Watanzania hatuwezi kuiga lockdown kama nchi za Ulaya

Mar 10, 2020
24
151
Wana JF, Heshima kwenu wote

Naona mitandaoni na baadhi ya wanasiasa wetu hapa bongo wakionekana kutamani nchi yetu iige kufanya lockdown kama walivyofanya Ulaya, Marekani na nchi nyingine tajiri zilizofanya hivyo. Ukweli ni kwamba hayo ni mawazo ya kipuuzi na ya kipunguani ambayo sijui mtu anakua na akili au matope kichwani mapaka kufikiria namna hiyo!!! Kuna yule mwanadada maarufu mitandaoni aishie Marekani, kila siku yeye anatabiri kuwa kama tusipofanya lockdown kama huko aliko Marekani basi tutaanza kuzikana 700 kwa siku.

Jamani hebu tutumie akili na kwa kweli hili nampongeza sana Rais wetu kwa kutopanick na kuanza kuiga ujinga kama huo. 85% ya Watanzania ni ili apate mlo na kipato ni lazima atoke, aende kibaruani au sokoni akauze vitu ndio apate kula yeye na familia, watu hao hakuna mwenye uwezo wa kuwa na akiba hata ya siku tatu za mbele, huyu unamwambia akae ndani na unaweka magari ya kuwasha washa akitoka unamwagia ili arudi ndani akafe njaa? Unamuepusha na Corona unamuua na njaa.

Takwimu zinaonesha mafua haya yanaua wazee wenye 65 years plus na watu wenye magonjwa mazito kama cancer,cronic kisukari and the like, hii kwa wazungu ndio magonjwa yao na wao aged people wa 50 years na kuendelea ndio wengi. Hivyo measures za kufungiana ulaya kwa zinafaa lakini kwetu huo ni upuuzi.

Leo anatokea kichaa mwanasiasa anatu compare na marekani kwamba mbona "marekani wamefanya lockdown sis tanzania tunashindwa nini" wakati marekani ina reserve ya kutosha kwa miaka kadhaa mbele...kumepitishwa economic stimulus package ya USD 2 TRILLION kusaidia kujikwamua na hii corona, hiyo hela sisi hatuwezi hata kuitamka maana haina jina tukiweka kwa madafu(TZS). Rwanda ,Uganda na Kenya wameiga upuuzi wanaishia kuwatesa wananchi wao tu. Nasema hivi, Tanzania hakuna lockdown na hatufi kama baadhi ya wapuuzi wanavyodhani
 
Wana JF, Heshima kwenu wote

Naona mitandaoni na baadhi ya wanasiasa wetu hapa bongo wakionekana kutamani nchi yetu iige kufanya lockdown kama walivyofanya Ulaya, Marekani na nchi nyingine tajiri zilizofanya hivyo. Ukweli ni kwamba hayo ni mawazo ya kipuuzi na ya kipunguani ambayo sijui mtu anakua na akili au matope kichwani mapaka kufikiria namna hiyo!!! Kuna yule mwanadada maarufu mitandaoni aishie Marekani, kila siku yeye anatabiri kuwa kama tusipofanya lockdown kama huko aliko Marekani basi tutaanza kuzikana 700 kwa siku.

Jamani hebu tutumie akili na kwa kweli hili nampongeza sana Rais wetu kwa kutopanick na kuanza kuiga ujinga kama huo. 85% ya Watanzania ni ili apate mlo na kipato ni lazima atoke, aende kibaruani au sokoni akauze vitu ndio apate kula yeye na familia, watu hao hakuna mwenye uwezo wa kuwa na akiba hata ya siku tatu za mbele, huyu unamwambia akae ndani na unaweka magari ya kuwasha washa akitoka unamwagia ili arudi ndani akafe njaa? Unamuepusha na Corona unamuua na njaa.

Takwimu zinaonesha mafua haya yanaua wazee wenye 65 years plus na watu wenye magonjwa mazito kama cancer,cronic kisukari and the like, hii kwa wazungu ndio magonjwa yao na wao aged people wa 50 years na kuendelea ndio wengi. Hivyo measures za kufungiana ulaya kwa zinafaa lakini kwetu huo ni upuuzi.

