vyuo

  1. 44mg44

    JamiiForums Tanzania Dirisha la pili la kudahili wanafunzi wa vyuo vikuu linafunguliwa lini?

    Mwenye kujua naomba anijuze,nataka nijiandae mapema ili nisipitwe tena kama nilivyopitwa na dirisha la kwanza
  2. J

    JamiiForums Tanzania CCM Taifa yalaani mauaji na kifo cha mwenyekiti wa UVCCM vyuo vikuu mkoani Iringa komredi Mlelwa. Rais Magufuli aagiza wauaji kusakwa

    Kwa uchungu na masikitiko makuu CCM imezipokea taarifa za mauaji ya mwenyekiti wa Uvccm vyuo vikuu mkoa wa Iringa komredi Mlelwa. Polepole amelitaka jeshi la polisi kufanya uchunguzi haraka na kuchukua hatua stahiki za kisheria. Rip Mlelwa Maendeleo hayana vyama! Mkuu wa mkoa wa Njombe...
  3. kalisheshe

    JamiiForums Tanzania Mwenyekiti wa Seneti Vyuo Vikuu Iringa auawa na watu wasiojulikana

    Ndugu wana CCM, Ndugu yetu, kijana wetu Emmanuel Polykap Mlelwa hatunae tena. Nimepigiwa simu na baba yake mzazi, Diwani mstaafu wa kata ya Madope-Ludewa kuwa ameuwa na watu wasiojulikana eneo la Kibena. Mwili wake ulihifadhiwa hospitali ya Kibena leo ni siku ya sita ndiyo umetambuliwa...
  4. G

    JamiiForums Tanzania Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na vyuo vya mifugo 2020/2021 (September intake)

    Unaweza kutembelea Mwanzo |WAKALA WA VYUO VYA MAFUNZO YA MIFUGO (LITA)
  5. kavulata

    JamiiForums Tanzania TCU angalieni upya kwenye vyuo vyenu

    TCU hongereni sana kwa jitihada za kusimamia utoaji wa taaluma na uendeshaji wa vyuo vikuu nchini. Kwavyovyote vile kazi yenu sio ndogo. Hongereni sana pia kwa kutoa miongozo mbalimbali ya taratibu za namna ya kuendesha na kufanikisha mambo mabalimbali kwenye elimu ya juu. Angalizo tu ni namna...
  6. R

    JamiiForums Tanzania Swali kuhusu selection za vyuo vya afya Diploma

    Hivi hamnaga second selection ya chuo kwa watu wa afya kwa Diploma?
  7. Masiya

    JamiiForums Tanzania NACTE Guide BOOK ya Diploma and Certificate za Vyuo Vikuu

    Juzi juzi niliandika haya baada ya kusoma tangazo la udahili la UDOM Sasa leo nimekutana "THE NATIONAL COUNCIL FOR TECHNICAL EDUCATION CERTIFICATE AND DIPLOMA PROGRAMMES OFFERED BY UNIVERSITIES ADMISSION GUIDEBOOK FOR 2020/2021" kwenye web page ya NACTE ambayo haikuwa na maelezo yeyote...
  8. Lordrank

    JamiiForums Tanzania Kwa matokeo haya naweza kuchaguliwa DIT?

    Khabari za wakati huu wakuu, wakuu nilikuwa naomba ushauri wenu maana nataka kutuma maombi DIT nikasome diploma in biomedical equipment engineering. Je kwa ufaulu wangu huu naweza kuchaguliwa kweli!? O-level. Biology-B. Physics-B Chemistry-B Mathematics-C Geography-C History-C English-B...
  9. kikoozi

    JamiiForums Tanzania Nataka kujua vyuo vya afya vyenye bei nafuu katika ada

    Habari za siku, nataka kujua vyuo vya afya vinavyotoa elimu ngazi ya degree (DOCTOR OF MEDICINE) vyenye ada nafuu ukiachana na 1. MUHAS, 2.UDSM, 3. UDOM, 4........., 5........... 6.........
  10. Jiwon kim

    JamiiForums Tanzania Naombeni ushauri kwa course hizi na vyuo

    Habari wakuu, Mim nimemaliza kidato cha 6 mwaka huu comb ya CBG, nimepata hivi: Chem D Bios E Geo D Nilikua nauliza: Je, naweza somea (IT na Environmental Science) pya msaaada course zingine mnazozijua wakuu na vyuo pya ambavyo naeza enda.
  11. J

    JamiiForums Tanzania Serikali yawaasa wananchi wanaotaka kusoma Elimu ya Juu kutotumia wanaojiita mawakala au washauri wa kujiunga na Vyuo Vikuu

    Tume ya Vyuo Vikuu (TCU) imewataka wananchi wanaotaka kusoma elimu ya juu nchini kuwasiliana moja kwa moja na vyuo husika na kamwe wasiwatumie watu wanaojiita mawakala au washauri wa vyuo vikuu. Katibu mtendaji wa TCU, Prof. Kihampa amewataka wanafunzi wenye maswali au kutaka ushauri na...
  12. Rebeca 83

    JamiiForums Tanzania Vyuo vya Kilimo viwape priority wanafunzi kutoka Kijijini

    Hello JF, 75% of Tanzanians depends on Agriculture and most of these people live in rural area, it makes sense if the government wants to invest then Rural areas should be one area of focus. One way of achieving this is to educate Tural Youth. These people know well their 'environment' yet...
  13. MAHANJU

    JamiiForums Tanzania Wanazuoni na Wanafunzi wa vyuo vikuu, Bodi ya Mikopo (HESLEB) haiwatendei haki. Amueni hatima yenu 2020 hii, mnaweza kuitosa CCM

    Kama navyosema siku zote mimi ni kada hai wa CCM na naendelea kukipenda CCM. Lakini nitafurahi sana chama changu kiadabishwe awamu moja au kichachafwe ili kipate adabu kisirudie makosa yale yale na kiache kudharau wanyonge wahali ya chini. KWANINI NASEMA CHAMA CHANGU KIADABISHWE? 1. Serikali ya...
  14. R

    JamiiForums Tanzania Msaada tafadhali: NACTE watafungua lini maombi ya kujiunga na vyuo vya kati ukiacha vya Afya?

    Mpaka sasa maombi ya vyuo yaliyofunguliwa ni kwa vyo vya afya. Je, vyuo vingine apart from Afya maombi yanafunguliwa lini? Mwenye taarifa anijuze. NACTE tunaomba majibu!
  15. Z

    JamiiForums Tanzania Join instruction za Vyuo vya Serikari vya Afya

    Nilikuwa naomba mnijuze kuhusu Join Instruction za Kozi za Afya kwa Vyuo vya Serikari, je vipi zimetoka au bado kwa anayejua naomba anijuze maan na dogo langu amechaguliwa Chuo cha Afya Kibaha. Pia, nikiangalia kwenye account yake ya NACTE uthibitisho naona hamna kipya asee.
  16. Determinantor

    JamiiForums Tanzania CHADEMA ije na Sera ya kufufua Vyuo vya Ufundi

    Team, Tunaishi kwenye ulimwengu ambao ukosefu wa ajira rasmi umekua tatizo kubwa sana, Tanzania haiwezi kujitenga na ukweli huu. Sasa, kwakuwa Serikali sikivu ya CCM imeua vyuo vya Ufundi na vile vya jamii ni vyema CHADEMA ikaunda na kutamka wazi wazi kuvifufua vyuo hivi. Vyuo hivi baadhi...
  17. T

    JamiiForums Tanzania CCM inaenda kuondolewa na watumishi wa Umma, Wahitimu wa Vyuo, Wakulima na wafanyabiashara

    Watumishi wa umma hawajapata nyongeza ya mishahara kwa miaka mitano, kupanda madaraja na vyeo ni ndoto, uhamisho wa kubadilishana ni hadithi Wahitimu wengi sana wa vyuo hawana ajira tangu 2015 mpaka sasa, ajira ya moja kwa moja ilikoma Mei 01, 2015 enzi za Jakaya. Wakulima wanadhulumiwa mazao...
  18. gunnar andersen

    JamiiForums Tanzania Ni kozi ipi ya afya niombe zaidi?

    Habari wadau wa Elimu, Samahani naomba kuuliza maswali mawili. Kwa matokeo haya; PHYSICS -D CHEMISTRY -C BIOLOGY -B MATHS -D ENGLISH -C (i) Je, niombe chuo gani cha afya cha serikali ili niweze kukubaliwa kwa urahisi? (ii) Ni, kozi ipi ya afya niombe zaidi?, asanteni.
  19. A

    JamiiForums Tanzania Nikiona wanafunzi wa Sekondari na Vyuo wanaenda shule, naona kama wanaenda kupoteza muda na pesa

    Maana sasa ajira hamna (statistically ajira zipo chache mno), wanaenda kusomea nini cha ziada? mm naona elimu ya form 4 inatosha kabisa kuishi kitaa, mtu akishajua hesabu ya kujumlisha, kutoa, kugawanya, kuzidisha, kusoma na kuandika kiswahili na kingereza, bookeeping inatosha vizuri tu, + kama...
  20. STUKA M1

    JamiiForums Tanzania Tunaotaka kuomba Bachelor degree vyuo mbalimbali 2020/2021 tukutane basi

    Vijana wenzangu naona Siku zinakwenda mbio, form 6 ndo hao washaanza mitihani na kwa wale waliopo vyuo vya kati kumalizia diploma naona semester ndo hvyo tena inakatika mdogomdgo. Bila shaka next month(July) bodi ya mikopo wataanza kutoa announcement about uombaji wa mikopo mwaka huu. Hv...
Back
Top Bottom