ujanja

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania Ushamba wa Wabara una Ujanja kuliko Ujanja wa Wazaramo au Wapwani

    Dar Es Salaam mzee wangu alikuwa anataniwa na rafiki majirani Wazaramo ...." We wakuja" anacheka sana. Akawa anawatizama tu anacheka. Leo hii wale waliokuwa wanamwita mzee mshamba wameenda kuishi huko Kisarawe na Mbele ya Vikindu. Mzee alinunua nyumba zao pale Jirani akabomoa akatanua uwanja...
  2. Suley2019

    JamiiForums Tanzania Ujanja ujanja na utengenezaji wa mazingira ya kibiashara Ofisi za Serikali

    Salaam ndugu zangu, Natumai wote mu wazima. Leo najaribu kugusia na kudokeza baadhi ya tabia za ujanja ujanja zinazofanyika nje ya Ofisi nyingi za umma. Walinzi au watu wa mapokezi wa sehemu hizi wamekuwa chambo Cha kufanya biashara ndogo ndogo wakitumia chambo Cha wananchi kusaka huduma...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Uto wataalamu wa kucheza nje ya uwanja: Ujanja wa hapa hapa, kimataifa majanga!

    Bahasha zilizoenda shule, kwa nini usishinde mfululizo?
  4. B4g3g3

    JamiiForums Tanzania Nimesolve Rubik cube nimefika hapa, nipeni ujanja

    Great thinkers, how do i solve this?
  5. britanicca

    JamiiForums Tanzania Miguna kosa kubwa karejea Kenya, Lissu na Lema kunani?

    Kosa la kumuapisha mtu bila ridhaa ya taasisi husika ni kosa kubwa sana! Miguna miguna alimuapisha Odinga na karejea Kenya baada ya muda mrefu kuwa Canada! Je, kuna tishio lolote Lissu na Lema kurejea nchini? Au kuna ujanja ujanja fulani ambao unawafanya kujificha kwenye kivuli cha exile...
  6. Samia atosha tukutane2030

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ambao tunafunga goli 2 bila kupumzika tukutane hapa tupeane ujanja zaidi tuweze kupiga tatu

    Uchawi wa mwanaume kwa mwanamke upo wa aina 2 tu; 1. Pesa - Hii itamvuta aje kwako. 2. Kumfikisha Mlima Kilimanjaro - Hii itamfanya uingie moyoni kwake sana sana. Sasa ili umfikishe Kilimanjaro hapa inategemea na show yako. Mwingine dakika 2, 3, 4 na wengine kwasababu za kimaumbile na kihisia...
  7. F

    JamiiForums Tanzania Ma cashier wa mwendo kasi wana ujanja wa kuuza ticket za mwanafunzi kwa watu wazima kisha kinachozidi 450 ni chao.

    Habari za jioni Kwenye mwendokasi dar ma cashier wajanja sana. Nauli ya mwanafunzi ni 200 Nauli ya mtu mzima ni 650. Hizi tiket za mwanafunzi na mtu mzima zinafanana kila kitu tofauti ni maandishi ya bei tu. Ma cashier huwa wana tabia ya kuprint tiket nyingi wakiwa wenyewe.. kisha wateja...
  8. C

    JamiiForums Tanzania SoC02 Mjadala wa wachezaji 12 wa kigeni kwenye ligi kuu Tanzania bara; bado hatui tulipojikwaa?

    Kama kuna biashara inayolipa sasa hivi ni biashara ya mpira wa miguu na vyote vinavyohusiana navyo,hapa nazungumzia biashara kama kuuza na kununua wachezaji,kuuza jezi na vifaa vya klabu,kuonyesha mpira,vituo vya runinga vinalipa fedha ili kupata haki za kurusha matangazo,udhamini mbalimbali...
  9. MK254

    JamiiForums Tanzania Ukraine watumia ujanja wa kutengeneza HIMARS za mbao, Urusi wanazipiga na kutangaza

    Jameni Mrusi anateswa hadi basi tu, Ukraine wamekua wanatengeneza mifano ya HIMARS za mbao, kisha wanazianika Urusi wanazinyeshea kwa mvua ya mizinga kisha wanatangaza "leo tumelipua HIMARS 20".... Ukraine is reportedly using wooden decoys of advanced US rocket systems to trick Russia into...
  10. JAMBONIA LTD

    JamiiForums Tanzania Huduma ya online copy haipo katika website ya nida

    Habari wakuu, huduma ya online copy haipo katika website ya nida ila kuna wataalam huwa wanauwezo wa kuzipata. Hivi ujanja gani wa kiteknolojia hutumika?
  11. M

    JamiiForums Tanzania Safi Sana: Marekani na ujanja wake kaingizwa mkenge na Venezuela kuhusu kuuziwa mafuta

    Iko hivi, Marekani kwa kutaka kuikomoa Urusi wakapata mawazo ya kugomea kununua mafuta Yao. Lakini kabla hawajafikia muafaka wa kugomea mafuta ya Urusi wakaona watafuta chanzo mbadala Cha mafuta. Hapo ndio wakapata wazo la kuiomba Venezuela kwa Raid Maduro waweze kuànza téna kuchukia mafuta huko...
  12. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini Udanganyifu, Ujanja Ujanja, Uongo Uongo, Umejaa Sana kwenye Jamii Yetu?

    Fanya utafiti wako mdogo kwenye jamii jamii yetu utagundua kuna changamoto kubwa sana ya uaminifu karibu kwenye nyanja zote, kazini, kwenye biashara, mahusiano, siasa na hata kwenye masuala ya kiimani. Kiwango cha watu kuonesha udanganyifu, wizi, uongo, ujanja ujanja, ni kikubwa mno. Waajiri...
  13. ommytk

    JamiiForums Tanzania Kigamboni wekeni vibao barabara zile mbili pale feri zenye no entry sio vile vibao vya ujanja

    Uongozi wa kigamboni kuna barabara mbili pale feri ambazo kwasasa zinapita njia moja japo zina michoro ya njia mbili na kipindi cha nyuma zilikuwa zinatumika kama njia mbili tunaomba muweke alama zinazoonekana na zinazokataza gari kuingia. Katika njia hizo ⛔ pale mwanzo kuingia na sio vile...
  14. benzemah

    JamiiForums Tanzania Ujanja wa Rais Samia kwa Museveni

    Rais wa Tanzania, Mhe Samia Suluhu Hassan na Rais wa Uganda Mhe. Yoweri Museveni, leo wameshiriki uzinduzi wa Shule ya awali na msingi Museveni iliyojengwa katika kijiji cha Nyabilezi, Chato mkoani Geita. Shule hiyo imejengwa kwa gharama ya takribani Dola za Kimarekani Milioni 1.67...
  15. Baraka21

    JamiiForums Tanzania Waziri Mkuu Kassim Majaliwa acha siasa za ujanja ujanja

    Jana wakati unakataa kuzindua barabara pale Liwale ulimuuliza Injinia kwanini taa hazijawekwa. Injinia alipoanza kufunguka ukamkatiza maana ulijua atasema ukweli na wadanganyika wakakushangilia. Pia kipindi kile unakagua mradi wa DART ulimuuliza swali Mkurugenzi akaanza kufunguka ukamkatiza...
  16. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Kitendo cha Yanga kumleta Koffi Olomide ni ujanja wa kujaza uwanja kwenye siku ya Wananchi, hawana watu wala nini

    Ikiwa kama tunataka kupima uwezo wa timu kujaza mashabiki kwenye kinachoitwa Yanga Day , basi ni vema tuache kujidanganya kutumia ujanja ujanja kama huu ambao yanga wanautumia. Kitendo cha kumleta Mopao uwanjani hii inamaanisha hata mimi Mwanasimba lazima nihudhurie tu , sisi wengine ni wapenzi...
  17. Vanlizerfx__

    JamiiForums Tanzania Huu wizi TCRA hawajawahi kuusikia au kuna ujanja unafanyika?

    Kama uliwahi kuweka vocha kwenye simu yako alafu ukakuta ile hela uliyoweka haipo na wala hujaitumia, ulishawahi jiuliza inaenda wapi nini kifanyike ili kuzuia wizi wa namna, nini kinafanyika kuzuia wizi wa aina hiyo. “Kumekuwa na malalamiko kutoka kwa wananchi kwamba wanapoteza pesa kujiunga...
  18. Kasomi

    JamiiForums Tanzania Upande wa pili wa Matumizi ya Meter Box

    Habari wakuu leo katika utundu wangu nimegundua kwamba meter box ina matumizi mengi sana zaidi ya kutumika katika ulipaji wa umeme. Naam, Nitawadokeza jinsi ya kutumia meter box kuangalia vitu vingine Moja ya matumizi ya Meter ni kuangalia tarehe na saa/Mda Nisiwachoshe ni kama ifuatavyo Jinsi...
  19. S

    JamiiForums Tanzania Malalamiko ya mbunge wa Mbogwe yasipuuzwe. Anadai wanalipwa mil 3.8. Hataki kufanya ujanja ujanja kama wabunge wengine. Ni ujanja gani?

    Mbunge wa Jimbo la Mbogwe ameendelea kukazia zege kauli yake aliyoitoa bungeni juu ya maslahi ya wabunge. Anadai yeye ni msema kweli daima, ameokoka na hataki kufanya yasiyopendeza Mungu. Amefunguka kwa kusema kuwa wabunge wanalipwa milioni 3.8 tu. Ambazo kimsingi hazitoshi kwa kazi...
  20. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Jihadhari na 'usanii' huu wanaoutumia watoto wa shule za msingi kujipatia pesa toka kwa watu wazima

    Katika Kuonyesha kuwa Watoto wa Kizazi cha akina Kikwete na Magufuli huenda wakawa ni Werevu kuliko Kizazi chetu cha akina Nyerere na Mwinyi wameanza kuwa ' Wabunifu ' katika Kujipatia Pesa kwa ' Style ' ya Kipekee kabisa. Wanajikusanya Watoto kama Watano (5) hivi kisha wanakaa katika njia...
Back
Top Bottom