vitabu

  1. Red Giant

    Umesoma vitabu gani mwaka 2019?

    salama wakuu, kwanza naomba kupropose kuwa tarehe 9 desemba kila mwaka uwe mwanzo wa kujadili usomaji wetu wa vitabu wa mwaka husika huku tukisherekea uhuru wa kifikra utokanao na usomaji na pia sababu tunahitaji muda wa kujadili kabla mwaka hujaisha. Kama mods wataona inafaa wawe wanatuwekea...
  2. Babu sea

    Msaada: Nitapata wapi vitabu vya muziki vya Lista Eliya?

    Ninamfahamu Lista kama mwanamuziki mkongwe wa Tanzania lakini hivi sasa anaishi Japan, anajihusisha pia katika shughuli za uandishi wa vitabu mbalimbali vya muziki. Ameeandika vitabu vinavyo husu maswala mbalimbali kama vile upigaji wa kinandaupigaji wa gitaa n.k Nimevitafuta sana hivyo vitabu...
  3. Victor Mlaki

    Maktaba ya ujerumani (Bavaria) imefikia uamuzi wa kurejesha vitabu vya freemasons vilivyoibiwa miaka 80 iliyopita

    Imekuwa ni sherehe kubwa kwenye imani hii ya freemasons baada ya kurejesha vitabu vilivyoibiwa wakati wa utawala wa Nazi na inakadiriwa kuwa zaidi ya miaka 80 iliyopita. Vitabu hivyo inasemekana vina maelezo kuntu ya matambiko "rituals" ya ibada za ki-freemasons.
  4. Makirita Amani

    Nimesoma vitabu 655 na haya ni mapinduzi makubwa saba yaliyotokea maishani mwangu

    Mwaka 2014 nilipata maono ya kusoma vitabu 500 ndani ya miaka mitano. Hii ni baada ya kuanza kusoma vitabu mwaka 2012 na kuona manufaa yake kwenye maisha yangu, na hapo kuamua kuweka nguvu zaidi kwenye kujifunza kupitia usomaji wa vitabu. Maono hayo niliyashirikisha kwenye makala niliyoandika...
  5. GuDume

    Kaptula la Marx: Unafahamu kwanini kitabu hiki kilipigwa marufuku? Waandishi wetu na Siasa zetu

    Huyu E. Kezihalabi ni nani? Euphrase Kezilahabi alizaliwa 13 Aprili 1944 huko Namagondo kisiwani Ukerewe kilichopo ndani ya Ziwa Viktoria. Babake Vincent Tilibuzya alikuwa msimamizi wa kijiji na Euphrase alikuwa na ndugu 10 yaani wavulana 5 na wasichana 5. Alisoma shule ya msingi ya Nakasayenge...
  6. U

    Naomba kujua duka la vitabu vya Hisabati vya kidato cha tano na cha sita Jijini Mbeya

    WanaJF ninaomba kwa yeyote anayejua mahali Bookshop ya vitabu vya hesabu vya A-level hapa jijini Mbeya ninaomba anijuze! Ninatafuta vitabu vya Tranter, Shayo na Backhouse
  7. Analogia Malenga

    Mawazo ya Kezilahabi juu ya usomaji wa vitabu

    ''..ulianza lini kutoamini…” “nilipoanza kusomasoma na kusitasita” Nagona Kezilahabi, ni mtu anayeona umuhimu wa kujisomea vitabu, katika kila kitabu chake lazima akupe picha ya mtu kusoma kitabu. Na namna mtu husika anavyobadili fikra zake kupitia usomaji wa vitabu. Katika hii dunia, watu...
  8. Paula Paul

    Bookworms of JF, what's your favorite book (s) and why?

    Hi, I used to think that reading was boring until I found books that really sparked my interest. Reading became important to me because it’s fun and it teaches me new things. It keeps my mind active and inshape and it makes a difference for me if I go long periods without reading books, my mind...
  9. benny gilbert

    Kwanini Eric Shigongo hatoi vitabu kama zamani?

    Ukiwa kama mwandishi mchanga unajifunza nini kupitia Eric Shigongo? Waandishi wengi wanatamani kutoa vitabu lakini hawajiuliza kwanini Eric Shigongo hatoi vitabu kama zamani, kuna siri gani? Unaweza toa maoni yako kuhusu soka la vitabu vya hadithi kwa sasa na kwanini Eric Shigongo hatoi vitabu...
  10. R

    Waandishi wa hathi/simulizi kwa Kiingereza wanatafutwa

    Kwema wana JF? Narudi tena na hili jambo ambalo nimeliandika humu kwa muda mrefu lakini nashangaa ni watu wawili tu wamenitafuta. Kama kuna mtu yeyote wakiwemo wanafunzi anayeweza kuandika au amekwishaandika hadithi za kubuni au za kweli na angependa ziuzwe kama kitabu duniani pote tafadhali...
  11. Makirita Amani

    Vitabu 50 Unavyopaswa Kuvisoma Kabla Mwaka Huu 2019 Haujaisha Kama Unataka Mafanikio Makubwa.

    Rafiki yangu mpendwa, Maarifa yote mazuri ambayo yanaweza kukutoa hapo ulipo sasa na kukufikisha kule unakotaka kufika yapo kwenye vitabu. Majibu ya changamoto zote unazopitia sasa, ambazo zinakukwamisha sana, yapo kwenye vitabu. Na kitu kipekee kinachokuzuia wewe usiwe na yale maisha...
  12. R

    TOVL - Maktaba ya mtandaoni inayohimiza matumizi ya kompyuta kwa watoto

    Habari wana JF .. Nimekutana na hii habari mwananchi nikaona ni vizuri kushare Rainer Mwashu, mtaalamu wa utengenezaji wa mifumo ya kompyuta, ambaye kwa sasa ni muajiriwa wa Mamlaka ya Bandari, iliyo chini ya Wizara ya Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi , ametengeneza maktaba ya mtandaoni kwa...
Back
Top Bottom