sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,028
Nadhani ni wengi hapa tumewahi kununua vitabu katika safari zetu za elimu.
Unakuta kuna kitabu flani karibu kila mwanafunzi alikuwa nacho.
Ila sasa ukija kuangalia hali za maisha za hao waandishi unakuja kugundua vitabu hivyo haviwasaidii sana kiuchumi.
WHAT IS THE PROBLEM?
Unakuta kuna kitabu flani karibu kila mwanafunzi alikuwa nacho.
Ila sasa ukija kuangalia hali za maisha za hao waandishi unakuja kugundua vitabu hivyo haviwasaidii sana kiuchumi.
WHAT IS THE PROBLEM?