Wapiga kura wanaohamishwa kimajukumu na wanafunzi waliofungua vyuo na shule kidato cha tano

kimbisimbisi

Member
Sep 30, 2020
10
4
Mh. Mwenyekiti wa NEC, kuna kura ambazo zitakosekana/zitapungua kwenye ushindi wa kishindo kwa Rais wetu Mpendwa JPM. Kwa kweli ninaumia sana kwa kura yangu kupotea. Naomba mtuwekee utaratibu wa wapiga kura ambao wamehamishwa vituo hivi karibuni na wanafunzi waliokwenda kuanza vyuo na shule kidato cha tano ambao wengi walijiandikisha walipokuwa nyumbani na sasa wamepangiwa shule na vyuo.

Kura hizi ni nyingi na ni muhimu sana kwa ushindi wa kishindo kwa Rais wetu. Mwenyekiti wa NEC, naomba utuwekee utaratibu wa kupiga kura za Rais peke yake ili tusije kuchaguliwa mtu ambaye ataiuza nchi yetu na kubadili katiba ili mashoga wawe huru kujiuza mitaani.

Maendeleo haya chama
 
Hizi ni Tabia zao za miaka yote ndiomaana wanaogopa KITAMBULISHO CHA TAIFA KUTUMIKA KUPIGA KURA CCM ni woga sana.

Hii nchi ni masikini sana hatukuwa na ulazima wa kuwa na kitambulisho cha mpiga kura na uraia kwa pamoja, wangetumia kitambulisho cha Taifa kupiga kura ili watu wengi washiriki uchaguzi kupiga kura kituo chochote.

Mbinu yao kubwa imekuwa kuchelewesha vitambulisho vya Uraia, kufungua shule na vyuo, kuwaita vijana Jeshini ili wasishiriki uchaguzi.

NASHUKURU MUNGU CCM INAENDA KUANGUKA .
MAGUFULI ATASHINDWA.
 
Spana MALAYA.
Inapiga kotekote
😂😂😂😂😂😂😂😂Spanner Malaya Dah nimecheka balaaa.
IMG_20201002_131824.jpg
 
Utaratibu mbona upo wazi, kupiga Kura katika Kituo ulichojiandikishia
Ndiyo, sasa kwa wale waliopata dharula wasipige kura? waweke utaratibu na sisi ambao tumehama tupige kura japo ya rais tu, diwani na mbunge tuwaachie wenyeji
 
Back
Top Bottom