Jamaa anatesa masikinikijana siku hizi wamezikimbia nyuzi zako baada ya kuona unaleta picha halis, 😀😀😀
Kwani kuna ligi huku 🥲kijana siku hizi wamezikimbia nyuzi zako baada ya kuona unaleta picha halis, 😀😀😀
Dogo tunamjua kitambo sana watu wakadhani amekuja leoJamaa anatesa masikini
viliomolomo wote wa jf wanapita mbali na nyuzi zake kama hili s3ng3 la JF linajiita Chizi Maarifa
Hata mimi ni masikini mwenzako ningependa kusema hivyo kujipa matumaini ya maisha baada ya haya wakati hata sijui kama kweli kuna hayo maisha au ni ngano za kale tuliingizwa chaka na watu wa majahaziYOTE NI UBATILI
Sijakataa kufurahia maisha ila tukumbuke ni kujilisha upepo hekima za suleiman aliye enjoy life mpaka baaaas mwisho wa siku akasema ni ubatili mtupuHata mimi ni masikini mwenzako ningependa kusema hivyo kujipa matumaini ya maisha baada ya haya wakati hata sijui kama kweli kuna hayo maisha au ni ngano za kale tuliingizwa chaka na watu wa majahazi
Kwahiyo kama nafasi kufurahia haya maisha ya hapa, nitayafurahia bila kikomo na wala kinyongo kama sina uwezo badala ya kuyakanusha na kuyaita ni UBATILI