uzito

  1. Rais Samia Suluhu: Tutalichukulia kwa uzito suala la COVID-19

    Rais Samia kuunda kamati kushughulikia COVID 19. Amesema ataunda kamati ya kushughulikia kitaalamu. Amesema hatuwezi kujitenga kama kisiwa, lazima tuunde kamati ijulikane kama tunakubali au tunakaa na si kusikia habari tu za nchi nyingine na ikifika kwa Tanzania hamna kitu. Rais Samia...
  2. T

    Kuna cha kujifunza hapa, inakuwaje dereva bodaboda ana kitambi na uzito mkubwa?

    Siku moja nikiwa Kariakoo niliona jambo la kustaajabisha sana. Nilikuta kundi la boda boda wana miili mikubwa kushinda hata ukubwa wa TVS walikuwa nazo ndipo nikajiulizw why wana miili mikubwa kama majitu? Na haya ndio majibu Watu tuna kula sana kuliko tunavyo wekeza yes wengi ya bodaboda...
  3. Sera ya kupunguza uzito iliyotumika Mexico

    Mwaka 2013 Mexico ilitajwa na Umoja wa Mataifa kuwa na watu 32.8% ambao wamezidi uzito. Ili kudhibiti hilo serikali iliweka kodi kubwa kwenye vinywaji vyenye sukari. Katika hatua nyingine waliweka mashine zinazohesabu kiasi cha kuchutama na kuinuka ‘Squats’ ambapo waliweka mtu akipiga Squats 10...
  4. Chuo Kikuu Huria cha Tanzania(OUT) Chatahadharisha wanafunzi na wafanyakazi wake dhidi ya COVID19 NA COVID21

    THE OPEN UNIVERSITY OF TANZANIA OFFICE OF THE VICE CHANCELLOR P.O. Box 23409 Tel: 255-22-2668992/2668445 Dar es Salaam, Tanzania Fax: 255-22-2668759 http://www.out.ac.tz E-mail: vc@out.ac.tz WARAKA WA TAHADHARI YA MAAMBUKIZI YA COVID 19 NA 21 8 Februari 2021, Dar es Salaam, Ndugu...
  5. Je, wajua Dubai ililipa gram 2 za dhahabu kwa kila anayepunguza kg1 ya uzito wake

    Dubai ni mji ambao na matatizo ya wakazi wake wengi kuwa na uzito ulipitiliza ambapo katika kukabiliana na tatizo hilo wakaja na sera ya Uzito wako katika dhahabu. Sera ilitaka mtu apunguze uzito kuanzia Kilogram moja ndani ya siku thelathini ambapo kila anayefanikiwa anapata gram mbili za...
  6. S

    Miaka 60 ya uhuru, bado tunaning'iniza watoto kwenye miti kuwapima uzito

    Hii habari nimesoma twitter, habari inayosema watoto wadogo wanapimwa uzito kwa kuning'inizwa kwenye mti huko wilayni Tarime mkoa wa Mara(kuna picha ikionyesha tukio hilo). Hakika nimeshangazwa sana na hii habari, ila inaelekea hali hii ni ya kawaida tu kwa baadhi ya maeneo ya nchi yetu huku...
  7. D

    Nina uzito wa kilo 79, Nimekula nyama kilo moja na robo na ugali kisha nikapima uzito bado ni uleule kilo 79: Kwanini?

    Hii imekaaje wataalam! Jana nilitengeneza kitoweo cha ugali na nyama kilo moja na robo! Kabla ya kuanza kula nilipima uzito wangu ikasomeka Nina Kilo 79! Nikaandaa nyama fresh na ka-ugali kadogodogo, kabla ya kula, nikasimama na sinia langu la chakula kwenye mzani kilo zikasoma 81, ( maanake...
  8. Fahamu kuhusu njia ya kupunguza uzito kwa kukata utumbo na madhara yake

    Njia hii kitaalamu inaitwa “Gastric bypass”. Ni aina ya upasuaji unaosaidia mwili kupungua kwa kubadilisha namna ambavyo tumbo na utumbo mdogo unashughulikia chakula. Upasuaji huu hulifanya tumbo kuwa dogo na kupelea tumbo kupokea kiasi kidogo cha chakula. Baada ya kukatwa na kupunguzwa kwa...
  9. J

    Mchimbaji mdogo Laizer akabidhi jiwe lingine la Tanzanite lenye uzito wa kilo 6.33 Serikalini

    Tukio hili liko mubashara Clouds tv na Channel ten. Viongozi wengi wamehudhuria wakiongozwa na Dotto Biteko waziri wa madini. Wengine ni Dr Mpango waziri wa fedha, CDF General Mabeyo, IGP Sirro na wengine wengi. Mwenye mzigo si mwingine ni yule yule mchimbaji mdogo Laizer na uzito wa hii...
  10. Nguvu na uzito huu wa damu unasababishwa na nini?

    Hodi wakuu wataalam wa mambo. Leo ninahitaji mnisaidie jambo moja kuhusu nguvu iliyopo ndani ya damu inasababishwa na nini? Damu kimekuwa ni kitu ambacho kinaaminika kubeba maajabu na nguvu za ajabu sana za kutenda mambo. Mifano yake ni kwamba:- i/ Damu ya Yesu. Kuna watu wengi sana...
  11. Je, wajua Simu ya Mkononi ya kwanza Duniani ilikuwa na uzito wa kilogram 2 na ilijaa chaji kwa saa 12?

    Zaidi ya miaka 42 iliyopita simu ya kwanza ilipigwa kutumia simu ya mkononi, simu hiyo ya kwanza ya mkononi ilitengenezwa na kampuni ya Motorola. Ilikuwa mwezi wa 4 tarehe 3 mwaka 1973 walijaribu kupiga simu kwa kutumia simu hiyo ya kwanza ya mkononi iliyokuwa inafahamika kwa jina la Motorola...
  12. Taboa: Nauli za mabasi zitaendana na uzito wa mtu

    Vitambi sasa basi, corona inawapenda wenye vitambi na kwenye usafiri wana nyanyasika.
  13. Shuhuda za waliofanikiwa kupunguza uzito kwa mazoezi na lishe

    Habarini waungwana katika jukwaa hili tukufu la utanashati na ulimbwende, miaka ya hivi karibuni kumekuwa na mlolongo wa tiba lishe, madawa, na mbinu nyinginezo za kupunguza uzito wa mwili, jambo ambalo bado halijaleta ufanisi kinyume na matarajio. Hivyo kwa uzi huu naomba tupate mbinu, njia...
  14. S

    Majengo ya ofisi za mizani ya kupimia uzito wa magari(Weigh Bridge), yawe ya rangi moja nchi nzima na ikiwezekana hata ramani ya majengo iwe ni moja

    Kila naposafiri kutoka mkoa mmoja kwenda mkoa mwingine kwa njia ya barabara, huwa nashangazwa kuona majengo ya ofisi katika vituo vya kupimia uzito wa magari (weigh bridge) hapa nchini yakitofautiana kwa rangi na hata style ya ujenzi ingawa yote yako chini ya serikali moja na yanafanya kazi ile...
  15. M

    Taifa stars vs Uganda

    Hivi timu yetu,SI inacheza Leo huko Kampala ,mbona kimyaaa!
  16. Njia kumi rahisi za kupunguza Uzito

    NJIA ZA ASILI ZA KUKUSAIDIA KUPUNGUZA UZITO: 1. Tambua Mahitaji ya Karoli(Nguvu) Kabla hujaamua jinsi ya kula, unapaswa kufahamu ni Kalori(Nguvu) kiasi gani unahitaji kwa siku. Hii inaweza kupatikana kwa kikokotozi maalumu cha Kalori (Nguvu) kinachotumia kimo, uzito, umri na shughuli za...
  17. J

    Kwanini kwenye shughuli za kisiasa Bakwata hupewa uzito kama dhehebu mfano KKKT na Katoliki wakati linawakilisha waislamu wote?

    Huwa nashangaa kwenye shughuli za serikali au vyama vya siasa Bakwata huwa na mwakilishi mmoja sawa na madhehebu mengine kama KKKT, Anglican, Katoliki, TAG na Pentecostal wakati Bakwata ni Baraza kuu la waislamu wote. Kwanini Bakwata isiwe na uwakilishi wa mashehe hata watatu ili kuleta uwiano...
  18. Sababu saba kwa nini uzito wako utakuja kukuua ndani ya miaka mitano

    SABABU SABA KWA NINI UZITO WAKO UTAKUJA KUKUUA NDANI YA MIAKA MITANO. Uzito ni moja ya tatizo kubwa sana kwa sasa katika afya za walio wengi na madhara ya UZITO uliopitiliza ni makubwa na yanatisha sana kiafya katika maisha ya watu wengi. Ikiwa watu wataelimishwa juu ya madhara mbalimbali...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…