vifaa

  1. Z

    JamiiForums Tanzania Vifaa vya stationery

    Habari, Mimi ni Mfanya biashara ya stationary kutoka morogoro naomba kufahamishwa chaka/chimbo la kupata bidhaa kwa bei za viwandani kwa Dar.
  2. Raphael Thedomiri

    JamiiForums Tanzania WALEZI: Tununue vifaa vya shule

    Habarini wana-JF wenzangu. Kama kichwa cha habari hapo juu kilivyo, ninawakumbusha wazazi/walezi wenzangu kwamba, tutenge muda mapema hii kuwanunulia watoto wetu vifaa vya shule, kuepuka gharama na usumbufu usio wa lazima. =============== Zikiwa zimesalia wiki mbili muhula mpya wa...
  3. E

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Vifaa vya bomba bei ya jumla kwa watu wote.

    Punguza gharama za ujenzi kwa kununua vifaa vya bomba kwa bei ya jumla jumla. IPS, PPR, GS, PVC Gutter Karibu Gerezani, kariakoo Whatsapp +255 669 494650 Ukiitaji bei njoo whatsap au fika dukani na requirements zako.
  4. H

    JamiiForums Tanzania Vifaa vya saloon vinauzwa

    Habarini ndugu zangu. Kuna saloon inauzwa ipo Kimara B Kwa Komba (karibu na Stopover), kama huitaji kununua saloon yote then unaweza kununua kitu utakachohtaji. Kinyozi wangu aliekua hasumbui kweny hesabu amehamia mkoani ili kuwa karbu aweze kumuuguza mama yake, namm pia nahamia mkoani kikazi...
  5. Binadamu Mtakatifu

    JamiiForums Tanzania Tatizo la macho: kuwasha sana na kuuma unapotumia vifaa vyenye mwanga au juani

    .
  6. Mlaleo

    JamiiForums Tanzania Vifaa made in Israel vyakutwa kwenye Drone za Iran

    Patashika la mbwai iwe mbwai tu... Ukrane imeanza kuzibomoa drone zote ilizoziangusha vitani ambazo zinatumiwa na Russia kuharibu miundo mbinu ya kiraia ambazo zinasemekana zimetengenezwa nchini Iran... baada ya Mvutano mkubwa na Nchi ya Kiislam ya Iran kugoma na kuzikana Drone zake kuwa...
  7. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania MSD yaelezea vifaa vya kisasa ilivyonunua ikiwemo vya kupima maini, damu na figo zinavyofanya kazi mwilini

    Mkurugenzi Mkuu wa MSD, Mavere Tukai Mkurugenzi Mkuu wa MSD, Mavere Tukai anafafanua kuhusu utendaji wa Bohari ya Dawa (MSD) kuhusu ilivyojipanga katika kutoa huduma ikiwemo kuongeza wataalam wa afya na kununua vifaa. Amesema MSD imeendelea kufanya Maboresho na mageuzi upande wa huduma za...
  8. CIA mgumu

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada wa kujua ni vifaa gani vinahitajika katika kuanzisha huduma hii ya hosting Tanzania

    Wadau wa jukwa hili naombeni kujua ni vifaa gani muhimu vinahitajika kuanzisha sever kwa ajili ya hosting ? Ukitoa kuwa na Generator la automatic ambalo ni muhimu kuwepo na Internet ya nguvu either na solar power kwa kujilinda ikitokea tatizo lolote kwenye vyanzo vya umeme. Je ni vitu gani...
  9. Kamanda Asiyechoka

    JamiiForums Tanzania Gerson Msigwa kubali makosa. Tulipaswa kuwa na Aerial Cranes hata nne. Mnanunua mashangingi mnasahau vifaa vya kuokolea kwenye majanga

    Unapiga porojo kuwa tuna helikopta za usaifiri tu. Kwani nini msiwe na kunyanyulia mizigo? Pesa zipo lakini mnaelekeza kwenye mashangingi na ufisadi tu. Kama tungekuwa na aerial cranes hata nne. Moja kanda ya ziwa, nyingine kusini, kaskazini na pwani ndungu zetu tungewaokoa.
  10. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Serikali kama mmeweza ku-mobilize Pesa ya kumpa zawadi muokoaji Majaliwa ikapatikana, kwanini msifanye ya kununua Vifaa vya Uokoaji Majini?

    Hongereni sana Serikali ya Tanzania (chini ya CCM) kwa kupata Credits kwa Watanzania wengi (japo siyo Wote) walio Goi Goi (Mazuzu) kwa Kitendo chenu Watendaji Wakuu (hasa Premier Majaliwa na RC Chalamila) cha kufanya Mobilization ya Kufa Mtu mpaka Pesa za Kumzawadia Muokoaji Majaliwa...
  11. E

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Vifaa vya saloon ya kike vinauzwa

    Saluni ya kike inahuzwa na kila kitu kilichomo ni Vipya kbsa vina miezi mi 3 tu: Drayer ya Juu:230k Steamer:170k Handdrayer:45k Pass 50k Rollas aina 3 tofaut:50k Conditioner: 13k Taulo 5:24k Vioo vi 2:100k Viti 5:60k Sink:40k Pazia:15k Diaba:25k Ndoo 2 kumbwa na ndogo:9k Carpet: 35k Radiant 10k...
  12. Nyankurungu2020

    JamiiForums Tanzania Wazo lenye mantiki: Kama mmeshindwa kujenga ofisi kwa miaka 25, kama mkipata fursa ya kutawala mngeweza kununua vifaa vya kuokolea?

