Mzalendo2015
JF-Expert Member
- Aug 14, 2012
- 6,697
- 9,048
Leo Tena Bunge limepata msiba wa 3 ndani ya wiki mbili tu. Hii si hali ya kawaida tangu Tanzania ipate Uhuru kwa Bunge kupoteza Wabunge 3 kwa vifo vya kutatanisha.
Wabunge wa Upinzani CHADEMA na ACT-Wazalendo pamoja na Watanzania wenye busara walishauri Bunge lisifanyike kwasababu ya kuwepo kwa maambukizi ya Ugonjwa wa COVID-19.
Lakini Serikali ya CCM inayo jinasibu kwa kibri, ubabe na kutokuwa sikivu kwa mawazo kinzani ilipuuza ushauri huu.
Kwa vile sasa Spika Ndugai amejionea mwenyewe Wabunge wanavopukutika namshauri aombe msaada wa Tekeknolojia ya Mawasiliano ya Video Conferencing Bungeni kwa muda uliobaki kabla ya kuvunjwa kwa Bunge la Bajeti ifikapo Juni 30, 2020
Kama haiwezekani kwa Bunge kutumia teknolojia ya Video Conferencing basi ni bora Bunge lisitishwe na Wabunge wote wakae Quarantine ya 14 days.
Wasalaam.
Wabunge wa Upinzani CHADEMA na ACT-Wazalendo pamoja na Watanzania wenye busara walishauri Bunge lisifanyike kwasababu ya kuwepo kwa maambukizi ya Ugonjwa wa COVID-19.
Lakini Serikali ya CCM inayo jinasibu kwa kibri, ubabe na kutokuwa sikivu kwa mawazo kinzani ilipuuza ushauri huu.
Kwa vile sasa Spika Ndugai amejionea mwenyewe Wabunge wanavopukutika namshauri aombe msaada wa Tekeknolojia ya Mawasiliano ya Video Conferencing Bungeni kwa muda uliobaki kabla ya kuvunjwa kwa Bunge la Bajeti ifikapo Juni 30, 2020
Kama haiwezekani kwa Bunge kutumia teknolojia ya Video Conferencing basi ni bora Bunge lisitishwe na Wabunge wote wakae Quarantine ya 14 days.
Wasalaam.