uzalendo

Chama Cha Uzalendo (English: The Patriotic Party) is a Kenyan political Party that was one of several affiliates of Mwai Kibaki's Party of National Unity in the 2007 general election. It is currently headed by veteran politician and former Nakuru North Constituency Member of Parliament Koigi Wamwere and had two elected Members of Parliament in Central Imenti's Gitobu Imanyara and Wavinya Ndeti in kenya's 10th Parliament.

View More On Wikipedia.org
  1. Masalu Jacob

    JamiiForums Tanzania Uzalendo na maana yake kwenye maendeleo katika Taifa

    Habari Tanzania! Naomba niwakumbushe vijana, wazee na watoto machipukizi ya kuwa Uzalendo huwa unajumuisha na kubebwa kifuani na watu wachache. Katika taifa lolote walio wazalendo huwa ni wachache sana na wanauwezo wa kufanya lolote, popote na wakati wowote kwa kuishi katika manufaa ya taifa...
  2. C

    JamiiForums Tanzania Waliokuwa wanatukana watu kwa mgongo wa uzalendo bado wapo?

    Kwa kweli hii nchi ilikuwa imefikia pabaya kwa baadhi ya makundi kutoa lugha za kashfa,dharau ,ubabe ,matusi kisa kumlinda au kumtetea mwendazake na maovu yake Kuna mtu anatokea kanda ya ziwa alikuwa na magazeti ya kuwatukana watanzania siku hizi sijui kama hayo magazeti yapo Kila wiki yupo...
  3. F

    JamiiForums Tanzania Uzalendo wetu uko wapi?

    Uzalendo ni hali ya mtu kuwa na uchungu hasa juu ya nchi naJamii kwa ujumla. Shana hii ni Pana na pengine ilipaswa kufundishwa kwenye shule zetu kwa ngazi zote. Msingi wa hoja yangu ni dhidi ya ubinafsi mkubwa uliojaa kwenye jamii zetu ikiwa ni pamoja na wale wote wenye fursa ya kuhubiri...
  4. mngony

    JamiiForums Tanzania Vijana wengi CCM ni wanafki,wenye tamaa na wasio na Uzalendo

    Ni vile tu ni kwa sababu ni vijana ni sehemu ya Chama, lakini naamini Mama hana jinsi lakini sote tunafahamu kuwa asilimia 90 ya vijana wa CCM ni wanafki, wamejawa na tamaa ya maisha huku wakiwa wameweka maslahi binafsi kuliko Uzalendo. Tukichukulia mfano wa Wakuu wa Wilaya na Mikoa kwa miaka...
  5. mngony

    JamiiForums Tanzania Vijana wengi CCM ni wanafiki, wenye tamaa na wasio na Uzalendo

    Ni vile tu ni kwa sababu ni vijana ni sehemu ya Chama, lakini naamini Mama hana jinsi lakini sote tunafahamu kuwa asilimia 90 ya vijana wa CCM ni wanafki, wamejawa na tamaa ya maisha huku wakiwa wameweka maslahi binafsi kuliko Uzalendo. Tukichukulia mfano wa Wakuu wa Wilaya na Mikoa kwa miaka...
  6. S

    JamiiForums Tanzania Bajeti 2021/22: Kodi ya uzalendo ni kaa la moto. Kila laini ya simu itakatwa Sh. 100 kila siku

    Mapendekezo ya bajeti ya 2021/2022 ni kwamba moja ya vyanzo vya fedha iwe ni kodi ya laini za simu. Kila laini ya simu kwa mujibu wa mapendekezo yaliyosomwa na waziri wa fedha itakatwa kati ya Tshs 10/= mpk Tshs 100/= kwa kila siku. Bila kusahau VAT na makato mengine yaliyokuwepo yataendelea...
  7. Risk manager

    JamiiForums Tanzania Viongozi wa juu wawe Mfano wa Uzalendo

    Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania! Niende kwenye mada husika hapo juu. Viongozi kama wabunge na mawaziri mpaka sijui nani huko juu. Wangeonesha mfano mzuri wa kukupenda taifa lao kwa kukubali nusu ya mshahara wao na marupurupu yao yote yakatwe yaelekezwe kuajiri walimu...
  8. Unique Flower

    JamiiForums Tanzania Ray C asema uzalendo uanzie kwa Diamond aache 'kuwachamba' wasanii wenziye

    Ray C amenikera kisa hivi anasema Diamond ana roho mbaya. Seriously? Kumbukeni Harmonize kabla hakuwa mwanamuziki wakina Rita walimkataa umeona eh? Ni Daimond ndio alimleta kwenye muziki akafika hapo alipo sio siri ni ukweli unaonekana. Sio kila kitu uwape watu. Kwa hiyo wanaomsema Daimond sio...
  9. Meneja Wa Makampuni

    JamiiForums Tanzania Ndani ya uzalendo kuna imani kali ya mambo chanya

    Mimi leo nimefikiria nimegundua Ndani ya uzalendo kuna imani kali. Kuwa mzalendo sio rahisi kwasababu uzalendo umebebwa na imani kali ya mambo chanya. Chukulia mfano mzalendo wetu Martin Ruther Jr. Imani aliyokuwa nayo huyu jamaa kwa Marekani sio mchezo.
  10. U

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Watanzania walioishabikia kipigo cha goli 4-0 kutoka kwa Kaizer Chief wamekosa uzalendo

    Nikiwa Mtanzania Mzalendo nimeumia sana kuona baadhi ya wenzetu waliomua kwa makusudi kutusaliti kwa kuwapa support wageni Nimesikitishwa sana na kitendo cha baadhi ya Watanzania kuamua kuishabikia timu ya Kaizer Chief FC ya Afrika Kusini na kuibeza timu yetu ya Simba kufuatia kipigo cha goli 4...
  11. E

    JamiiForums Tanzania Uzalendo ni nini?

