TCU kesho tarehe 5 watafungua dirisha la pili la udahili wa wanafunzi vyuo vikuu au mpaka tarehe 12?

44mg44

JF-Expert Member
Jun 16, 2019
2,135
2,141
Ndugu mwenye taarifa anisaidie maana niko bush sana, nikijua mapema itapendeza maana nitaanza mapema maandalizi ya safari kwenda kutuma maombi!

karibuni ndugu zangu.
 
Hivi kama uliomba chuo ukufanikiwa kuchaguliwa na unataka kuomba tena chuo kile kile unalazimika kulipia tenaa
 
Back
Top Bottom