Karne hii ya kidigitali wizara hii inafanya ? Vifaa vipo, walimu wapo wa kurekodi, nini shida?
Kwa kila topiki tena na nyenzo za kufundishia
Hii Wizara iamke usingizini
Vyuo vikuu vyetu wanafunzi wake wanajua tu ku-download series,nyimbo,movies,porn,insta,ku chat kwny ma-group ya watsap ya waliosoma nao primary/sec/waliopata wote mafundisho/kimaimara, ku-google diamond ana utajiri kiasi gani na amezaa na wakina nani.FULL STOPHilo suala litasababisha digital divide kuna maeneo mengi sana ni underserved, watatumia njia gani kuaccess hizo contents? Je kwa kufanya hivyo maana yake wanafunzi watakaporudi shuleni hawataanzia walipoishia? Manake hakuna uwezekano wa kuwafikia hata 50% tu. Hili suala la Covid-19 lisichukue muda mrefu tu kwani litahathiri miula ya masomo tu.
Kwa mtazamo wangu nadhani vyuo vikuu vinaweza ku-cope, lakini elimu ya msingi na sekondari ipo shida kubwa kwenye teknolojia ya habari.
_____________________________
" With or without religion, good people can behave well and bad people can do evil; but for good people to do evil - that takes religion.
Karne hii ya kidigitali wizara hii inafanya ? Vifaa vipo, walimu wapo wa kurekodi, nini shida?
Kwa kila topiki tena na nyenzo za kufundishia
Hii Wizara iamke usingizini
Karne hii ya kidigitali wizara hii inafanya ? Vifaa vipo, walimu wapo wa kurekodi, nini shida?
Kwa kila topiki tena na nyenzo za kufundishia
Hii Wizara iamke usingizini
Yaani umekusudia audio na video kwa ajili ya kufundisha wanafunzi mashuleni?
Mkuu hapo uongo.Viongozi wetu wote wana akili sana.Labda viongozi wa kutoka Chadema wengi ndo hamna kitu.Sisi CCM wote waliopewa vyeo na uongozi wana Akili.una akili sana, bahati mbaya watu wenye akili katika nchi zetu huwa hawapewi vyeo au nafasi yeyote
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiweka namba ya simu jee!?Mkuu hapo uongo.Viongozi wetu wote wana akili sana.Labda viongozi wa kutoka Chadema wengi ndo hamna kitu.Sisi CCM wote waliopewa vyeo na uongozi wana Akili.
mazagaone@gmail.com
JPM 2020.
Tanzania ya Kijani.
Hahah yeye amekuja kwa style ya tofauti baada ya kuona ile mambo ya kuweka no. Imeshtukiwa.
Mimi nafikiri ilo ni swala la shule na walimu kujiongeza pamoja na watu binafsi.Karne hii ya kidigitali wizara hii inafanya ? Vifaa vipo, walimu wapo wa kurekodi, nini shida?
Kwa kila topiki tena na nyenzo za kufundishia
Hii Wizara iamke usingizini
Unatumia platform gani kuendesha vipindi vyako online?Mimi ninaendesha kipindi kila siku Online na wanafunzi wangu karibu wote wanashiri vzr sn. Yaani hapa hata wakitakiwa kurudi vyuoni, mtihani ukiwa wiki moja baada ya kufungua wanapasua vzr. Nipo chuo flani, vijana walitakiwa wafanye mtihani mwezi mei
Sent using Jamii Forums mobile app
Utaratibu si unajulikana ni kumfata mtu PM au??? Viongozi wangu wa CCM ni majembe!!
Nonsense! mwanafunzi akiwa na swali atamuulizaje mfunzi wake? Akiwa hajafahamu mfunzi atajuaje? au vipi wanajua kama hata wanasikiliza ama kutizama icho kipindi?anamaanisha audio na video zirushwe kwenye televisheni na redio ili watoto wajifunze wakiwa nyumbani
Sent using Jamii Forums mobile app
Daaah, hiyo imekaa vzr Sana. NimeipendaNashukuru shule anayosoma mwanangu, wanatuma kazi za kufanya kila siku. Sijui kulipa mamilion