Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,013
- 144,371
Wadau, kuna video inasambaa huko mitandaoni ikionyesha wahudumu wa afya katika mtaa unaotajwa ni mtaa wa Nkuruma street katika ya jiji asubuhi hii wakitoa kinachoonekana ni mwili wa mtu huku wakiwa wamevaa gloves na mavazi maalumu ya kuwakinga na maambukizi (protective gear).
Swali:kuna nini kimetokea kwa anaejua?
Wahusika tunaomba ufafanuzi.
Serikali iweke wazi ili jambo tutaisha
Swali:kuna nini kimetokea kwa anaejua?
Wahusika tunaomba ufafanuzi.
Serikali iweke wazi ili jambo tutaisha