Leo anatokea kichaa mwanasiasa anatu compare na marekani kwamba mbona "marekani wamefanya lockdown sis tanzania tunashindwa nini" wakati marekani ina reserve ya kutosha kwa miaka kadhaa mbele...kumepitishwa economic stimulus package ya USD 2 TRILLION kusaidia kujikwamua na hii corona, hiyo hela sisi hatuwezi hata kuitamka maana haina jina tukiweka kwa madafu(TZS). Rwanda ,Uganda na Kenya wameiga upuuzi wanaishia kuwatesa wananchi wao tu. Nasema hivi, Tanzania hakuna lockdown na hatufi kama baadhi ya wapuuzi wanavyodhani
Umevimbiwa Maharage
IMG-20200331-WA0027.jpg
 
Wana JF, Heshima kwenu wote

Naona mitandaoni na baadhi ya wanasiasa wetu hapa bongo wakionekana kutamani nchi yetu iige kufanya lockdown kama walivyofanya Ulaya, Marekani na nchi nyingine tajiri zilizofanya hivyo. Ukweli ni kwamba hayo ni mawazo ya kipuuzi na ya kipunguani ambayo sijui mtu anakua na akili au matope kichwani mapaka kufikiria namna hiyo!!! Kuna yule mwanadada maarufu mitandaoni aishie Marekani, kila siku yeye anatabiri kuwa kama tusipofanya lockdown kama huko aliko Marekani basi tutaanza kuzikana 700 kwa siku.

Jamani hebu tutumie akili na kwa kweli hili nampongeza sana Rais wetu kwa kutopanick na kuanza kuiga ujinga kama huo. 85% ya Watanzania ni ili apate mlo na kipato ni lazima atoke, aende kibaruani au sokoni akauze vitu ndio apate kula yeye na familia, watu hao hakuna mwenye uwezo wa kuwa na akiba hata ya siku tatu za mbele, huyu unamwambia akae ndani na unaweka magari ya kuwasha washa akitoka unamwagia ili arudi ndani akafe njaa? Unamuepusha na Corona unamuua na njaa.

Takwimu zinaonesha mafua haya yanaua wazee wenye 65 years plus na watu wenye magonjwa mazito kama cancer,cronic kisukari and the like, hii kwa wazungu ndio magonjwa yao na wao aged people wa 50 years na kuendelea ndio wengi. Hivyo measures za kufungiana ulaya kwa zinafaa lakini kwetu huo ni upuuzi.

Leo anatokea kichaa mwanasiasa anatu compare na marekani kwamba mbona "marekani wamefanya lockdown sis tanzania tunashindwa nini" wakati marekani ina reserve ya kutosha kwa miaka kadhaa mbele...kumepitishwa economic stimulus package ya USD 2 TRILLION kusaidia kujikwamua na hii corona, hiyo hela sisi hatuwezi hata kuitamka maana haina jina tukiweka kwa madafu(TZS). Rwanda ,Uganda na Kenya wameiga upuuzi wanaishia kuwatesa wananchi wao tu. Nasema hivi, Tanzania hakuna lockdown na hatufi kama baadhi ya wapuuzi wanavyodhani
Sawa mganga
 
Wana JF, Heshima kwenu wote

Naona mitandaoni na baadhi ya wanasiasa wetu hapa bongo wakionekana kutamani nchi yetu iige kufanya lockdown kama walivyofanya Ulaya, Marekani na nchi nyingine tajiri zilizofanya hivyo. Ukweli ni kwamba hayo ni mawazo ya kipuuzi na ya kipunguani ambayo sijui mtu anakua na akili au matope kichwani mapaka kufikiria namna hiyo!!! Kuna yule mwanadada maarufu mitandaoni aishie Marekani, kila siku yeye anatabiri kuwa kama tusipofanya lockdown kama huko aliko Marekani basi tutaanza kuzikana 700 kwa siku.

