Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,468
- 113,582
Wanabodi,
Katika pita pita yangu mitaa ya jijini Dar es Salaam hii suku ya nwisho ya kampeni, nimekutana na Basi maalum la kampeni ya CCM, nilipouliza, ndipo nikajulishwa hao ni
vijana wahitimu wa vyuo vikuu, wameamua kujiunga pamoja kuunda kikundi cha CCM Campaign Bus ili kuikampenia CCM, kwa kutumia basi maalum waliloliita "CCM Campaign Bus", basi hilo wakati wa rush hours, linapita mabarabari kuangazia roots zilizoelenewa, na kusaidia kusafirisha bure abiria, ku supplement usafiri wa dala dala, hivyo kuwafikia watu wengi, wa kawaida ambao hawapati muda wa kuhudhuria kampeni.
Basi hili la CCM Campaign Bus, limeisaidia sana CCM kufahamika hivyo kuvuna kura kibao.
Wasikilize vijana hawa
Paskali
Katika pita pita yangu mitaa ya jijini Dar es Salaam hii suku ya nwisho ya kampeni, nimekutana na Basi maalum la kampeni ya CCM, nilipouliza, ndipo nikajulishwa hao ni
vijana wahitimu wa vyuo vikuu, wameamua kujiunga pamoja kuunda kikundi cha CCM Campaign Bus ili kuikampenia CCM, kwa kutumia basi maalum waliloliita "CCM Campaign Bus", basi hilo wakati wa rush hours, linapita mabarabari kuangazia roots zilizoelenewa, na kusaidia kusafirisha bure abiria, ku supplement usafiri wa dala dala, hivyo kuwafikia watu wengi, wa kawaida ambao hawapati muda wa kuhudhuria kampeni.
Basi hili la CCM Campaign Bus, limeisaidia sana CCM kufahamika hivyo kuvuna kura kibao.
Wasikilize vijana hawa
Paskali