    Mnaweza kuwa na hoja nzuri maana mnapiga kelele kutwa nzima jana na leo. Lakini kama mmeshindwa kuwa waaminifu kwa kidogo, kikubwa ndio mngeweza? Zaidi ya miaka ishirini na saba mnakula ruzuku na michango. Je, mkipata nchi si ndio hatupata darasa wala kifaa cha kukolea kabisa kama gari la...
  13. Msanii

    JamiiForums Tanzania Shaka na porojo za maendeleo imara. Serikali haina kikosi wala vifaa vya uokozi katika majanga

    Majuzi hapa tumemsikia katibu wa propaganda wa CCM akijimwambafy kuhusu uimarishwaji wa kila sekta nchini kupitia serikali ya CCM. Ameenda mbali zaidi kutuita sisi wakosoaji kama.maadui wa mama na tunamtakia mabaya hivyo azibe masikio achape kazi aachane na sisi wanafiki. Katika posti zangu...
  14. Beatus111

    JamiiForums Tanzania Jaman nilikuwa nauliza vifaa vya muhimu kwenye biashara ya ufundi simu

    Ambaye ana sehemu nzuri ya kibiashara kuna fundi vifaa vya electronics anaitaji support
  15. Black Butterfly

    JamiiForums Tanzania Idara za Uokoaji na Zimamoto hazina vifaa, wataalamu au zinapuuza majanga?

    Mdau wa JamiiForums.com anasema kila kunapotokea Janga hasa la Moto taarifa pekee inayotoka ni Moto kuzimwa ukiwa umeteketeza kila kitu au kubakiza sehemu ndogo sana. Anatolea mfano kuungua kwa Shule, Masoko, Mlima Kilimanjaro uliowaka kwa zaidi ya wiki 2 ambapo anahoji tatizo ni Idara kukosa...
  16. Samahani

    JamiiForums Tanzania Usikose vifaa hivi nyumbani kwako!

    Siku za karibuni, nikiwa likizo, nilimtembelea ndugu yangu mmoja ambaye aliugua kwa muda mrefu na sikuwa nimepata nafasi ya kumtembelea. Wakati tunazungumza, kuna jirani yake alikuja na kuomba kuazimwa jembe ili akaoteshe mche wa mti aliokuwa ameununua huko alikotoka. Cha kushangaza, hata huyu...
  17. J

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Tunauza Viwanja, Nyumba na Mashamba Dar es Salaam

    1- kinauzwa kiwanja mbezi ya goba kulangwa sq 400 Bei million 17 (maongezi yapo) kilipo si mbali na barabara (dk7- 10 main road) 2- kiwanja kinauzwa MBEZI GOBA sqm 1000 Bei million 57 (maongezi yapo)pia hakipo mbali na barabara 3. Nyumba ya vyumba 6 Mbezi beach Goigi (dk 10 bagamoyo road)...
  18. N

    JamiiForums Tanzania Delivery note, invoice, receipt voucher, local purchase order , issue voucher, form namba 2 na fomu ya uhakiki wa vifaa; mwenye uelewa wa hizi nyaraka

    Elimu niiombayo ni ya tafsiri (maana), muda na namna ya kutumia na sababu ya kuwepo kwao. Nauliza kwa sababu sielewi tu, nilikuwa katika taasisi fulani hv karibuni na kulikuwa na miradi mikubwa na ya haraka. Sasa unaenda kwa mkaguzi wa ndani (preauditor) anagoma kupitisha ikiwa moja ya nyaraka...
  19. Execute

    JamiiForums Tanzania Kijana anayetuhumiwa kuiba vifaa vya magari achomwa moto live huku akirekodiwa

    Mara ya mwisho kuna mtu aliniibia laki mbili na akagoma kurudisha nilipata hasira sana lakini hii video imenifanya nipate huruma. Hapa Dar es Salaam, kijana amechomwa moto huku raia wakimrekodi kwasababu amekuwa akiiba vifaa vya magari. Picha na video zinatisha sana
  20. MK254

    JamiiForums Tanzania Ufaransa pia kutuma vifaa vya kuzuia mabomu ya Urusi yanayotupwa uraiani

    Hii yote ni kwa ajili ya kuzuia mashambulizi ya Putin ya mabomu anayopiga hadi bembea za watoto, ameikimbia frontline kaenda kushambulia makazi ya watu. Nchi yote ikilindwa vizuri dhidi ya haya mashambulizi, mapigano yatandelea vyema frontline kule ambako anapokea kichapo balaa. French...
Back
Top Bottom