Hivi vitabu wanavyotumia watoto wetu ni tatizo sana

Ahmet

JF-Expert Member
Oct 15, 2019
1,527
3,399
Nilikuwa namfundisha mtoto wa sister mara nikafika kwenye jedwali hilo hapo chini, Sasa kila nikitafuta majibu naona chenga,dah sijui ni mimi kilaza au kitabu ndio kina shida?

Kama kitabu ndio kina shida kwanini hivi vitabu vipo mashuleni?

IMG_20210614_113151_0~2.jpg
 
Very little to no correlation between the terms in column A and B!
What is this publication?
 
Hicho ni kitabu rasmi kilichopitishwa kwenye mitaala au ni kitabu cha ziada watu wanajinunulia tu?
 
Mmh hicho kitabu ni level gani...
Pia sio kila kitabu kinafaa, watu hawana ajira wanachofanya ni kutafuta tu hela.
Cha darasa la sita, publisher wake ni maarufu tu ila nadhani so vyema kuwataja
 
Hicho ni kitabu rasmi kilichopitishwa kwenye mitaala au ni kitabu cha ziada watu wanajinunulia tu?
Sijui ila ila publisher wa iko kitabu ana-series nyingi za vitabu ambavyo vinatumika level ya primary.
 
Nilikuwa namfundisha mtoto wa sister mara nikafika kwenye jedwali hilo hapo chini, Sasa kila nikitafuta majibu naona chenga,dah sijui ni mimi kilaza au kitabu ndio kina shida?

Kama kitabu ndio kina shida kwanini hivi vitabu vipo mashuleni?

View attachment 1818330
Ni somo gani? Darasa la ngapi?

Mwandishi ni nani?? Au ni cha Taasisi ya Elimu?
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom