Kuna uhusiano gani kati ya unene na mtu aliyefanikiwa kimaisha?

ommytk

JF-Expert Member
Jul 30, 2015
482
1,053
Kuna hii hali mara nyingi naiona kwa watu aidha hata wewe unaweza kuwa umekutana nayo unakuta mtu alikuwa mwembamba labda akaanza kunenepa basi watu hutokea sana kumsifia kuwa mambo yake yamekuwa mazuri.

Je, unene ni kipimo cha maendeleo yako kimaisha?
 
Ni kweli kabisa kuwa na life security inachangia hali hyo na uhakika wa kula mda wote.
 
Ne da kao.be mkopo kwenye taasisi zetu za kifedha ndio utaelewa uhusiano uliopo baina ya unene na pesa

Ukiwa kimbau mbau halafu unataka mkopo wa milioni 40 utahojiwa kama mhalifu polisi,

Wanatamani wangeweza hata kukuingiza kwenye skana wakakuskani waone ukweli wa taarifa zako
 
Kuna hii hali mara nyingi naiona kwa watu aidha hata wewe unaweza kuwa umekutana nayo unakuta mtu alikuwa mwembamba labda akaanza kunenepa basi watu hutokea sana kumsifia kuwa mambo yake yamekuwa mazuri.

Je, unene ni kipimo cha maendeleo yako kimaisha?
Hiyo zamani sio siku hizi....
 
Mambo yangu ni mazuri sana👇😁😁😁
AADGn0.jpeg
 
Ukiona mtu mnene maana yake anakula na kunywa, kama anakula na kunywa maana yake ana pesa.
 
nahisi kuna ukweli akienda mwembamba kununua nguo bei ni nyembamba nenda we mnene sasa
 
Ilikuwa zamani ukiwa mnene na kitambi hasa mwanaume unaonekana unapesa...

Saivi unaonekana kubwa jinga...maana watu wamegundua unene ni maradhi...
 
Kuna hii hali mara nyingi naiona kwa watu aidha hata wewe unaweza kuwa umekutana nayo unakuta mtu alikuwa mwembamba labda akaanza kunenepa basi watu hutokea sana kumsifia kuwa mambo yake yamekuwa mazuri.

Je, unene ni kipimo cha maendeleo yako kimaisha?
Kumbuka methali isemayo mchumia juani hulia kivulini
 
Unene wa asili unapaliliwa la sivyo unarudi wembamba kama mfupa wa samaki. Unene unaotokana na mafanikio ni wa kuteleza, ngozi inakuwa kama ya mtoto. Asilimia kubwa unene ni "pesa".

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom