Kweli serikali hii imekosa great thinkers wa kuisadia yaaani it does not make sense mfano natuma hela kwa mzee wangu Crdb million 4 nakatwa 11,800 arafu mjinga mmoja na akili za ajabu anakwambia kutuma million 4 kwa simu ni 15,000 or 21,500
Sasa hapo bado uliyemtumia hajaenda kutoa.
Huu ni ujinga ujinga ujinga.
Kama wangekuwa wanataka tozo ya serikali wangeweka flat rate 100 kila transfer inayofanyika.
HIVI KWANINI SERIKALI INAPENDA KUNYONYA HELA ZA WALALAHOI BILA YA KUZIFANYIA KAZI?
Sasa hapo bado uliyemtumia hajaenda kutoa.
Huu ni ujinga ujinga ujinga.
Kama wangekuwa wanataka tozo ya serikali wangeweka flat rate 100 kila transfer inayofanyika.
HIVI KWANINI SERIKALI INAPENDA KUNYONYA HELA ZA WALALAHOI BILA YA KUZIFANYIA KAZI?