Mafanikio Halisi: Watu au Vitu?

Mafanikio Halisi: Watu au Vitu?

de Gunner

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2021
Posts
10,619
Reaction score
21,161
Swali: mbona watu husahau umuhimu wa watu na kuvipa vitu umuhimu mpaka waafikiapo mwisho wa safari?

Watu wengi wakifika mwisho wa maisha hasa wazee.. Huwa na tabia flani hivi za kuthamini sana upendo...

Wengi wao huwa kama watoto tena... Yaani the ego looses control and the pure human nature comes to play.

Wananza kuthamini vitu ambavyo havishikiki tena, kama ni mzazi lazima akupigie simu daily kukujulia hali, na usipo kwenda kumwona atajisikia upweke.

Wengi wao huanza kuhudhuria dini na kuishi maisha yasiyo na vinyongo. Yaani hata kama alikuwa mtu mbinafsi sana anaweka pembeni.(sio wote lakini)..

Na ukikuta anatoa ushauri ni ule wa hekima na usio wa kumpa mtu kiburi, mwishoni kabisa watu hawa Ukiwauliza ni nini cha maana katika maisha. Hawawi na kumbukumbu ya vitu bali watu..

Hisia ndo hubaki, na hisia mara nyingi hazipatikani kwenye vitu. Kwanini binadamu ni kiumbe kisahaulifu...

Je ni kawaida na lengo la muumba? Au ni kwasababu ya umuhimu ajipao binadamu? Maana binadamu ni kiumbe kibishi sana.

True success comes after mastering how to fully make the world a better place, not self serving chase which only fades away...

Ndo maana nikiona mtu ana ivimbia bia, pesa au majumba na haja accomplish kitu non tangible kwa jamii, naona mlimbukeni tuu.

Karibuni kwa discussion.
 
Mafanikio halisi yanapatikana katika watu, sio vitu.

Vitu kama fedha, magari, na nyumba kubwa ni njia tu ya kurahisisha maisha, lakini haviwezi kuwa kipimo cha mwisho cha mafanikio.

Sababu kwanini watu ndio mafanikio halisi

Uimara wa mabadiliko:
Vitu vinaweza kuharibika, kupotea, au kushuka thamani, lakini uwekezaji unaofanya kwa binadamu mwenzako hudumu vizazi na vizazi.

Amani ya ndani:
Furaha ya kweli haitokani na kile unachomiliki, bali inatokana na ubora wa uhusiano wako na familia, marafiki, na jamii inayokuzunguka.

Urithi wa kudumu:
Unapoondoka duniani, watu hawatakumbuka aina ya gari ulilokuwa ukiendesha; watakumbuka jinsi ulivyowasaidia, kuwatia moyo, na kubadilisha maisha yao.

Ukuaji wa pamoja:
Kuinua wengine kiuchumi, kielimu, au kisaikolojia kunatengeneza jamii salama na yenye ushirikiano, jambo ambalo vitu pekee haviwezi kufanya.

Uhusiano kati ya watu na vitu
Vitu vinapaswa kutumika kama zana tu ya kuwahudumia na kuwasaidia watu. Ukwasi una maana pale tu unapotumika kuleta tabasamu, afya bora, na maendeleo kwa jamii.
 
Tabia zipi unazo na zipi hauna?
Unge fafanua kidogo
Nitakujulisha baadae

Ndani ya mada nadhani watu wazima hua wanajihisi wapweke sana labda kwa sababu hawawezi kujichanganya
Kama zamani

Walikua wanaweza kutoka weekend na marafiki labda before ya kustaafu alikua kila siku anaenda kazini njiani anakutana na watu wapya na mazingira toafuti

Kazini watu wapo hawezi kua bored

Mara safari za kikazi kibiashara nk...

Ila sasa anapokua mtu mzima pengine amestaafu tayari kama hana miradi mingine anaanza kushinda nyumbani

Unakuta nyumbani kwenyewe hakuna watu au hata kama wapo ni wale wale watoto au wajukuu

Pengine watoto wapo mbali sasa hapa atataka apigiwe simu kila siku

Akipigiwa anaona au anahisi bado ana pendwa na kuthaminika kama zamani
Asipopigiwa anaweza kuhisi amepuuzwa kwa kua ni mzee

Hiyo ya kuhudhuria nyumba za ibada mwingine huamini kua yupo mwishoni mwishoni so anatengeneza njia yake kwenda kwenye maisha mengine hii ni kwa wale wa imani ya dini


Kuhusu kushauri kwa busara ni kwa sababu tayari ana experience ya vingi japo wajinga pia huzeeka

Elevenn
 
Nitakujulisha baadae

Ndani ya mada nadhani watu wazima hua wanajihisi wapweke sana labda kwa sababu hawawezi kujichanganya
Kama zamani

Walikua wanaweza kutoka weekend na marafiki labda before ya kustaafu alikua kila siku anaenda kazini njiani anakutana na watu wapya na mazingira toafuti

Kazini watu wapo hawezi kua bored

Mara safari za kikazi kibiashara nk...

