu wachache watumikisha wengine, hata watumishi wa umma wanatumikishwa na CCM. Kwa hiyo , hakuna tatizo ni yale yale tu , hata ufike migodoni wapo cheap labor na mapapa ndo kama hao wanamwaga hela .
Kufanya kazi kwa bidii sio tu Africa hata huko kwa wenzetu
Unataka kusema watu weupe wanabweteka ila mabomu ya nucleur yanajiunda, magari yanajitengeneza viwandani yenyewe?

Mbona kama sisi waafrika ndio tumebweteka wenzetu wanafanya kazi kama punda kutuzidi
 
Kama kwa siku hauna uwezo wa kuingiza hata 200k ni marufuku kutufokea sisi wamatumbi
Nipo kwa shemeji na bado😂
nakula maisha, hela si kitu kwangu.. Sina shida ya hela, na sioni raha ya hela kama sina amani. So mmatumbi mjinga ndie anaye dhani pesa ndo kipimo cha utu.

Ni ujinga wa mwisho kabisa, yaani ni sawa na nyani arukae tawi hadi tawi for the sake of pleasure(pesa) wakati kuna shina moja linaweza kuwa na fault akaanguka na kupoteza maisha.
 
Nipo kwa shemeji na bado😂
nakula maisha, hela si kitu kwangu.. Sina shida ya hela, na sioni raha ya hela kama sina amani. So mmatumbi mjinga ndie anaye dhani pesa ndo kipimo cha utu.

Ni ujinga wa mwisho kabisa, yaani ni sawa na nyani arukae tawi hadi tawi for the sake of pleasure(pesa) wakati kuna shina moja linaweza kuwa na fault akaanguka na kupoteza maisha.
Ndio sheria yetu wamatumbi, hautaki ndio hivyo hivyo ,unataka ndio hivyo hivyo.
 
Ndio sheria yetu wamatumbi, hautaki ndio hivyo hivyo ,unataka ndio hivyo hivyo.
Ni sheria wa wamatumbi wajinga. Na hiyo sio dogma tu ni uhalisia unao persist kwenye DNA za asilimia kubwa ya binadamu wote.
 
Kufanya kazi kwa bidii sio tu Africa hata huko kwa wenzetu
Unataka kusema watu weupe wanabweteka ila mabomu ya nucleur yanajiunda, magari yanajitengeneza viwandani yenyewe?

Mbona kama sisi waafrika ndio tumebweteka wenzetu wanafanya kazi kama punda kutuzidi
Lazima watu wafanye kazi , haijalishi unapata kiasi gani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom