sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,032
-kuweka hamira kwenye wali
-kupika nyama zilizokaa mda mrefu (kuna namna ya kukata harufu),
-kupika mizoga (zipo tetesi kuku wanaotupwa hukaangwa na kuuzwa buku kipande)
-viungo viungo viliyo expire kama mchuzi mix, royco na nazi za kwenye makopo.
-kutumia mafuta ya transfoma ama ya nguruwe ambayo ni bei rahisi
-kupika mchele wa plastiki
-kuchanganyiwa chakula cha jana na chakula cha leo
-n.k.
Serikali haina chombo maalum kukagua vyakula, Hali hii inawazuiaje mama ntilie, wenye migahawa, wenye hoteli, n.k. wasishawishike kufanya mambo tajwa hapo juu.
Hali hii inaenda mbali zaidi, kwenye migahawa ya mtaani unaweza kuta mwenye mgahawa anajipikia chakula chake, hali chakula anachowapikia wateja, hii huwa inatia mashaka.
Huenda hali hii ndiyo inayosababisha hata vijana wengi kupata matatizo mazito ya kiafya.
-kupika nyama zilizokaa mda mrefu (kuna namna ya kukata harufu),
-kupika mizoga (zipo tetesi kuku wanaotupwa hukaangwa na kuuzwa buku kipande)
-viungo viungo viliyo expire kama mchuzi mix, royco na nazi za kwenye makopo.
-kutumia mafuta ya transfoma ama ya nguruwe ambayo ni bei rahisi
-kupika mchele wa plastiki
-kuchanganyiwa chakula cha jana na chakula cha leo
-n.k.
Serikali haina chombo maalum kukagua vyakula, Hali hii inawazuiaje mama ntilie, wenye migahawa, wenye hoteli, n.k. wasishawishike kufanya mambo tajwa hapo juu.
Hali hii inaenda mbali zaidi, kwenye migahawa ya mtaani unaweza kuta mwenye mgahawa anajipikia chakula chake, hali chakula anachowapikia wateja, hii huwa inatia mashaka.
Huenda hali hii ndiyo inayosababisha hata vijana wengi kupata matatizo mazito ya kiafya.