Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 2,204
- 4,694
Nikiwa Mtanzania Mzalendo nimeumia sana kuona baadhi ya wenzetu waliomua kwa makusudi kutusaliti kwa kuwapa support wageni
Nimesikitishwa sana na kitendo cha baadhi ya Watanzania kuamua kuishabikia timu ya Kaizer Chief FC ya Afrika Kusini na kuibeza timu yetu ya Simba kufuatia kipigo cha goli 4
Ni kitendo kibaya cha kusikitisha, kutia huzuni na cha aibu kubwa kwa Watanzania hao walioamua kuisaliti nchi yao kwa kushabikia wageni huku wakitambua Simba inasimama kwa niaba yetu sote
Kushindwa kwa Simba ni kushindwa kwa Tanzania
Mafanikio ya Simba ndiyo mafanikio ya Tanzania
Ni msiba wetu sote kama Taifa hivyo tufarijiane na kutiana nguvu wakati huu wa huzuni huku tukijaribu kurekebisha mapungufu yetu madogo
Niombe Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania litoe kauli ya kuwafariji WanaSimba na Watanzania kwa ujumla
Nimesikitishwa sana na kitendo cha baadhi ya Watanzania kuamua kuishabikia timu ya Kaizer Chief FC ya Afrika Kusini na kuibeza timu yetu ya Simba kufuatia kipigo cha goli 4
Ni kitendo kibaya cha kusikitisha, kutia huzuni na cha aibu kubwa kwa Watanzania hao walioamua kuisaliti nchi yao kwa kushabikia wageni huku wakitambua Simba inasimama kwa niaba yetu sote
Kushindwa kwa Simba ni kushindwa kwa Tanzania
Mafanikio ya Simba ndiyo mafanikio ya Tanzania
Ni msiba wetu sote kama Taifa hivyo tufarijiane na kutiana nguvu wakati huu wa huzuni huku tukijaribu kurekebisha mapungufu yetu madogo
Niombe Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania litoe kauli ya kuwafariji WanaSimba na Watanzania kwa ujumla