Utafiti uliofanywa umeonyesha kuwa uvaaji wa Maski na social distancing vinasaidia sana kupunguza ueneaji wa virusi vya Corona.
Kwetu hapa Tanzania, wananchi walikuwa wameanza kuwa na mwamko wa kuvaa barakoa. Ilikuwa ukienda kwenye madaladala au magari ya mwendokasi unakuta wananchi wamevaa...
KAMA NILIVYOWAONA KATIKA UTAFITI WA HISTORIA YA TANGANYIKA
BARAZA LA MAWAZIRI WA TANGANYIKA 1963
Julius K. Nyerere, 41 years old, President
Rashidi Mfaume Kawawa, 34 years old, Vice-President
Sheikh Amri Karuta Abedi, 39 years old, Minister of Justice
Derek Noel Maclean Bryceson, 40 years...
Amewaponngeza Watu wa Singida na kufurahi mnama mkoa huo unavyopendeza. Amesema amefurahi kuona Watanzania wakiwa wandelea kuomba kuhusu #COVID19
Rais #Magufuli:
Janga la #COVID19 limepungua sana pamoja na kuwa bado hailijaisha.
Ndugu zangu tuendelee kuchukua hatua. Katika mkoa wa Singida...
Kwa muda sasa tangia ugonjwa wa Corona umeingia miye kama mdau katika maisha ya kawaida nimekuwa nikifuatilia mwelekeo wa ugonjwa na wa mada katika forums mbali mbali.
Kote mada trending zimeendelea (kama si zote) kuwa ni za kuhusiana na Corona.
Nadhani ni kwa sababu kama hizo ndiyo maana hata...
Serikali ya Tanzania imepokea msaada wa dawa ya kutibu na kujikinga na ugonjwa wa COVID-19 unaosababishwa na Virusi vya Corona uliotolewa kwa Tanzania na Nchi ya Madagascar, Msaada huo umepokelewa na Waziri wa Mambo ya Nje Prof Palamagamba John Aidan Mwaluko Kabudi.
Ndege maalum ya ujumbe...
Wakati tukiagiza dawa inayosemekana kutibu corona, habari ni kwamba rais wa nchi hiyo ndio kwanza ameagiza watafiti waifanyie uchunguzi (clinical trial) mtishamba huu. Nilisikia rais akisema anatuma ndege kwenda kuchukua mtishambahuu kumbe haujathibitishwa kitaalamu? Tuwe makini na afya za watu...
Anaitwa Yahya Mnung'a yuko clauds tv kwa sasa.
Kaulizwa papai linaweza kuwa na corona
Majibu: papai haliwezi kuwa na corona ila linaweza kuwa aliyelipeleka alilitoa wapi na limepitia katika mikono ya watu gani.
Swali: je maabara yetu inaweza kuwa na hujuma na wataalamu hewa?
Majibu: maabara...
Utafiti nchini Marekani unaonyesha kuwa bleach (ambayo ina chlorine), inaua virusi vya corona kwa haraka. Chlorine ndio iliyo kwenye dawa inayotumika kunyunyuzia huko mitaani na kwenye mabasi. Virusi hivyo pia ni dhaifu sana kwenye jua kali:
".....William Bryan, acting head of the Department of...
Wanawake ni viumbe vinavyopenda Sana kuchunguza Mambo madogomadogo ya watu ikiwemo muonekano.
Mwanamke akikuangalia Sana jua anakuthaminisha kihivi...
Rangi
Urefu
Umbile
Kipato
Nini unamzidi
Kipi anakuzidi
Anakudefine pia who u might be
Sasa tafiti zinaonyesha kwamba mwanamke akikuangalia...
Wanasayansi wa Uganda wafanya utafiti wa kutengeneza chanjo dhidi ya virusi vya Corona
Rais Yoweri Museveni wa Uganda amesema wanasayansi nchini humo wanajitahidi kufanya utafiti utakaosaidia kutengeneza chanjo dhidi ya virusi vya Corona.
Rais Museveni amesema, wanasayansi kutoka Taasisi ya...
The University of Nairobi has proposed that 2.5 per cent of funds mobilised to fight Covid-19 be channelled towards the development of diagnostics, therapeutics and vaccines.
The university, in a memo to the Senate’s ad hoc Committee on the Covid-19 Situation, further called for tax exemptions...

BERLIN, UJERUMANI
WATAFITI katika Chuo Kikuu cha Göttingen nchini Ujerumani wametahadharisha kuwa huenda visa vya maambukizi ya virusi vya Corona duniani vimepindukia mamilioni kwa mamilioni.
Watafiti wanasema kufikia sasa ni asilimia 6% tu ya mambukizi hayo ambayo yamegundugulika...
Waziri wa afya Mh. Ummy muda huu anazungumza na viongozi mbalimbali wa dini juu ya mikakati ya kudhibiti Corona.
--
ALIYOZUNGUMZA WAZIRI UMMY MWALIMU (KWA UFUPI)
Viongozi wa dini mnayo nafasi ya kipekee kutoa taarifa sahihi, kwa weledi na uwazi, hivyo kupunguza uwepo wa taarifa zisizo za kweli...
Baada ya kuona Corona inawachakaza wazungu vibaya mno, wanasayansi wao wameamua kufanya mipango ya kuja kuwatumia wa-Afrika weusi kama ‘guinee pigs’ (panya wa majaribio) kwa kisingizio cha kuja kutoa chanjo, kumbe lengo ni kufanyia utafiti hizo chanjo kuona ipi ina madhara na ipi inafanya kazi...
Njia ya Jangwani imefungwa kuanzia saa 10:15 jioni kutokana na mafuriko kwa mvua inayoendelea kunyesha katika Jiji la Dar es Salaam
Wasafiri wanashauriwa kutumia usafiri mbadala ikiwemo daladala mpaka Morocco kwa wale wanaotokea Posta kwenda Kimara. Wakifika Morocco wanaweza kuendelea na...
Watafiti wa vyuo vikuu na taasisi kadhaa za utafiti wa magonjwa ya mlipuko nchini Marekani, wamechapisha utafiti mpya wa kimaabara unaotoa mwanga mkubwa wa namna virusi wa Covid19 wanavyasambaa na kuambukizwa kutoka mtu mmoja hadi mwingine (UKO HAPA). Kwa kuwa sio kila mtu anasoma machapisho ya...
Kutokana na mlipuko wa Ugonjwa wa Homa Kali ya Mapafu naosababishwa na Virusi vya Corona unaoenea kwa kasi duniani, Tanzania sio kisiwa Naomba wote tufanye yafuatayo ili kuchukua hatua mapema:
1. Wahi kununua Mask kwa familia, mlipuko ukianza hizo Mask hazitaweza kupatikana kiurahisi
2. Nunua...
Mimba kutunga nje ya mfuko wa uzazi wa mwanamke au ectopic pregnancy ni tatizo ambalo limetokea kuathiri wanawake mbalimbali. Kwa kawaida, isipokuwa mara chache sana, mimba zitungazo nje ya mfuko wa uzazi hazina uwezo wa kukua kuwa mtoto kamili. Aidha, mimba hizi ni hatari kwa afya ya mama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.