Ila sasa anapokua mtu mzima pengine amestaafu tayari kama hana miradi mingine anaanza kushinda nyumbani

Unakuta nyumbani kwenyewe hakuna watu au hata kama wapo ni wale wale watoto au wajukuu

Pengine watoto wapo mbali sasa hapa atataka apigiwe simu kila siku

Akipigiwa anaona au anahisi bado ana pendwa na kuthaminika kama zamani
Asipopigiwa anaweza kuhisi amepuuzwa kwa kua ni mzee

Hiyo ya kuhudhuria nyumba za ibada mwingine huamini kua yupo mwishoni mwishoni so anatengeneza njia yake kwenda kwenye maisha mengine hii ni kwa wale wa imani ya dini


Kuhusu kushauri kwa busara ni kwa sababu tayari ana experience ya vingi japo wajinga pia huzeeka

Elevenn
I love this perspective my g...

So kumbe sio kwa sababu vitu vya kidunia vimekosa maana, kumbe hana uwezo tena wa kuona thamani yake Kwa sababu amezeeka?

I get that, ila je what's your opinion about true success, je ni kwenye material au watu?
 
MAfanikio kwangu yatakuwa kufika miaka 75 nikiwa na uwezo wakushe yenta mbususu za warembo wa miaka 26 pasipo kuchoka
 
I love this perspective my g...

So kumbe sio kwa sababu vitu vya kidunia vimekosa maana, kumbe hana uwezo tena wa kuona thamani yake Kwa sababu amezeeka?
Mi naamini vitu havijawahi kupoteza thamani ila mtu ndiyo yupo kwenye position ya kupoteza thamani
Mf: ukaumwa ukakatazwa kunywa pombe au uambiwe usitumie chumvi au sukari
Sasa hapo ni vitu vimepoteza thamani au wewe upo kwenye position mbaya kutumia hivyo vitu

Maana wengine wanavitumia kama kawaida na hakuna tatizo
I get that, ila je what's your opinion about true success, je ni kwenye material au watu?

Hapa nitashindwa kukupa jibu la moja kwa moja ewe kijana mdogo 😉

Kwa sababu kila mtu ana namna yake ya kupima hicho kinachoitwa mafanikio
Mwingine atasema mafanikio yangu ni watu lakini cha kujiuliza hao watu kama huna kitu watakua upande wako au ni watu wa mdomoni

Mwingine atasema mafanikio yangu ni kwenye kumiliki labda pesa nyingi na mali kama majengo ardhi na biashara

Akiamini kwamba akiwa na hivyo mambo yatajiendesha yenyewe wala haitaji kutumia nguvu so kila mtu ana namna yake ya kutafsiri hilo jambo la mafanikio

Nadhani umetosheka mdogo wangu
 
Mi naamini vitu havijawahi kupoteza thamani ila mtu ndiyo yupo kwenye position ya kupoteza thamani
Mf: ukaumwa ukakatazwa kunywa pombe au uambiwe usitumie chumvi au sukari
Sasa hapo ni vitu vimepoteza thamani au wewe upo kwenye position mbaya kutumia hivyo vitu

Maana wengine wanavitumia kama kawaida na hakuna tatizo
Mmh umenipa food for thought mwanike...

You have this unconventional way of thinking.. Hongera sana..

So kumbe ni zao la sisi kujipa umuhimu sio?


Hapa nitashindwa kukupa jibu la moja kwa moja ewe kijana mdogo 😉
Why lakini, why unaniita kijana mdogo! ulisema before kuwa nibadilike, sasa Nime badilika unaipa za uso, Daah kazi kweli kweli

Kwa sababu kila mtu ana namna yake ya kupima hicho kinachoitwa mafanikio
Mwingine atasema mafanikio yangu ni watu lakini cha kujiuliza hao watu kama huna kitu watakua upande wako au ni watu wa mdomoni

Mwingine atasema mafanikio yangu ni kwenye kumiliki labda pesa nyingi na mali kama majengo ardhi na biashara

Akiamini kwamba akiwa na hivyo mambo yatajiendesha yenyewe wala haitaji kutumia nguvu so kila mtu ana namna yake ya kutafsiri hilo jambo la mafanikio
Yes, absolutely....umenipa challenge ya kutafakari kuhusu neno thamani naona liko so subjective, ila mm kwa upande wangu naona ukikosa watu, wewe ni mfwu tu...

