Shida ni nitauweza kweli na hiki kiribatumbo changu?Utakusaidia kuchoma mafuta ya ziada mwilini.
Taboa wabarikiwe kwa wazo hiliHapa lazima watu wafanye mazoezi kwa lazima,nafikiria nauli ya Dar-Dom sh.25,000.00,ukiwa na kitambi 40,000.00 na mimi nisie na kitambi 15,000.00 😂,walikuwa wananicheka sina kitambi sasa hivi wataniona bonge la mjanja...
Hii ni habari njema kwa sisi vimbaumbau...........hahhahahahahHapa lazima watu wafanye mazoezi kwa lazima,nafikiria nauli ya Dar-Dom sh.25,000.00,ukiwa na kitambi 40,000.00 na mimi nisie na kitambi 15,000.00 ,walikuwa wananicheka sina kitambi sasa hivi wataniona bonge la mjanja...