hata kama unapiga simu kutoka tigo kwenda tigo
we dogo acha uongo, otherwise upo sehemu ambapo hakuna coverage ya tigo ikapelekea kushare BTSNdiyo Mkuu
yaani unapiga tigo-tigo unaambiwa asante kwa kutumia vodacom? hii chai imezidi hiriki
Sio code swichCode mixing hiyo
SwitchSio code swich
Au salio lako halitoshi kuna chizi mmoja alinifanya naweka salio mara mbili kumbe kaifunga no yake nakuja kumwambia ananichekakuna code watu sikuiz wanaweka ukipga cm unaweza jibia namba haipo au imekosewa au haipatikan lakn uktuma msg ina deliver
Hahhaha kaka imenikuta jana hii ya songeshaHao walikua wananidai SONGESHA juzi wananitumia msg "ndugu mteja asante kwa kurejesha deni lako" kuangalia kumbe wamepita na hela yangu Mezani.
Kuna girl kaniblock. Nimemtongoza mwaka jana sasa akaelekea kukubali majuzi hapa ila akaja na mbinu za kunichuna. Eti anataka mapenzi yetu yawe na uwekezaji kwa vile ana ideas za hela ila hana mtaji. Bahati mbaya mimi sirembi, nikamuuliza baba yako kakosa kukupa mtaji mimi nitoe boom nikupe?kuna code watu sikuiz wanaweka ukipga cm unaweza jibia namba haipo au imekosewa au haipatikan lakn uktuma msg ina deliver
Hahaha ulidhani wanasamehe kirahisi rahisi hao jamaaHao walikua wananidai SONGESHA juzi wananitumia msg "ndugu mteja asante kwa kurejesha deni lako" kuangalia kumbe wamepita na hela yangu Mezani.