vitabu

  1. Ryzen

    Vitabu bora kwa ajili ya Finance

    Habari wanaJF, ni tumaini langu humu kumejaa watalaamu wa Finance and Accounting. Mie ninahitaji kujifunza na kusoma Finance personally.. kwa hivyo nahitaji recommendations ya vitabu Bora equivalent kwa Dip au Degree ya Finance. Kama utaniwekea na PDF itakuwa poa zaidi. Asanteni.
  2. Maria Nyedetse

    Msaada wa vitabu

    Habari za asubuhi wanajamvi, Samahani naomba mwenye vitabu hivi PDF anisaidie tafadhali 1. Rich Dad Poor Dad 2. Why A students Work for C students 3. Cash Flow Quadrant Vitabu vyote hivi vimeandikwa na mwandishi Robert Kiyosaki. Kama kuna vitabu vingine mfano wake pia itakuwa vizuri
  3. Mohamed Said

    Hili ni juma zima la vitabu duniani

    HILI NI JUMA ZIMA LA VITABU DUNIANI 5 ''Rajabu Ibrahim Kirama Jemadari wa Vita Kuwa Jemadari wa Uislam'' Mwandishi: Mohamed Said Mchapaji: Readit Books Ltd Dar-es-Salaam Ukoo wa Rajabu Ibrahim Kirama wa Machame Nkuu umehifadhi kwanza kichwani historia ya wazee wao kwa simulizi kutoka kizazi...
  4. Mohamed Said

    JUMA LA VITABU ULIMWENGUNI

    LEO SIKU YA VITABU DUNIANI 1 "The School Trip to Zanzibar" Mwandishi Mohamed Said Mchapaji: Africa Proper Education Network, Dar es Salaam Hiki kitabu kimechapwa mwaka jana 2020 na kinawafaa sana watoto wa shule za msingi kwa kujifunza Kiingereza na historia ya Zanzibar. Kupitia kitabu hiki...
  5. Mohamed Said

    Leo ni siku ya vitabu ulimwenguni

    LEO SIKU YA VITABU DUNIANI 1 "The School Trip to Zanzibar" Mwandishi Mohamed Said Hiki kitabu kitabu kimechapwa mwaka jana 2020 na kinawafaa sana watoto wa shule za msingi kwa kujifunza Kiingereza na historia ya Zanzibar. Kupitia kitabu hiki mwanafunzi atajifunza mengi katika maisha ya kila...
  6. sky soldier

    Kwanini Waandishi maarufu wa vitabu Tanzania wengi wao bado uchumi haujakaa sawa?

    Nadhani ni wengi hapa tumewahi kununua vitabu katika safari zetu za elimu. Unakuta kuna kitabu flani karibu kila mwanafunzi alikuwa nacho. Ila sasa ukija kuangalia hali za maisha za hao waandishi unakuja kugundua vitabu hivyo haviwasaidii sana kiuchumi. WHAT IS THE PROBLEM?
  7. LIKUD

    Kufanya masters/PhD vs kusoma vitabu kipi Bora?

    Mimi nasema Bora kusoma vitabu. Kufanya masters/PhD waachie ma academicians au watu ambao bado Wana mindset za kuajiriwa ( kuongeza elimu ili daraja la mshahara lipande) but kama una taka ku acquire the real and true knowledge u must go for reading books. A lot of books... Mtu anae Soma vitabu...
  8. B

    Natafuta duka linalouza vitabu vya risiti

    Wakuu Habari, Wapi naweza pata duka linalouza vile vitabu vikubwa vya kuandikia Risiti za mkono kwa hapa Dar?. Nataka kuanza biashara ndogo nahitaji hivi vitabu kwa ajili ya Risiti na kumbukumbu msaada anayejua upatikanaji.
  9. Dr. Zaganza

    Laptop Zimewasili Na Ofa Ya Vitabu

    UPDATE LEO JULY 2 2021 LAPTOP ZIMEWASILI NA OFA YA VITABU Drone Logistic tumekuwa tukiwasaidia watanzania ushauri bure juu ya bidhaa bora toka nje ya nchi na jinsi ya kuziagizia kwa ufanisi. Safari hii,tumeamua kukuletea Computer kwa bei ya e-bay ,wewe utatulipa gharama za kukusafirishia...
  10. mgendege

    Kwanini vitu vinapanda bei sana siku hizi?

