unene

  1. E

    Profesa Janabi: Tuwarithishe watoto mali sio unene

    Habari JF , Hii ni kutoka kwa prof pendwa Janabi . Iende kwa wote ambao huwa wanajisifa kwetu ni wanene mara nimerithi unene etc... Binafsi nimeipenda sana hii --- Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili Profesa Mohamed Janabi amesema unene kupita kiasi si mzuri kwa afya ya...
  2. MamaSamia2025

    Dkt. Janabi na Wanaharakati wa Afya tuache upotoshaji. Nchi ina tatizo kubwa la Utapiamlo na sio uzito wala unene

    Leo ninaandika nikiwa na hasira zilizochanganyikana na huzuni kwa upotoshaji mkubwa unaofanywa na huyu daktari pamoja na madaktari wengine uchwara wanaolazimisha ionekane kuwa nchi ipo kwenye tatizo kubwa la unene uliopitiliza wakati ni kinyume chake. Tumekuwa tukiwasikia msile wanga mara...
  3. Lycaon pictus

    Ukuta wa nje wa nyumba unatakiwa kuwa na unene kiasi gani?

    Hizi nyumba mpya za tofali za bloku mbona kama zina kuta nyembamba sana? Zinaweza kuhimili uzito wa nyumba na mikiki mikiki ya hali ya hewa? Standard inataka ukuta wa nje wa nyumba uwe na unene kiasi gani?
  4. Chizi Maarifa

    Sababu ya Dhakari (em bi o o) kuongezeka urefu na unene

    Nimekuwa nikijiuliza swali hili lakini sipati majibu. Nini could be a reason. Sababu mwanamke wa tatu sasa analalamika jambo hilo kuwa Chidy dhakari yako imeongezeka. Nami naona tofauti kiasi flani. Lakini nashangaa kwa umri huu wa above 50 inawezekana vipi ikaongezeka? Kuna kipindi flani kweli...
  5. GENTAMYCINE

    Watu wa PSU huyo Bodyguard wa Kike wa Mama apunguze Unene na kuwa na Sura ya Kukasirika mno

    Kwa nilivyomuona Siku ya Simba Day hasa walipokuwa mule ndani Uwanjani ambako Mheshimiwa Rais Samia alikuwa akipokea Maelekezo kutoka kwa CEO wa Simba SC Imani Kajula niligundua Mambo kadhaa. Sina shaka na Uwezo wake wa Kiutendaji nikiamini kuwa hadi Watu wa PSU wamemchagua Kumlinda Mama...
  6. JanguKamaJangu

    Ripoti: Nusu ya watu Duniani watakuwa na uzito uliozidi Mwaka 2035

    Shirika la Watu Wanene (WOF) limetoa angalizo na kueleza hatua hiyo itafikiwa ikiwa hatua hazitachukuliwa mapema na kuwa zaidi ya watu bilioni nne watakuwa katika hali hiyo. Ripoti imeonesha four billion changamoto hiyo inaanzia kwa Watoto na Nchi zenye kipato cha chini au cha kati Barani...
  7. Wadiz

    Kama hupendi unene na uzito usiofaa pata haya maarifa ufanikiwe ndani ya mwezi mmoja

    Habari wadau, Naomba ushiriki katika ujenzi wa afya, Dunia hii malaika ni watu na si vinginevyo, kila mmoja wetu kaumbwa kama malaika wa pekee, niwape hili moja la kupunguza mwili na Uzito na kuondokana na tabia ya kula kula kila wakati. Anza zoezi la kutumia kahawa iliosagwa vizuri ya dukani...
  8. Allen Kilewella

    Zuchu ana asili ya unene au wembamba?

