Je, Naweza kuishi Dar kwa mshahara wa laki tatu?

Elias K

JF-Expert Member
Oct 9, 2021
213
605
Tafadhali Husika na kichwa Cha Uzi Huu.

Mimi ni Job seeker, nimepata kibarua Cha laki tatu Dar es Salaam. Sijawahi kufika Dar ila nasikia maisha ya huko ni Magumu kwa sababu ya bei ya vyakula, Pango na Usafiri. Naomba kuuliza, kwa kiasi hicho tajwa, nitamudu maisha ya Dar?!

Ahsante.
 
Unaish bila wasi ila kaish mbagala, kkoo na mansense na jitahd umilik baiskel kwajili ya harakat za hapa na pale ilikupunguz nauli hapa na pale ili ukishi kitajili hapo perday yako n 10,000/- kama kaz yako itakuw haina posho

Karbu sana jijin kila ktu kipo kasoro cha Buree
 
Unaish bila wasi ila kaish mbagala, kkoo na mansense na jitahd umilik baiskel kwajili ya harakat za hapa na pale ilikupunguz nauli hapa na pale ili ukishi kitajili hapo perday yako n 10,000/- kama kaz yako itakuw haina posho


Karbu sanajijin kila ktu kipo kasoro cha Buree

Sent from my vivo 2015 using JamiiForums mobile app
Shukrani sana mkuu, ila sentensi ya Mwisho umenivunja mbavu😅
 
Tafadhali Husika na kichwa Cha Uzi Huu.

Mimi ni Job seeker, nimepata kibarua Cha laki tatu Dar es Salaam. Sijawahi kufika Dar ila nasikia maisha ya huko ni Magumu kwa sababu ya bei ya vyakula, Pango na Usafiri. Naomba kuuliza, kwa kiasi hicho tajwa, nitamudu maisha ya Dar?!

Ahsante.
Kama Anna Makinda alishindwa kuishi Dodoma kwa millions kadhaa, sijui kama ndugu yangu utatoboa, labda kiujanjaujanja, napo ujue unajitia kwenye risk ya kutiwa kiberiti
 
Utaishi tena maisha ya amani sanaaa, kuliko hata mwenye take home ya zaidi ya 5k aloko dsm

nakutabiria utatoboa maisha hadi utakuja kutuelimishaaa

pia anzisha kabiashara ka kuuza karanga apo utakapoishi na nyingine peleka ofisini wauzie wenzioo ... kg = 3500 (brand nzurii) ukifunga kwa mifuko na kuongeza thamani kwenye kg 1 utapata faida ya buku 2.

2000*21 (siku za kazi) = 40,000 --- hiii inakutosha matumizi madogomadogo

hahaaaa welcome bongo landiii
 
Apate 300,000 na saving iwe 270,000!! Matumizi kwa mwezi 30,000 meaning
  • Hali dinner assuming anapewa chakula kazini
  • Hanywi maji
  • Hanunui sabuni
  • Hanunui mafuta ya kujipaka
  • Hanunui vocha ya simu
  • Hanunui mshumaa
  • Nauli
Mshumaa wa nini tenaa
 
Utaishi tena maisha ya amani sanaaa, kuliko hata mwenye take home ya zaidi ya 5k aloko dsm

nakutabiria utatoboa maisha hadi utakuja kutuelimishaaa

pia anzisha kabiashara ka kuuza karanga apo utakapoishi na nyingine peleka ofisini wauzie wenzioo ... kg = 3500 (brand nzurii) ukifunga kwa mifuko na kuongeza thamani kwenye kg 1 utapata faida ya buku 2.

2000*21 (siku za kazi) = 40,000 --- hiii inakutosha matumizi madogomadogo

hahaaaa welcome bongo landiii
Hahahaa hahahaaaa daah
 
Mimi Mshahara wangu hauna kima maalum unacheza 160,000 mpaka 180,000.

Naishi sio vizuri ila mambo yangu yanaenda naishi na kufanya Saving vizuri, na save mpaka 100,000 na hii ndio ajira yangu ya kwanza na nategemea iwe ajira yangu ya mwisho, mapaka mwezi wa nne nategemea kuwekeza Biashara ya mtaji wa 1.3M ...I mean ninauwezo mkubwa wa kupata mtaji na kuyafanya mitikasi kibao.

Wakina sie tuliowai kuishi bila kuingiza 100 kwa siku 170,000 inatosha sana.
 
bila shaka unasikiasikia story za kidimbwi,juliana, next door, 777, nk basi usisogee kabisa hayo maeneo....

Dar ni sehemu rahisi sana kuishi ila inategemea na wewe mwenyewe tu uchaguzi wako...
tafuta chumba cha 30k ishi kibaharia tu godoro chini...hakuna mbwembwe...
piga kaza mwaka nunua bodaboda...muda wako wa ziada kamata vichwa....hiyo hiyo unaenda nayo job unakula vichwa.....nina hakika kwa formula hiyo ndani ya 5yrs utakuwa sio wewe..
 
Back
Top Bottom