Nguvu na uzito huu wa damu unasababishwa na nini?

GRAMAA

JF-Expert Member
Nov 1, 2014
1,155
3,399
Hodi wakuu wataalam wa mambo.

Leo ninahitaji mnisaidie jambo moja kuhusu nguvu iliyopo ndani ya damu inasababishwa na nini?

Damu kimekuwa ni kitu ambacho kinaaminika kubeba maajabu na nguvu za ajabu sana za kutenda mambo.

Mifano yake ni kwamba:-

i/ Damu ya Yesu.
Kuna watu wengi sana wanaamini kuwa damu ya yesu iliyotoka masalani imeweza kuwamboa na bado inaendelea kuwakomboa na dhambi zao.

Wengine mpaka leo wametengeneza vitu mfano wa damu ya Yesu na hunywa vitu hivi wakiwa kwenye nyumba zao za ibada ili kuwakilisha ile damu ya Yesu iliyotoka msalabani. Damu ina nini ndani mpaka ipewe nafasi hii?

ii/ Damu katika kafara.
Kuna watu hutoa kafara ya damu ili kutatua mambo yao yanayowasumbua katika maisha yao ya kila siku. Damu ina kitu gani kinachoweza kutatua matatizo ya watu?

iii/ Damu kama kinywaji.
Inasemekana kwamba wachawi hunywa damu kama kinywaji ambacho huwezesha mambo yao yaende vizuri. Damu ina nini ndani yake mpaka wachawi wapende sana kuitumia? Tena mpaka wamewekeana zamu ya kuchangia damu hizo.

iv/ Damu katika chale.
Waganga na wachawi humpaka mtu dawa sehemu ambayo damu inatoka baada ya kumchanja chale. Chale ina lengo la kutoa damu ili mambo mengine yaendelee kwenye damu hiyo. Damu ina nini special sana wakuu?

v/ Kiapo cha damu.
Kuna watu hapa duniåni hufanya viapo vya damu na ukisaliti kiapo hicho basi lazima upatwe na mabaya.

Mambo ni mengi sana kuhusu damu. Sasa swali ni kwamba damu ina kitu gani ndani take mpaka iaminike kuwa na nguvu hizo zote? Wajuzi na wataalam popote mlipo karibuni.

Asanteni
 
Hodi wakuu wataalam wa mambo.

Leo ninahitaji mnisaidie jambo moja kuhusu nguvu iliyopo ndani ya damu inasababishwa na nini?

Damu kimekuwa ni kitu ambacho kinaaminika kubeba maajabu na nguvu za ajabu sana za kutenda mambo.

Mifano yake ni kwamba:-

i/ Damu ya Yesu.
Kuna watu wengi sana wanaamini kuwa damu ya yesu iliyotoka masalani imeweza kuwamboa na bado inaendelea kuwakomboa na dhambi zao.

Wengine mpaka leo wametengeneza vitu mfano wa damu ya Yesu na hunywa vitu hivi wakiwa kwenye nyumba zao za ibada ili kuwakilisha ile damu ya Yesu iliyotoka msalabani. Damu ina nini ndani mpaka ipewe nafasi hii?

ii/ Damu katika kafara.
Kuna watu hutoa kafara ya damu ili We mambo yao yanayowasumbua katika maisha yao ya kila siku. Damu ina kitu gani kinachoweza kutatua matatizo ya watu?

iii/ Damu kama kinywaji.
Inasemekana kwamba wachawi hunywa damu kama kinywaji ambacho huwezesha mambo yao yaende vizuri. Damu ina nini ndani yake mpaka wachawi wapende sana kuitumia? Tena mpaka wamewekeana zamu ya kuchangia damu hizo.

iv/ Damu katika chale.
Waganga na wachawi humpaka mtu dawa sehemu ambayo damu inatoka baada ya kumchanja chale. Chale ina lengo la kutoa damu ili mambo mengine yaendelee kwenye damu hiyo. Damu ina nini special sana wakuu?

v/ Kiapo cha damu.
Kuna watu hapa duniåni hufanya viapo vya damu na ukisaliti kiapo hicho basi lazima upatwe na mabaya.

