GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,694
- 109,133
Kwa nilivyomuona Siku ya Simba Day hasa walipokuwa mule ndani Uwanjani ambako Mheshimiwa Rais Samia alikuwa akipokea Maelekezo kutoka kwa CEO wa Simba SC Imani Kajula niligundua Mambo kadhaa.
Sina shaka na Uwezo wake wa Kiutendaji nikiamini kuwa hadi Watu wa PSU wamemchagua Kumlinda Mama (Mheshimiwa Rais) Basi atakuwa yuko vyema.
Concern yangu GENTAMYCINE Kwake huyo Dada (Bodyguard) wa Rais Samia ni kule kuwa Mnene mno hadi kuna wakati nilikuwa nikiona Uzito wake unavyomsumbua hata alivyokuwa akitembea.
Lingine natambua kuwa Walinzi wa Marais (Bodyguards) wanatakiwa kuwa na Sura za Kazi Kazi ( Sura Ngumu Kimedani ) ila kwa huyu Dada (Mlinzi Tipwa Tipwa) wa Rais yeye muda mwingi niikuwa namuona ana Sura ya Makasiriko (Usununu) tu na siyo Sura ya Kazi mpaka nikawa najiuliza maswali mengi na sikupata majibu yake.
GENTAMYCINE sitosikia furaha nikimaliza kuandika huu Uzi bila Kumpongeza yule Dada ( Bodyguard ) mwingine wa Mama ( Rais ) Samia ambaye ana Mwili mzuri kimwonekano, hajanenepeana vibaya kama Vitumbua vya Mama Chiku Tandale, ana Composure nzuri, body language yake inakupa uhakika kuwa Mama yuko katika Mikono salama Kiulinzi, hana Mbwebwe, ana Umakini mkubwa, yuko sharp na sikushangaa nilipoona baadae Yeye ndiyo alikuwa karibu zaidi na Mama (Rais) Kiutendaji na Kimaelekezo.
Huyu nimemkubali sana na niwaombeni tu Watu wa PSU tafadhali nifikishieni hizi Pongezi zangu GENTAMYCINE Kwake na namtakia Majukumu mema kwani Kazi anaiweza na anaijua tofauti na Mwenzake ambaye ana Mapungufu niliyoyaorodhesha na mkiweza msaidieni ili aondokane nayo.
Kwa wale Walinzi wa Kiume wa Mama (Rais Samia ) sina tatizo nanyi, mko vyema na mnachonifurahisha zaidi ni kwamba hamjiachii na Kunenepeana hovyo kama Panya Buku wa Nanyamba Mtwara kama walivyokuwa Wenzenu fulani fulani ( wa Awamu niliyoisahau ) ambao Wao baadhi yao si tu kwamba Walinenepeana bali walikuwa pia ni Mabingwa wa Kufakamia Mivyakula (Mipochopocho) ya Ikulu zetu hadi wakawa Wavivu kama Paka wa Hoteli ya Yamungu Mengi ya Ilala Shariff Shamba Dar es Salaam.
ANGALIZO
Ukijijua tu kabisa kuwa humpendi / hunipendi GENTAMYCINE " hapa JamiiForums na unamchukia hata kutamani Afe na huvutiwi na Taarifa zake pamoja na Uwasilishaji wake wa Kipekee na usioweza Kuigwa na Yeyote yule kutokana na Upumbavu, Wivu na Uwendawazimu wako Uliokutukuka njia rahisi ni Kuachana nae ( nami ) na uendelee Kuwasoma na Kuwafuatilia hao unaowaona ni Bora Kwako na Unawakubali zaidi sawa?
Kitendo cha Kuonyesha Unanichukia na Hunikubali lakini bado tu 24/7 unawashwawashwa Kunifuatilia kama Jibwa Jike lililo katika Heat (hali ya kutaka Kupandwa na Dume) unaonyesha kuwa Unanikubali sana na kukubali uwepo wangu Uliotukuka hapa Jamvini.
Nimemaliza.
Sina shaka na Uwezo wake wa Kiutendaji nikiamini kuwa hadi Watu wa PSU wamemchagua Kumlinda Mama (Mheshimiwa Rais) Basi atakuwa yuko vyema.
Concern yangu GENTAMYCINE Kwake huyo Dada (Bodyguard) wa Rais Samia ni kule kuwa Mnene mno hadi kuna wakati nilikuwa nikiona Uzito wake unavyomsumbua hata alivyokuwa akitembea.
Lingine natambua kuwa Walinzi wa Marais (Bodyguards) wanatakiwa kuwa na Sura za Kazi Kazi ( Sura Ngumu Kimedani ) ila kwa huyu Dada (Mlinzi Tipwa Tipwa) wa Rais yeye muda mwingi niikuwa namuona ana Sura ya Makasiriko (Usununu) tu na siyo Sura ya Kazi mpaka nikawa najiuliza maswali mengi na sikupata majibu yake.
GENTAMYCINE sitosikia furaha nikimaliza kuandika huu Uzi bila Kumpongeza yule Dada ( Bodyguard ) mwingine wa Mama ( Rais ) Samia ambaye ana Mwili mzuri kimwonekano, hajanenepeana vibaya kama Vitumbua vya Mama Chiku Tandale, ana Composure nzuri, body language yake inakupa uhakika kuwa Mama yuko katika Mikono salama Kiulinzi, hana Mbwebwe, ana Umakini mkubwa, yuko sharp na sikushangaa nilipoona baadae Yeye ndiyo alikuwa karibu zaidi na Mama (Rais) Kiutendaji na Kimaelekezo.
Huyu nimemkubali sana na niwaombeni tu Watu wa PSU tafadhali nifikishieni hizi Pongezi zangu GENTAMYCINE Kwake na namtakia Majukumu mema kwani Kazi anaiweza na anaijua tofauti na Mwenzake ambaye ana Mapungufu niliyoyaorodhesha na mkiweza msaidieni ili aondokane nayo.
Kwa wale Walinzi wa Kiume wa Mama (Rais Samia ) sina tatizo nanyi, mko vyema na mnachonifurahisha zaidi ni kwamba hamjiachii na Kunenepeana hovyo kama Panya Buku wa Nanyamba Mtwara kama walivyokuwa Wenzenu fulani fulani ( wa Awamu niliyoisahau ) ambao Wao baadhi yao si tu kwamba Walinenepeana bali walikuwa pia ni Mabingwa wa Kufakamia Mivyakula (Mipochopocho) ya Ikulu zetu hadi wakawa Wavivu kama Paka wa Hoteli ya Yamungu Mengi ya Ilala Shariff Shamba Dar es Salaam.
ANGALIZO
Ukijijua tu kabisa kuwa humpendi / hunipendi GENTAMYCINE " hapa JamiiForums na unamchukia hata kutamani Afe na huvutiwi na Taarifa zake pamoja na Uwasilishaji wake wa Kipekee na usioweza Kuigwa na Yeyote yule kutokana na Upumbavu, Wivu na Uwendawazimu wako Uliokutukuka njia rahisi ni Kuachana nae ( nami ) na uendelee Kuwasoma na Kuwafuatilia hao unaowaona ni Bora Kwako na Unawakubali zaidi sawa?
Kitendo cha Kuonyesha Unanichukia na Hunikubali lakini bado tu 24/7 unawashwawashwa Kunifuatilia kama Jibwa Jike lililo katika Heat (hali ya kutaka Kupandwa na Dume) unaonyesha kuwa Unanikubali sana na kukubali uwepo wangu Uliotukuka hapa Jamvini.
Nimemaliza.