We are social beings, ndo maana mtu aliyekosa malezi bora huishia kuwa toxic, kwenye jamii, uraibu mwingi na matendo mchafu chimbuko lake ni kukosa watu(wakupendao) na wengi tu nakuwa shaped na mazingira, hasa watu wanaotuzunguka.

Nadhani umetosheka mdogo wangu
Au sio, Daah haya bwana mshangazi
 
Gunner nimesoma uzi wako.

Nimetafakari katika circle ya wanadamu hasa wenye aina fulani ya personality kuna point ya mwisho kule karibu na mshale wa saa sita kamili, hiyo point inaitwa crisis& restoration.

Nafikiri ndio hapo mhusika anapokuja kurealize kuwa tunapochase mafanikio ya kidunia huwa tunasahau kionjo cha muhimu ambacho ni watu.
 
Nimetafakari katika circle ya wanadamu hasa wenye aina fulani ya personality kuna point ya mwisho kule karibu na mshale wa saa sita kamili, hiyo point inaitwa crisis& restoration.
Low key capitalist society imetu condiotion wengi wetu kuwa hivyo sana... Hivi ulisha wahi kupata mid life crisis? Wengi waioatayo hiyo hupata nafasi ya kujua huo umuhimu before old age..

Nafikiri ndio hapo mhusika anapokuja kurealize kuwa tunapochase mafanikio ya kidunia huwa tunasahau kionjo cha muhimu ambacho ni watu.
Exactly, we need people. Especially those we call family... But sadly siku hizi it will be your own flesh and blood kicking your ass
 
Swali: mbona watu husahau umuhimu wa watu na kuvipa vitu umuhimu mpaka waafikiapo mwisho wa safari?

Watu wengi wakifika mwisho wa maisha hasa wazee.. Huwa na tabia flani hivi za kuthamini sana upendo...

Wengi wao huwa kama watoto tena... Yaani the ego looses control and the pure human nature comes to play.

Wananza kuthamini vitu ambavyo havishikiki tena, kama ni mzazi lazima akupigie simu daily kukujulia hali, na usipo kwenda kumwona atajisikia upweke.

Wengi wao huanza kuhudhuria dini na kuishi maisha yasiyo na vinyongo. Yaani hata kama alikuwa mtu mbinafsi sana anaweka pembeni.(sio wote lakini)..

Na ukikuta anatoa ushauri ni ule wa hekima na usio wa kumpa mtu kiburi, mwishoni kabisa watu hawa Ukiwauliza ni nini cha maana katika maisha. Hawawi na kumbukumbu ya vitu bali watu..

Hisia ndo hubaki, na hisia mara nyingi hazipatikani kwenye vitu. Kwanini binadamu ni kiumbe kisahaulifu...

Je ni kawaida na lengo la muumba? Au ni kwasababu ya umuhimu ajipao binadamu? Maana binadamu ni kiumbe kibishi sana.

True success comes after mastering how to fully make the world a better place, not self serving chase which only fades away...

Ndo maana nikiona mtu ana ivimbia bia, pesa au majumba na haja accomplish kitu non tangible kwa jamii, naona mlimbukeni tuu.

Karibuni kwa discussion.
Ni vitu ili vitu vilete maendeleo kwa watu.
 
Kwa mtazamo wangu, hakuna kipimo sahihi au point ambayo ukifika ndo uonekane umefanikiwa, Bali mafanikio ya mtu anayajua mtu mwenyewe ingawa watu wengi hupima mafanikio kwa mtazamo wa vitu vinavoonekana kwa mtu huyo ingawa, muonekano wa nje unaweza kua indicator ya kuonesha mafanikio..
Hivyo basi kwa maana Pana mafanikio yanaweza kua na maana ya kutoka hali duni kwenda hali Bora zaidi katika maisha unayoishi, apa unajumuisha aspect zote maisha Yani uchumi, kijamii, na kisiasa.., kwa maana hio hapo Sasa ukijitazama wewe ndo utajua kwa maana hio kua umefanikiwa kiasi gani au vipi kwa kumtazama ulipokua, lakini sidhani kama kuna maximum point ya kusema ukifika hapa ndo inaonekana umefanikiwa
 
Back
Top Bottom