Jamani hebu tutumie akili na kwa kweli hili nampongeza sana Rais wetu kwa kutopanick na kuanza kuiga ujinga kama huo. 85% ya Watanzania ni ili apate mlo na kipato ni lazima atoke, aende kibaruani au sokoni akauze vitu ndio apate kula yeye na familia, watu hao hakuna mwenye uwezo wa kuwa na akiba hata ya siku tatu za mbele, huyu unamwambia akae ndani na unaweka magari ya kuwasha washa akitoka unamwagia ili arudi ndani akafe njaa? Unamuepusha na Corona unamuua na njaa.

Takwimu zinaonesha mafua haya yanaua wazee wenye 65 years plus na watu wenye magonjwa mazito kama cancer,cronic kisukari and the like, hii kwa wazungu ndio magonjwa yao na wao aged people wa 50 years na kuendelea ndio wengi. Hivyo measures za kufungiana ulaya kwa zinafaa lakini kwetu huo ni upuuzi.

Leo anatokea kichaa mwanasiasa anatu compare na marekani kwamba mbona "marekani wamefanya lockdown sis tanzania tunashindwa nini" wakati marekani ina reserve ya kutosha kwa miaka kadhaa mbele...kumepitishwa economic stimulus package ya USD 2 TRILLION kusaidia kujikwamua na hii corona, hiyo hela sisi hatuwezi hata kuitamka maana haina jina tukiweka kwa madafu(TZS). Rwanda ,Uganda na Kenya wameiga upuuzi wanaishia kuwatesa wananchi wao tu. Nasema hivi, Tanzania hakuna lockdown na hatufi kama baadhi ya wapuuzi wanavyodhani
You're right.

Lockdown Kwa economic ya Tanzaniaa it won't work even 3 days, italeta total disaster.

Pengine waki lockdown wagawe na chakula kama Rwanda, je uwezo huo upo?


Wanaoshangilia lockdown ni wale wanao Kula kwao, wenye kazi maana mshahara unaingia, wanao kaa Kwa ndugu maana chakula kipo hata 2 months lockdown ambao ni 15% ya Tanzanians ambao hawategemei work-to-cash everyday.

What I see, mikusanyiko isiyo kua ya lazima ndo ikatazwe, level seat kwenye daladala, etc
 
Haya mambo haya ni mazito sana tuombe Mungu atuepushe tu laa sivyo tatizo likiendelea kukua hiyo lockdown itahusika tu na raia watateseka hivyo hivyo maana hakuna namna
 
tuangalie kwanza hizo nchi zenye lock dowm mambukizi yanapungua ama yanaongezeka ?
kuna watu wanaishi mijini maji ya kutumia peke yake mpaka ayafate zaidi ya mita mia tena kila siku sio kila nyumba ina maji.

Nchi za africa zenye lock down raia wanalalamika mpaka wanapigana virungu na risasi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu unapoambiwa Corona inaua zaidi watu ambao umri umeenda na wenye maradhi mengine haimaanishi wewe mwenye miaka 20+ huwezi kupata na kupoteza maisha. Ni kama magonjwa ya kisukari na pressure inavyoweza wapata hata watoto wachanga.

Leo tanzania imeripoti kifo kimoja na mgonjwa alikua na 49Years.

Lockdown ni ngumu hasa kwa nchi zetu masikini lakini kwa jinsi tanzania tunavyojiachia natumaini mpaka corona mwenyewe anatushangaa na kujiuliza tunajiamini nini haswa??

Nashauri isiwe Total Lockdown.

Bagwell
 
Wana JF, Heshima kwenu wote

Naona mitandaoni na baadhi ya wanasiasa wetu hapa bongo wakionekana kutamani nchi yetu iige kufanya lockdown kama walivyofanya Ulaya, Marekani na nchi nyingine tajiri zilizofanya hivyo. Ukweli ni kwamba hayo ni mawazo ya kipuuzi na ya kipunguani ambayo sijui mtu anakua na akili au matope kichwani mapaka kufikiria namna hiyo!!! Kuna yule mwanadada maarufu mitandaoni aishie Marekani, kila siku yeye anatabiri kuwa kama tusipofanya lockdown kama huko aliko Marekani basi tutaanza kuzikana 700 kwa siku.

