kalisheshe
JF-Expert Member
- Mar 19, 2020
- 1,863
- 3,478
Ndugu wana CCM,
Ndugu yetu, kijana wetu Emmanuel Polykap Mlelwa hatunae tena. Nimepigiwa simu na baba yake mzazi, Diwani mstaafu wa kata ya Madope-Ludewa kuwa ameuwa na watu wasiojulikana eneo la Kibena.
Mwili wake ulihifadhiwa hospitali ya Kibena leo ni siku ya sita ndiyo umetambuliwa.
Hakika nikiwa kama sehemu ya familia, hakika nipigo kwa familia, pia ni pigo kwa CCM.
Haya ni matukio mabaya sana yanayoendelea kutokea katika nchi yetu na yanatakiwa kukemewa na kila mwenye akili.
Ndugu yetu, kijana wetu Emmanuel Polykap Mlelwa hatunae tena. Nimepigiwa simu na baba yake mzazi, Diwani mstaafu wa kata ya Madope-Ludewa kuwa ameuwa na watu wasiojulikana eneo la Kibena.
Mwili wake ulihifadhiwa hospitali ya Kibena leo ni siku ya sita ndiyo umetambuliwa.
Hakika nikiwa kama sehemu ya familia, hakika nipigo kwa familia, pia ni pigo kwa CCM.
Haya ni matukio mabaya sana yanayoendelea kutokea katika nchi yetu na yanatakiwa kukemewa na kila mwenye akili.