    Pole na majukumu wa Tanzania wenzangu kwa kulijenga taifa letu. Jamani huku kwetu mkoa wa Songwe sasa ndoo ya mafuta ya kupikia elfu themanini nayo ni Toka nchi jirani ya kwetu ni elfu themanini na tatu na hayapatikani .sukari ya Tanzania Hamna kabisa napo ukibahatika ni tsh 3,500kg. Cement...
  11. benny gilbert

    Vitabu vya PCM (A-Level)

    Habari wana elimu, kama title inavyojieleza hapo juu. Nauza softcopy ya vitabu vya maswali na majibu kwa combination ya PCM. Kuna vitabu vya topics kama 1. Organic Chemistry Questions & Answers 2. Inorganic Chemistry Questions and Answers 3. Mechanics Questions and Answers 4. Mathematics...
  12. AbuuMaryam

    Ni kipi kinachozingatiwa na Wizara ya Elimu kwenye kubadili mitaala ya vitabu?

    Kwa mfano vitabu vilivyobeba hizi hadithi vilikuwa na mapungufu gani mpaka mkaviondoa? Sadiki na Chitemo Bwana Sikuelewi Muwa uliozamisha meli Hawafu mwenye nguvu Muwa uliozamisha meli KAMA UNATAKA MALI UTAYAPATA SHAMBANI Na vitabu hivyo ni darasa la 3 na 4 lakini hadi leo TUNAVIKUMBUKA...
  13. B

    Siku ya Wanawake Duniani isitumike kutengua maandiko ya vitabu vitakatifu

    Kuna hii kitu yetu inaitwa siku ya wanawake, kuna hii kitu inaitwa super woman na kuna hii kitu tumeanzisha inasema mwanamke ni kichwa cha familia. Wanawake kuna sehemu tumetumbukizwa shimoni na wapigania haki za wanawake na bila kujijua tumejaa viburi na sasa tunajitokeza hadharani kudai sisi...
  14. T

    Vitabu vya software application development

    Habari za mda huu wadau, ningependa kujua ni wapi naweza kununua au kupata vitabu vya programming language kama javascript na java kwa Dar es Salaam, Nimejaribu kutafuta maduka mbalimbali ya vitabu bila mafanikio. Yeyote anayeweza kunisaidia tafadhali
  15. Lycaon pictus

    SOFTWARE Soma vitabu vya kiswahili kwenye hii app

    Humu kuna vitabu mbalimbali vya kiswahili. Tumebadili namna ya ulipaji. Sasa unaweza kusubscribe kwa Tsh 6000 na kusoma vitabu vyote mwaka mzima. Kila mwezi tunaongeza vitabu kadhaa. https://play.google.com/store/apps/details?id=app.b.maktaba
  16. Makirita Amani

    Vitabu 31 vya kusoma mwaka 2021 ili maisha yako yawe bora zaidi

    Inapokuja kwenye mafanikio, kila mtu ana maana yake. Lakini kwa ujumla, mafanikio ni pale mtu anapokuwa bora zaidi ya alivyokuwa huko nyuma. Kifedha kama ulikuwa na kipato kidogo na kikaongezeka, umefanikiwa. Kimahusiano kama ulikuwa na hali ya kutokuelewana na wale wa karibu na ukaitatua...
  17. lee Vladimir cleef

    Unawakumbuka waandishi gani na vitabu vyao waliovuma Sana hapa Tanzania?

    Kama umesahau Basi nakukumbusha wachache. Alistabrus Elvis Musiba - Kufa na kupona, Njama, Kikomo Faraj Hassan Hussein Katarambula - Simu ya Kifo, Pili Pilipili. Hawa waandishi vitabu vyao vilitingisha Sana East Afrika. Musiba alikua na Mhusika katika vitabu vyake aliekua Jasusi Mbobevu...
  18. Red Giant

    Umesoma vitabu gani mwaka 2020?

    Habari wakuu? Ni mwisho wa mwaka. Tutafakari usomaji wetu wa mwaka huu. Vitabu vingi nimevijua kupitia michango ya members humu. Mi nimesoma vitabu vichache tu, sikuwa na usomaji mzuri. 1. Screw business as usual cha Richard Branson. Anaeleza jinsi biashara zinaweza kubadilika na kuweka...
  19. Manthom

    Naomba mwenye link ya vitabu vizuri vya English medium

    Mwenye link ya vitabu vya English medium vizuri please naomba link
  20. E

    Ni vitabu vip vizuri kwa combination ya ECA (Economics, Commerce and Accounting)?

    Habari za Leo wakuu, Ni vitabu vipi vizuri wa combination ya ECA (Economics, Commerce and Accounting). Au kama una vitabu vya hii combination nijuze hapahapa.
Back
Top Bottom