Jamani hebu tutumie akili na kwa kweli hili nampongeza sana Rais wetu kwa kutopanick na kuanza kuiga ujinga kama huo. 85% ya Watanzania ni ili apate mlo na kipato ni lazima atoke, aende kibaruani au sokoni akauze vitu ndio apate kula yeye na familia, watu hao hakuna mwenye uwezo wa kuwa na akiba hata ya siku tatu za mbele, huyu unamwambia akae ndani na unaweka magari ya kuwasha washa akitoka unamwagia ili arudi ndani akafe njaa? Unamuepusha na Corona unamuua na njaa.

Takwimu zinaonesha mafua haya yanaua wazee wenye 65 years plus na watu wenye magonjwa mazito kama cancer,cronic kisukari and the like, hii kwa wazungu ndio magonjwa yao na wao aged people wa 50 years na kuendelea ndio wengi. Hivyo measures za kufungiana ulaya kwa zinafaa lakini kwetu huo ni upuuzi.

Leo anatokea kichaa mwanasiasa anatu compare na marekani kwamba mbona "marekani wamefanya lockdown sis tanzania tunashindwa nini" wakati marekani ina reserve ya kutosha kwa miaka kadhaa mbele...kumepitishwa economic stimulus package ya USD 2 TRILLION kusaidia kujikwamua na hii corona, hiyo hela sisi hatuwezi hata kuitamka maana haina jina tukiweka kwa madafu(TZS). Rwanda ,Uganda na Kenya wameiga upuuzi wanaishia kuwatesa wananchi wao tu. Nasema hivi, Tanzania hakuna lockdown na hatufi kama baadhi ya wapuuzi wanavyodhani
Moron , only time will tell you
 
wewe ndugu mwenye pesa unaesapoti lockdown cheki kwanza mtaani kwenu hesabu watu wangapi watasurvive uwezo wa kula kulala umeme maji na vocha bila kutoka nje? je umejiandaa kuwapokea majirani zako watakapokuja kwa jirani yao wewe uwape unga na dagaa na mkaa na chumvi na mafuta ya kula na kibiriti na mafuta ya taa na cm yako wawapigie ndugu zao kuomba hela cm zao hazina vocha? je umejiandaaje ni ndugu zako wangapi unawajua ni makapuku wako bush na watakufa njaa na labda sababu ukoo wenu wewe ndo una pesa basi uko tayari ndugu zako wangapi kuhamia kwako na familia zao wewe bwana tajiri au kukupigia cm mfululizo kukuomba uwatumie miamala ya tigo pesa?

ulaya na Africa hazijawahi kufanana solutions za matatizo yao ndo maana theories of developments tunatumia the same sie masikini wao matajiri! kwani mgonjwa wa Corona kufa ni ajabu gani? hiyo ni mojawapo ya matokeo ya kuumwa, tukianza kuambukizana locally labda ndo wakuu wafikirie kupunguza msongamano na mikusanyiko na si total lockdown, mgonjwa alieaga dunia siku zake zimeisha duniani, hiyo si hoja ya lockdown, wagonjwa wangapi wanakufa mahospitalini kila dakika kwa magonjwa mwngine?

