utafiti

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    Utafiti waonyesha Mask na Social distance inasaidia kupunguza usambaaji wa Corona

    Utafiti uliofanywa umeonyesha kuwa uvaaji wa Maski na social distancing vinasaidia sana kupunguza ueneaji wa virusi vya Corona. Kwetu hapa Tanzania, wananchi walikuwa wameanza kuwa na mwamko wa kuvaa barakoa. Ilikuwa ukienda kwenye madaladala au magari ya mwendokasi unakuta wananchi wamevaa...
  2. Mohamed Said

    Kama nilivyowaona katika utafiti wa historia ya Tanganyika

    KAMA NILIVYOWAONA KATIKA UTAFITI WA HISTORIA YA TANGANYIKA BARAZA LA MAWAZIRI WA TANGANYIKA 1963 Julius K. Nyerere, 41 years old, President Rashidi Mfaume Kawawa, 34 years old, Vice-President Sheikh Amri Karuta Abedi, 39 years old, Minister of Justice Derek Noel Maclean Bryceson, 40 years...
  3. Analogia Malenga

    Singida: Rais Magufuli awasihi Watanzania kuchapa kazi. Corona haikuanzia Afrika na imewakoromea wote hata wale wenye uwezo

    Amewaponngeza Watu wa Singida na kufurahi mnama mkoa huo unavyopendeza. Amesema amefurahi kuona Watanzania wakiwa wandelea kuomba kuhusu #COVID19 Rais #Magufuli: Janga la #COVID19 limepungua sana pamoja na kuwa bado hailijaisha. Ndugu zangu tuendelee kuchukua hatua. Katika mkoa wa Singida...
  4. B

    Utafiti: Mada za Corona viz a vis mada nyingine kwenye forums mbalimbali

    Kwa muda sasa tangia ugonjwa wa Corona umeingia miye kama mdau katika maisha ya kawaida nimekuwa nikifuatilia mwelekeo wa ugonjwa na wa mada katika forums mbali mbali. Kote mada trending zimeendelea (kama si zote) kuwa ni za kuhusiana na Corona. Nadhani ni kwa sababu kama hizo ndiyo maana hata...
  5. figganigga

    Tanzania yapokea Msaada wa Dawa ya kufubaza COVID-19 kutoka Madagascar

    Serikali ya Tanzania imepokea msaada wa dawa ya kutibu na kujikinga na ugonjwa wa COVID-19 unaosababishwa na Virusi vya Corona uliotolewa kwa Tanzania na Nchi ya Madagascar, Msaada huo umepokelewa na Waziri wa Mambo ya Nje Prof Palamagamba John Aidan Mwaluko Kabudi. Ndege maalum ya ujumbe...
  6. F

    Kumbe dawa ya corona tunayotaka kununu kutoka Madagascar haijafanyiwa clinical trials? Ndio wanataka waanze kuifanyia utafiti.

    Wakati tukiagiza dawa inayosemekana kutibu corona, habari ni kwamba rais wa nchi hiyo ndio kwanza ameagiza watafiti waifanyie uchunguzi (clinical trial) mtishamba huu. Nilisikia rais akisema anatuma ndege kwenda kuchukua mtishambahuu kumbe haujathibitishwa kitaalamu? Tuwe makini na afya za watu...
  7. Return Of Undertaker

    Rais wa wataalamu wa maabara Yahya Mnung'a yupo mubashara Clouds 360 anazungumzia utafiti wa Rais Magufuli

    Anaitwa Yahya Mnung'a yuko clauds tv kwa sasa. Kaulizwa papai linaweza kuwa na corona Majibu: papai haliwezi kuwa na corona ila linaweza kuwa aliyelipeleka alilitoa wapi na limepitia katika mikono ya watu gani. Swali: je maabara yetu inaweza kuwa na hujuma na wataalamu hewa? Majibu: maabara...
  8. Omusolopogasi

    Utafiti: Chroline inaua virusi vya Corona kwa haraka

    Utafiti nchini Marekani unaonyesha kuwa bleach (ambayo ina chlorine), inaua virusi vya corona kwa haraka. Chlorine ndio iliyo kwenye dawa inayotumika kunyunyuzia huko mitaani na kwenye mabasi. Virusi hivyo pia ni dhaifu sana kwenye jua kali: ".....William Bryan, acting head of the Department of...
  9. Superbug

    Utafiti: Ukitaka mwanamke asikuangalie sana fanya haya...