Mambo ni mengi sana kuhusu damu. Sasa swali ni kwamba damu ina kitu gani ndani take mpaka iaminike kuwa na nguvu hizo zote? Wajuzi na wataalam popote mlipo karibuni.

Asanteni
Damu ni uhai
 
Alikufa msalabani kwa ajili yetu ili tusamehewe dhambi, tufutiwe makosa yetu, tuwe huru n.k. wa k.d.

Uhai, ndani ya damu kuna chembe hai

Damu nzito kuliko maji, maji pia ni uhai....

Ni mejiuliza tuu, uhai wa maji na uhai wa damu.....???

Mwili wa binadamu una maji asilimia 75, sina uhakika damu iko asilimia ngapi kwenye mwili wa binadamu kiasi kwamba kimojawapo kikipungua sana basi binadamu huyo hukosa uhai....

UHAI.....

Fikra tatashi za kigagula, mimea nayo ina uhai, japo haiona damu ila ina majimaji.....

Mahali pasipokuwa na maji inaaminika hakuna uhai na kama upo ni kwa taabu na shida sana, yaani hapo hakuna mmea wala mnyama atayezeza kumudu kuishi mazingira hayo.

Ndani ya DAMU kuna MAJI....

Nami najiuliza kama mtoa mada, kama MAJI ni UHAI, DAMU ni nini??

K' Matata
 
Hodi wakuu wataalam wa mambo.

Leo ninahitaji mnisaidie jambo moja kuhusu nguvu iliyopo ndani ya damu inasababishwa na nini?

Damu kimekuwa ni kitu ambacho kinaaminika kubeba maajabu na nguvu za ajabu sana za kutenda mambo.

Mifano yake ni kwamba:-

i/ Damu ya Yesu.
Kuna watu wengi sana wanaamini kuwa damu ya yesu iliyotoka masalani imeweza kuwamboa na bado inaendelea kuwakomboa na dhambi zao.

Wengine mpaka leo wametengeneza vitu mfano wa damu ya Yesu na hunywa vitu hivi wakiwa kwenye nyumba zao za ibada ili kuwakilisha ile damu ya Yesu iliyotoka msalabani. Damu ina nini ndani mpaka ipewe nafasi hii?

ii/ Damu katika kafara.
Kuna watu hutoa kafara ya damu ili kutatua mambo yao yanayowasumbua katika maisha yao ya kila siku. Damu ina kitu gani kinachoweza kutatua matatizo ya watu?

iii/ Damu kama kinywaji.
Inasemekana kwamba wachawi hunywa damu kama kinywaji ambacho huwezesha mambo yao yaende vizuri. Damu ina nini ndani yake mpaka wachawi wapende sana kuitumia? Tena mpaka wamewekeana zamu ya kuchangia damu hizo.

iv/ Damu katika chale.
Waganga na wachawi humpaka mtu dawa sehemu ambayo damu inatoka baada ya kumchanja chale. Chale ina lengo la kutoa damu ili mambo mengine yaendelee kwenye damu hiyo. Damu ina nini special sana wakuu?

v/ Kiapo cha damu.
Kuna watu hapa duniåni hufanya viapo vya damu na ukisaliti kiapo hicho basi lazima upatwe na mabaya.

Mambo ni mengi sana kuhusu damu. Sasa swali ni kwamba damu ina kitu gani ndani take mpaka iaminike kuwa na nguvu hizo zote? Wajuzi na wataalam popote mlipo karibuni.

Asanteni
CC Mshana Jr

Sent from my SM-A307FN using JamiiForums mobile app
 
Damu ni kielelezo tu, nyuma yake kuna mazito na yanahitaji ukomavu mkubwa. Kwasasa elewa tu kwamba damu inawakilisha uhai.
Hodi wakuu wataalam wa mambo.