wazungu wanawacheka mno watu weusi kuiga lockdowns zao!! waafrika waliofungiwa wanateseka mno na njaa kila kona ni total chaos na mayowe tu!! shame on black skin isiyotumia akili zake zote wala data kufanya maamuzi, namba hazidanganyi!! two ways ni muhimu 1. funga mipaka au 2 fungia wageni mtaani business as usual, how much do we have as economic stimulus package? US wameto usd 2.2 trillions sie tunazo ngapi? nani alikwambia mzungu anajua kila kitu yaani eti uzunguni wanafungia watu ndani na kuruhusu waende supermarket na pharmacy ambako huko wanakutana tena na kuzuga zuga kutafuta mahitaji kwa kuwa wanakaa ndani tu basi Corona ikiwa imekomaa na kuiva vizuri kwa kukaa kwao ndani tu basi wakipanga mistari wanapumuliana na kupumulia hewani wadudu kama wote na wanaambukizana kiulainiiii!!! wala hakuna haja ya chafya na kukohoa!!! mzungu si Mungu, mzungu werevu mwingi mbele giza! wasichojua ni kuwa hospitals,?supermarkets, pharmacy ambulances, helkopta, masks na nguo za wahudumu wa afya zote zinahifadhi na zaeneza Corona!! Corona virus hupeperushwa na upepo kutoka one street to another! salama yao ni kumrudia Mungu tu!!

Binafsi siamini kabisa katika lockdown ya nchi maskini zaidi duniani unless kama kuna political agenda ya kuwakomoa raia wabishi!! inaitwa kufa kufaana!! Corona njoo tupate sababu ya kuwafungia ndani raia wabishi wanaopinga serikali na wanaokaidi na kutoka nje tuwabutue kwa mabuti na virungu, Corona njoo tuwapige bakora raia wanaopinga serikali za kibabe na kiimla kama Uganda na Rwanda , kwa serikali zote tatu pamoja na Kenya lockdown ni kitu kizuri mno na ina manufaa makubwa mno kisiasa kwa serikali sababu nchi zile zina raia wabishi sana hawapendi marais wao na serikali zao za watu wasiotaka kuachia madaraka ukiondoa Kenya ambao ni wazungu wale wanaobaguana kwa kabila na dini na ulipotokea na una mali kiasi gani za wizi na za halali ila kitu kizuri Wakenya kila cha mzungu wanaiha sababu na wao ni wazungu ila wana ngozi nyeusi , bila mabuti na virungu kuwakalisha ndani kwa mtutu raia wale hawaelewi sheria yoyote!!bongo kauli ya tahadhari tu inatosha watu kutii, tusisahau kunawa mikono! sehemu kibao wabongo wametii hili tuwapongeze. ukiiga kujisaidia kwa tembo (US)!

wanaoshabikia lockdown wengi wako nje ya bongo wana hasira za kufungiwa ndani tuwapuuze tu!kwa walioko ndani ni matajiri plus psychopaths wanaofurahia mateso ya wengine!

just imagine kaya milioni ngapi hazimudu hata mlo mmoja kamili kwa siku je wataishije wakifungiwa ? je tunayo pesa kulisha maskini milioni ngapi kwa muda gani tukiwafungia?
 
wewe ndugu mwenye pesa unaesapoti lockdown cheki kwanza mtaani kwenu hesabu watu wangapi watasurvive uwezo wa kula kulala umeme maji na vocha bila kutoka nje? je ni ndugu zako wangapi watakufa njaa na kukuomba miamala ya tigo pesa? ulaya na Africa hazijawahi kufanana solutions za matatizo yao ndo maana theories of developments tunatumia the same sie masikini wao matajiri! kwani mgonjwa wa Corona kufa ni ajabu gani? siku zake zimeisha duniani , wagonjwa wangapi wanakufa mahospitalini kila dakika? siamini kabisa katika lockdown unless kama kuna political agenda kuwanyoosha wabishi!! Uganda, Kenya na Rwanda lockdown ina manufaa kisiasa raia wabishi sana bila mabuti na virungu hawaelewi bongo kauli ya tahadhari tu inatosha! tusisahau kunawa mikono!
Only time will tell you whether you have made the right decision or not
 
Namuwazia mama n'tilie, mwendesha bodaboda na mkimbiza tofali. Je watafanyia kazi nyumbani kama wanavyosema wanasiasa na wanaharakati? Ati wafanyie kazi nyumbani.

Itafikia mahala itabidi tuchague moja, tukae ndani tufe na njaa, ama twende nje tukafe na corona.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom