Clark boots
JF-Expert Member
- Jun 5, 2017
- 6,401
- 5,525
Naomba kufahamu jamani kwa hivi vyuo vikuu amabvyo vitadahili wanafunzi vyuo vikuu, vitafungua dirisha USIKU huu(SAA 6 USIKU..?)
Daah mkuu mawazo yako ni Kama yanguNaomba kufahamu jamani kwa hivi vyuo vikuu amabvyo vitadahili wanafunzi vyuo vikuu, vitafungua dirisha USIKU huu(SAA 6 USIKU..?)
Ndo nataka nijue MrDaah mkuu mawazo yako ni Kama yangu
Mkuu Mimi nilikosa vyote nimepigwa nyundoMkuu kwani ww chuo ulipata au ulikosa? Tuanzie hapo kwanza
Sikuwahi kuomba kwa firstcroundMkuu kwani ww chuo ulipata au ulikosa? Tuanzie hapo kwanza
Vipi wameshafungua dirisha?Saa sita hii hapa amkeni amkeni
daaah,mbona kama bado au vp unaanza upyaaaVipi wameshafungua dirisha?
vp utaratbu mtaalamuSaa sita hii hapa amkeni amkeni
kwamba?Kuna taarifa nimezisikia sijui kwel
SUA walifungua dirisha leo SAA 6 usiku.. Wako vizur sana nilikuwa nawafuatilia
Ndio hata wapya ndowana apply.Hivi inawezekana pia kwa waombaji wapya au hii ni kwa wale wali omba round ya kwanza tuu na wakakosa..
Kwa lugha nyingine jee, unaweza ukaomba chuo kingine upyaa tofauti na ulivyoomba mwanzo?