Leo ninahitaji mnisaidie jambo moja kuhusu nguvu iliyopo ndani ya damu inasababishwa na nini?

Damu kimekuwa ni kitu ambacho kinaaminika kubeba maajabu na nguvu za ajabu sana za kutenda mambo.

Mifano yake ni kwamba:-

i/ Damu ya Yesu.
Kuna watu wengi sana wanaamini kuwa damu ya yesu iliyotoka masalani imeweza kuwamboa na bado inaendelea kuwakomboa na dhambi zao.

Wengine mpaka leo wametengeneza vitu mfano wa damu ya Yesu na hunywa vitu hivi wakiwa kwenye nyumba zao za ibada ili kuwakilisha ile damu ya Yesu iliyotoka msalabani. Damu ina nini ndani mpaka ipewe nafasi hii?

ii/ Damu katika kafara.
Kuna watu hutoa kafara ya damu ili kutatua mambo yao yanayowasumbua katika maisha yao ya kila siku. Damu ina kitu gani kinachoweza kutatua matatizo ya watu?

iii/ Damu kama kinywaji.
Inasemekana kwamba wachawi hunywa damu kama kinywaji ambacho huwezesha mambo yao yaende vizuri. Damu ina nini ndani yake mpaka wachawi wapende sana kuitumia? Tena mpaka wamewekeana zamu ya kuchangia damu hizo.

iv/ Damu katika chale.
Waganga na wachawi humpaka mtu dawa sehemu ambayo damu inatoka baada ya kumchanja chale. Chale ina lengo la kutoa damu ili mambo mengine yaendelee kwenye damu hiyo. Damu ina nini special sana wakuu?

v/ Kiapo cha damu.
Kuna watu hapa duniåni hufanya viapo vya damu na ukisaliti kiapo hicho basi lazima upatwe na mabaya.

Mambo ni mengi sana kuhusu damu. Sasa swali ni kwamba damu ina kitu gani ndani take mpaka iaminike kuwa na nguvu hizo zote? Wajuzi na wataalam popote mlipo karibuni.

Asanteni
Ngoja waje wataalamu wa haya mambo tuwasikie
Watu kama kina mshana Jr ndio mahali pao hapa ,ngoja waje
Damu ni uhai
Alikufa msalabani kwa ajili yetu ili tusamehewe dhambi, tufutiwe makosa yetu, tuwe huru n.k. wa k.d.

Uhai, ndani ya damu kuna chembe hai

Damu nzito kuliko maji, maji pia ni uhai....

Ni mejiuliza tuu, uhai wa maji na uhai wa damu.....???

Mwili wa binadamu una maji asilimia 75, sina uhakika damu iko asilimia ngapi kwenye mwili wa binadamu kiasi kwamba kimojawapo kikipungua sana basi binadamu huyo hukosa uhai....

UHAI.....

Fikra tatashi za kigagula, mimea nayo ina uhai, japo haiona damu ila ina majimaji.....

Mahali pasipokuwa na maji inaaminika hakuna uhai na kama upo ni kwa taabu na shida sana, yaani hapo hakuna mmea wala mnyama atayezeza kumudu kuishi mazingira hayo.

Ndani ya DAMU kuna MAJI....

Nami najiuliza kama mtoa mada, kama MAJI ni UHAI, DAMU ni nini??

K' Matata
CC Mshana Jr

Sent from my SM-A307FN using JamiiForums mobile app
 
Mtu anayeweza kuchangia thread hii na kwa usahihi wa hali ya juu sana, ni Mshana Jr tu . Hapa simaanishi kuwa michango ya wengine inaweza kuwa siyo sahihi, hapana. Michango yao itakuwa sahihi, ila mchango utakaokuwa sahihi kuzidi michango yote ni wa Mshana Jr
 
Back
Top Bottom