video

  1. MK254

    JamiiForums Tanzania Iraq: Iran yashambulia kwa makombora kambi mbili za Jeshi za Marekani, Ain al-Asad na Erbil

    Iran imerusha makombora zaidi ya 10 ikilenga Majengo ya Marekani yaliyopo Kaskazini mwa Iraq ikiwemo Kambi ya Jeshi ya Ain al-Asad ambapo kuna Majeshi ya Marekani ikiwa ni siku chache baada ya Marekani kumuua Qassem Soleimani Chaneli ya Taifa ya Iran imesema, Jeshi la Kimapinduzi la Nchi hiyo...
  2. Influenza

    JamiiForums Tanzania Dar: Vurugu zatokea kwenye Kikao cha Baraza la Madiwani Jijini Dar cha kuamua hatma ya Meya wa Dar, Isaya Mwita

    Kikao cha Baraza la Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam nchini Tanzania cha kujadili tuhuma zinazomkabili Meya wa jiji hilo, Isaya Mwita kimesimama kwa muda baada ya jina la mjumbe wa Chama cha Wananchi (CUF) kusainiwa wakati hayupo ukumbini. Kikao hicho kinafanyikia ukumbi wa Karimejee jijini...
  3. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Video: Bernard Membe akutana na kuteta na Baba Askofu Ruwai'ch

    Wakuu, natanguliza salamu za sikukuu, bila shaka mnasherekea kwa amani, hata hivyo pamoja na kusherehekea nimeona nisiwaache hivi hivi tu.
  4. Influenza

    JamiiForums Tanzania Matamshi ya Mesut Ozil: Kiungo wa Arsenal afutwa kwenye mchezo wa video wa Pro Evolution Soccer (PES) 2020 toleo la Uchina

    Kiungo wa Arsenal Mesut Ozil ameondoshwa kwenye mchezo wa video wa Pro Evolution Soccer (PES) 2020 toleo la Uchina baada ya kuikosoa nchi hiyo kwa kuwatesa jamii ya Waislamu ya Uighur. Ozil, 31, ambaye ni Muislamu, amewaita Wauighur (Wachina wa asili ya Kiislamu) "mashujaa wanaokabiliana na...
  5. N

    JamiiForums Tanzania Video hii ya Chidi imenichekesha, jamaa ana akili sana basi tu

    Huyu jamaa unga umemfanya akaonekana mwehu ila kichwani ana kitu unique, chi chi chi chi chidi beeenz.
  6. Slowly

    JamiiForums Tanzania Video: Maelfu waimba wimbo wa mdogo mdogo, Diamond akitumbuiza kule Guinnea Bissau

    Juzi Diamond Platnumz alikuwa Guinnea Bissau akipiga show , Wimbo wa mdogo mdogo ulipopigwa uwanja wote ulizizima na ikawa shangwe kila Kona chek video, video ni fupi ya dk moja
  7. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Mama Mzazi wa Erick Kabendera amuomba Rais Magufuli kumsamehe mwanae

    Verdiana Mjwahuzi (81) ambaye ni mama wa mwandishi wa habari, Erick Kabendera amemuomba Rais wa Tanzania, John Magufuli kumsamehe mwanaye. Akizungumza kwa huzuni leo Ijumaa Desemba 13, 2019 katika mkutano na waandishi wa habari, Verdiana amesema Kabendera ni mwanaye pekee anayemsaidia katika...
  8. bahati93

    JamiiForums Tanzania Nakemea mavazi ya kinazi aliyovaa Mr Blue kwenye video ya Mawe

    Habari ya asubuhi wanajamii. Kuna mambo mengi sana ya kuiga hapa duniani lakini kuna mengine siyo ya kuiga kabisa kama jambo ambalo amefanya Mr Blue kuvaa mavazi ya kinazi kwenye video ya music inayokwenda kwa jina MAWE akiwa kashirikishwa yeye pamoja na RayVanny na msanii wa kitaa ambaye...
  9. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Bavicha yatikisa, Shamsa Ford alipua shangwe, asema wazi kwamba vijana wanaopenda maendeleo wako Chadema

    Habari kamili hii hapa.
  10. Mlachake

    JamiiForums Tanzania Video inayosambaa ikionesha jinsi upigaji wa pesa za miradi unavyotokea

    Sijafanikiwa Kujua Ni Wilaya gani lakini huu ni ushahidi tosha kwamba Tanzania ufisadi bado upo
  11. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Umati wa wakina mama wamsindikiza Halima Mdee kurejesha fomu ya kugombea uenyekiti wa Bawacha Taifa

    Hivi sasa shughuli zote zimesimama, iliyobaki ni kazi ya Chadema Pekee.
  12. Lizzy116

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Full video ya yule mama mchungaji wa sex game ya God, kwenye gari, jikoni twa twa!

    Kuna clip fupi imesambaa mtandaoni ya Pastor Susan Munene akiongea kuhusu umuhimu wa sex katika ndoa. Hii hapa clip ndefu zaidi ikiwa na maelekezo mengi hasa kuhusiana mambo ya ndao. hapa chini ni baadhi tu maneno ya Pastor Susan Munene. Mimeweka full video pia hapo chini. “Kama kuna kitu ya...
  13. GUSSIE

    JamiiForums Tanzania Kardinali Pengo: Wanaomuita Rais Dikteta wajitafakari upya. Je, watoto kusoma bure na kujenga Hospitali ni udikteta?

    Leo Katika kikao kilichoandaliwa na mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda na viongozi wa dini kardinal Pengo amemtetea dictator Mussolin aliyetawala Italia enzi hizo kama ifuatavyo. Mussolin aliondoa baa au balaa la Malaria Katika mji mdogo wa Italia, Kwa mujibu wa kardinal Pengo wakati...
  14. Mwanahabari Huru

    JamiiForums Tanzania CCM yeteka kwa mabavu ofisi za CHADEMA Rombo

    Hii ndio hali ya utawala wa shari, mabavu na wenye kukusudia kuchafua amani ya Tanzania tulivu hata kama ina umasikini na ujinga ila utulivu ulikua kiunganishi kwetu. Lakini cha ajabu umasikini hawajaondoa, ujinga hawajauondoa, wanapamnana kuiondoa CHADEMA kwa shari, kwa vita kwa fujo na ikibidi...
  15. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Video: Uzinduzi wa kampeni za uchaguzi Serikali za mitaa CCM, nchi yatikisika, watu wakanyagana

    Mwenye macho haambiwi tazama
  16. Mekatilili

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mombasa's Dongo Kundu Bypass: Incredible Video

    For a while, the Southern Bypass in Nairobi was my favorite highway in the region! Judging by this video, Dongo Kundu in Mombasa might just be the new heavy weight! Bear in mind that this is just the first phase of an incredible project! Mombasa has come of age and is undoubtedly the most...
  17. kajengwa makunduch

    JamiiForums Tanzania Ali kiba video is out (mshumaa)

    Ali kiba video is out (mshumaa)
  18. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Video: Makonda aumbuka , uongo wake dhidi ya Mdee kuhusu barabara ya Makongo wakwama

    Mh Halima Mdee alishapeleka maombi ya kujengwa kwa barabara hiyo bungeni , katika vikao vilivyoongozwa na Naibu Spika Tulia Ackson. UKIWA MUONGO JITAHIDI USIWE MSAHAULIFU Jionee mwenyewe
Back
Top Bottom