    Wanawake ni viumbe vinavyopenda Sana kuchunguza Mambo madogomadogo ya watu ikiwemo muonekano. Mwanamke akikuangalia Sana jua anakuthaminisha kihivi... Rangi Urefu Umbile Kipato Nini unamzidi Kipi anakuzidi Anakudefine pia who u might be Sasa tafiti zinaonyesha kwamba mwanamke akikuangalia...
  10. Corticopontine

    #COVID19 Museveni Yoweri Kaguta: Wanasayansi wa Uganda wako Maabara kufanya utafiti wa kutengeneza chanjo ya CORONA

    Wanasayansi wa Uganda wafanya utafiti wa kutengeneza chanjo dhidi ya virusi vya Corona Rais Yoweri Museveni wa Uganda amesema wanasayansi nchini humo wanajitahidi kufanya utafiti utakaosaidia kutengeneza chanjo dhidi ya virusi vya Corona. Rais Museveni amesema, wanasayansi kutoka Taasisi ya...
  11. simplemind

    University of Nairobi imependekeza 2.5 % ya mfuko (funds) wa Covid ugharamia utafiti wa Corona

    The University of Nairobi has proposed that 2.5 per cent of funds mobilised to fight Covid-19 be channelled towards the development of diagnostics, therapeutics and vaccines. The university, in a memo to the Senate’s ad hoc Committee on the Covid-19 Situation, further called for tax exemptions...
  12. Miss Zomboko

    Utafiti: Yawezekana maambukizi ya corona ni mengi kuliko inavyoripotiwa duniani kote

     BERLIN, UJERUMANI WATAFITI katika Chuo Kikuu cha Göttingen nchini Ujerumani wametahadharisha kuwa huenda visa vya maambukizi ya virusi vya Corona duniani vimepindukia mamilioni kwa mamilioni. Watafiti wanasema kufikia sasa ni asilimia 6% tu ya mambukizi hayo ambayo yamegundugulika...
  13. J

    Waziri Ummy Mwalimu: Maambukizi COVID-19 ya ndani kwa ndani yameanza, Watanzania wajiandae kwa maambukizi ya Jumuiya

    Waziri wa afya Mh. Ummy muda huu anazungumza na viongozi mbalimbali wa dini juu ya mikakati ya kudhibiti Corona. -- ALIYOZUNGUMZA WAZIRI UMMY MWALIMU (KWA UFUPI) Viongozi wa dini mnayo nafasi ya kipekee kutoa taarifa sahihi, kwa weledi na uwazi, hivyo kupunguza uwepo wa taarifa zisizo za kweli...
  14. FRANCIS DA DON

    Video: Imevuja! Wanasayansi Wakizungu wanaswa wakifanya michakato ya kuja kufanya majaribio ya chanjo ya Corona Afrika kwa kisingizio cha utafiti!

    Baada ya kuona Corona inawachakaza wazungu vibaya mno, wanasayansi wao wameamua kufanya mipango ya kuja kuwatumia wa-Afrika weusi kama ‘guinee pigs’ (panya wa majaribio) kwa kisingizio cha kuja kutoa chanjo, kumbe lengo ni kufanyia utafiti hizo chanjo kuona ipi ina madhara na ipi inafanya kazi...
  15. Analogia Malenga

    Dar: Barabara ya Jangwani yafungwa kutokana na mvua zinazoendelea

    Njia ya Jangwani imefungwa kuanzia saa 10:15 jioni kutokana na mafuriko kwa mvua inayoendelea kunyesha katika Jiji la Dar es Salaam Wasafiri wanashauriwa kutumia usafiri mbadala ikiwemo daladala mpaka Morocco kwa wale wanaotokea Posta kwenda Kimara. Wakifika Morocco wanaweza kuendelea na...
  16. Dr Mathew Togolani Mndeme

    Utafiti mpya wa kisayansi wa Covid19 – Msaada mkubwa wa kujikinga na kuzuia maambukizi kwa wengine

    Watafiti wa vyuo vikuu na taasisi kadhaa za utafiti wa magonjwa ya mlipuko nchini Marekani, wamechapisha utafiti mpya wa kimaabara unaotoa mwanga mkubwa wa namna virusi wa Covid19 wanavyasambaa na kuambukizwa kutoka mtu mmoja hadi mwingine (UKO HAPA). Kwa kuwa sio kila mtu anasoma machapisho ya...
  17. Herbalist Dr MziziMkavu

    Mlipuko wa maradhi ya homa ya mapafu corona virus duniani kote

    Kutokana na mlipuko wa Ugonjwa wa Homa Kali ya Mapafu naosababishwa na Virusi vya Corona unaoenea kwa kasi duniani, Tanzania sio kisiwa Naomba wote tufanye yafuatayo ili kuchukua hatua mapema: 1. Wahi kununua Mask kwa familia, mlipuko ukianza hizo Mask hazitaweza kupatikana kiurahisi 2. Nunua...
  18. Herbalist Dr MziziMkavu

    Tatizo la Mimba Kutunga Nje ya Mfuko wa Uzazi (Ectopic Pregnancy)

    Mimba kutunga nje ya mfuko wa uzazi wa mwanamke au ectopic pregnancy ni tatizo ambalo limetokea kuathiri wanawake mbalimbali. Kwa kawaida, isipokuwa mara chache sana, mimba zitungazo nje ya mfuko wa uzazi hazina uwezo wa kukua kuwa mtoto kamili. Aidha, mimba hizi ni hatari kwa afya ya mama...
Back
Top Bottom