leonaldo
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 2,585
- 3,179
Kwa tulio mdharau Armstem, tunaenda kushuhudia mambo ambayo hatujawahi kuyashudia huko nyuma, ameanza na kampuni ya Airtel na Vodacom yakihusishwa na kushiriki kadhia uvunjaji wa haki za binadam nchini Tanzania.
Armstedam tuache tupumue hata kidogo waombe Mungu kuwa wanachotuhumiwa nacho kiwe sio kwe tofauti na hivyo watalipa fidia mpaka wakimbie
Armstedam tuache tupumue hata kidogo waombe Mungu kuwa wanachotuhumiwa nacho kiwe sio kwe tofauti na hivyo watalipa fidia mpaka wakimbie