    Wana jamvi, Haya tunahitaji maoni yenu jinsi ya kuweza kutoa elimu ya uzalendo kwa mafisadi na wananchi kwa ujumla Kwanza naomba mtambue nini maana ya uzalendo: UZALENDO ni ile hali ya mtu kuipenda na kuithamini nchi yake na kuweka maslahi ya taifa lake mbele. Uzalendo ni neno dogo lakini...
  12. Nyankurungu2020

    JamiiForums Tanzania Huku kazi ikiwa inaendelea tukumbuke kuwa Mwl. Nyerere alijenga uzalendo na umoja wa hali ya juu, kwanini sasa haiwezekani?

    Ni wazi kabisa wakati wa utawala wa Hayati Nyerere watu walikuwa na maisha duni sana. Sehemu nyingi hazikuwa na barabara nzuri kama hii leo, sehemu nyingi hazikuwa na maji kama hii leo, hata hali ya watu kupata mavazi mazuri kama hii leo ilikuwa ni kazi ngumu. Shule zilikuwa ni za umma...
  13. Influenza

    JamiiForums Tanzania Azzan Zungu ataka uwepo wa kodi ya uzalendo itakayokatwa kwenye Mitandao ya simu kwa kila Mtanzania

    Mbunge wa Ilala, Azzan Zungu ametaka kuwepo na kodi ya uzalendo itakayokatwa katika mitandao ya simu kwa kila Mtanzania kwa siku kama chanzo kipya cha mapato kwa Serikali. Amesema kiasi hicho kikikatwa kwa Watanzania milioni 30 kati ya wote waliopo nchini huweza kufikisha shilingi bilioni 540...
  14. J

    JamiiForums Tanzania CDF Mabeyo: JKT siyo sehemu ya ajira bali ni sehemu ya kuwafundisha vijana uzalendo

    Mkuu wa majeshi nchini Generali wa nyota 4 Mabeyo amesema JKT siyo sehemu ya ajira bali ni sehemu ya kuwafunza na kuwaandaa vijana kuitumikia nchi yao kwa uzalendo. CDF amesema kwa sasa vijana wanakwenda kwa utaratibu wa kujitolea na jeshi linauangalia kwa upya utaratibu huo. Chanzo: TBC
  15. Queen Esther

    JamiiForums Tanzania Tuiangalie ATCL kwa Jicho la Uzalendo

    Shirika la Ndege la ATCL ni moja ya icon kubwa kwa nchi yetu! Ni wazi inatakiwa kuangaliwa kwa jicho la KIZALENDO hususan ni baada ya taarifa ya CAG kuonesha hasara ya 60 bilioni haikutokana na ufisadi na wizi. Mambo makubwa yaliyosababisha hasara kwa mujibu wa CAG ni haya yafuatayo:-...
  16. DR HAYA LAND

    JamiiForums Tanzania Vijana wa ccm ndo wapinga maendeleo,watu waliokosa uzalendo .

    Kwa upingaji huu wa step anazochukua Rais mnaonesha kuwa mmekosa akili za busara. Nyie furaha yenu nikutaka kuona watu wanateseka. "Mungu wetu yuhai"
  17. Komeo Lachuma

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Serikali itoe Ngao ya Uzalendo na Ushujaa uliotukuka kwa Simba S. C. Na pia lifanyike hili

    Kitendo ambacho Simba imefanya ni kitendo cha Uzalendo na Ushujaa Uliotukuka. Ni kitendo cha Kuigwa kwa Kila Mtanzania na Mwafrika kwa Ujumla. Simba imepambania Taifa la Tanzania ikiwa imeweza waunganisha hata na wachezaji wa nchi nyingine kuipambania Tanzania. Sasa mwakani Tanzania tunaingiza...
  18. B

    JamiiForums Tanzania Lugha zenye kudumaza: Masikini, Wanyonge, Uzalendo na Mabeberu

    Huko nyuma, wale watu waliokutwa na virusi vyenye kusababisha ukimwi au ubakwaji, walikuwa wanaitwa waathirka (victims). Lakini kadri muda unavyoenda imegundulika hizi ni lugha zenye kurudisha watu nyuma na wengine mpaka sasa hivi wanaitwa survivors. Bahati mbaya wanasiasa wa chama hiki tawala...
  19. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Uandishi wa historia ya uzalendo

    UANDISHI WA HISTORIA YA UZALENDO TANZANIA Somo la historia ya Tanzania litaanza kufundishwa katika shule za msingi kuanzia Machi, 2021 baada ya Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) kukamilisha uandishi wa rasimu na mihtasari. Hatua hiyo ni utekelezaji wa agizo la Rais John Magufuli alilolitoa...
  20. Idugunde

    JamiiForums Tanzania ACT wazalendo waonyesha uzalendo. Wengine wanatakiwa kuiga

    Huu ni mfano wa kuiga maana huu ni msiba wa kitaifa. === CHAMA cha ACT- Wazalendo kimewataka wanachama wake kujitokeza kwa wingi siku ya Jumanne Machi 23, 2021 katika Uwanja wa Amaan mjini Unguja, Zanzibar kwa ajili ya kumuaga aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Magufuli.
Back
Top Bottom