    Wapinzani wake wanasema kuwa anatumia juhudi nyingi sana za mazoezi na kujizuia kula ili asinenepe. Kweli ni mnene anayejikondesha ama ni kimbau mbau wa asili?
  9. R

    Unene sio sifa ni ugonjwa, kwa hii speed NHIF itaelekea kubaya. Tubadilike

    Habari wana JF, Kadri siku zinavyozidi kwenda watu wenye uzito ulipitiliza wamekuwa wakiongezeka kwa kasi sana. Kwa Nchi za wenzetu wanauchukia sana unene kutoka na athari zake lakini cha kushangaza Tanzania ni Tofauti mtu anaponenepa hupewa sifa nyingi sana ikiwemo kuonekana maisha ameyapatia...
  10. ommytk

    Kuna uhusiano gani kati ya unene na mtu aliyefanikiwa kimaisha?

    Kuna hii hali mara nyingi naiona kwa watu aidha hata wewe unaweza kuwa umekutana nayo unakuta mtu alikuwa mwembamba labda akaanza kunenepa basi watu hutokea sana kumsifia kuwa mambo yake yamekuwa mazuri. Je, unene ni kipimo cha maendeleo yako kimaisha?
  11. Sky Eclat

    Unene na uzito mkubwa kwa binadamu linakuja kuwa janga la dunia

    Watu wenye unene uliopitiliza wanaongezeka kwa idadi duniani. Tunapanda nao madaladala na wanachukua nafasi ya watu wawili wakati wanalipikia kiti kimoja. Hata ile sehemu ya kusimama, ukigeuka hivi umekutana na tumbo mara mgongo. Ulisombe ukae dirishani na yeye awe jirani yako atakubana wewe...
  12. Mkulungwa01

    Mke wangu amenenepa mno

    Shabaaaash! Habarini wanajukwaa. Mke wangu ana muda usio mrefu tangu ajifungue na anakaribia kuacha kunyonyesha sasa kwani mtoto ameshakuwa mkubwa. Tatizo ni kuwa nilimuanzishia diet ya kurudisha virutubisho kwani hili dume lilikuwa linanyonya mno so alipungua kiasi. Sasa amenenepa kuanzia...
  13. U

    Jinsi ya kuondokana na uzito pungufu

    Kuna wakati mtu unajiona wazi kuwa uzito wako upo chini na pengine ungehitaji ungeongezeka kidogo uzito na unene wako kwa ujumla. Tuachane na wale wanaotaka kuongeza sehemu za kukalia na mapaja kwanza, nitaleta dawa kwa ajili hiyo siku nyingine. Nazungumzia mtu anayetaka kuongezeka uzito na...
  14. mwehu ndama

    Unene wa kiwango hiki ni hatari kwa afya

    Katika video hii [emoji116][emoji116] iliyonishangaza raia mmoja wa India ambae ni mnene kupitiliza amejikuta ameanguka ghafla baada ya kupata shambulio la moyo hali iliyopelekea raia wema wamburuze na kumpakia kwenye guta kama kiroba cha maembe ama furushi la mahindi. NB:itoshe kusema UNENE...
  15. elivina shambuni

    Hospitali ya Benjamin Mkapa kuanza rasmi upasuaji wa kupunguza unene

    BAADA ya kupata mafanikio ya majaribio ya kupunguza unene, Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) imetangaza rasmi kuanza kutoa huduma ya upasuaji wa kupunguza uzito kwa watu wenye unene uliopitiliza. Pia mwanzoni mwa mwezi ujao, wagonjwa sita watafanyiwa upasuaji wa kupandikiza figo kwenye hospitali...
  16. Herbalist Dr MziziMkavu

    Fahamu matatizo mbalimbali ya unene kupita kiasi na namna ya kukabiliana nayo

    Utafiti mmoja wa kiafya duniani umeonyesha ongezeko la asilimia 82 la watu wanene kupita vifo vinavyotokana na kunenepa kupita kiasi ni mara tatu zaidi ya vifo vinavyosababishwa na kukosa chakula chenye lishe, ingawa bado nchi nyingi zinapambana na ukosefu wa chakula. Majid Ezzati, ambaye ni...
Back
Top Bottom