majebsmafuru
JF-Expert Member
- May 1, 2017
- 453
- 628
Hivi Watanzania tuna hulka ya namna gani ya maisha?! Siku za sikukuu iwe Idd el Fitr Pasaka na Xmas kwanini wafanyabiashara wetu wanapandisha bei za kila kitu juu?!
Wenzetu wanaodai kuishi Dunia ya kwanza tunasoma wako tofauti, iwe vyakula hasa kuku na nyama, usafiri, nguo na bidhaa za kila aina utasikia wanaweka discount za kila aina, sisi kwanini tunaumizana kihivi hasa ukichukulia ni sikukuu za kidini?!
Hizi tamaa zaja kwasababu gani?!
Wenzetu wanaodai kuishi Dunia ya kwanza tunasoma wako tofauti, iwe vyakula hasa kuku na nyama, usafiri, nguo na bidhaa za kila aina utasikia wanaweka discount za kila aina, sisi kwanini tunaumizana kihivi hasa ukichukulia ni sikukuu za kidini?!
Hizi tamaa zaja kwasababu gani?!