Habari JF , Hii ni kutoka kwa prof pendwa Janabi .
Iende kwa wote ambao huwa wanajisifa kwetu ni wanene mara nimerithi unene etc...
Binafsi nimeipenda sana hii
---
Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili Profesa Mohamed Janabi amesema unene kupita kiasi si mzuri kwa afya ya mwanadamu na kusisitiza wazazi kuwapa watoto vyakula vyenye afya na kutaka watoto warithishwe mali na sio unene.
Profesa Janabi amasema hayo wakati akiwasilisha mada katika mkutano wa Mafunzo wa 108 wa watayarishaji wa vipindi vya Elimu kwa Umma ulioandaliwa na Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) unaofanyika mkoani Mwanza.
Washiriki wa mkutano huo ni watumishi kutoka taasisi mbalimbali za serikali.
Iende kwa wote ambao huwa wanajisifa kwetu ni wanene mara nimerithi unene etc...
Binafsi nimeipenda sana hii
---
Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili Profesa Mohamed Janabi amesema unene kupita kiasi si mzuri kwa afya ya mwanadamu na kusisitiza wazazi kuwapa watoto vyakula vyenye afya na kutaka watoto warithishwe mali na sio unene.
Profesa Janabi amasema hayo wakati akiwasilisha mada katika mkutano wa Mafunzo wa 108 wa watayarishaji wa vipindi vya Elimu kwa Umma ulioandaliwa na Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) unaofanyika mkoani Mwanza.
Washiriki wa mkutano huo ni watumishi kutoka taasisi mbalimbali za serikali.