Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,471
- 23,744
Dar Es Salaam mzee wangu alikuwa anataniwa na rafiki majirani Wazaramo ...." We wakuja" anacheka sana. Akawa anawatizama tu anacheka.
Leo hii wale waliokuwa wanamwita mzee mshamba wameenda kuishi huko Kisarawe na Mbele ya Vikindu. Mzee alinunua nyumba zao pale Jirani akabomoa akatanua uwanja.
Juzi juzi hapa wamekuja waliokuwa majirani wawili kumtembelea mzee pale home. Wamechoka saaana. Wamebaki na maneno mengi tu mdomoni mfukoni choka mbaya.
Mzee kawatembeza eneo letu. Kuna ng'ombe mle ndani kuna bustani ya mboga mboga na kuna bustani ya maua nzuri. Amewazungusha wanashangaa.... Mzee anawauliza haya nyie Wazaramo nani sasa wakuja kati yangu na nyie.
Kwa kweli wamebaki wanashangaa. Mzee wangu alitoka Bara miaka ya 50s huko. Sisi tumezaliwa na kukulia Dar. Bado tunajisikia Fahari kuwa Wabara. Dsm imejengwa na wageni. Hawa hawa mnaowaita washamba.
Angalia Jiji la Dar. Limetawaliwa na
1. Wasukuma
2. Wanyakyusa
3. Wahaya
4. Wachaga
5. Wakinga
Na kule Mjini utakuta Wahindi.
Nikawaza nikagundua Ushamba wa Wabara una ujanja kuliko Ujanja wa Wapwani. Hawa wanasema waliwafundisha wabara Kiswahili. Miaka ile wanasema walimfundisha Nyerere kuvaa... Nawatizama nasema Hiiiiiiiiiii.....
Leo hii wale waliokuwa wanamwita mzee mshamba wameenda kuishi huko Kisarawe na Mbele ya Vikindu. Mzee alinunua nyumba zao pale Jirani akabomoa akatanua uwanja.
Juzi juzi hapa wamekuja waliokuwa majirani wawili kumtembelea mzee pale home. Wamechoka saaana. Wamebaki na maneno mengi tu mdomoni mfukoni choka mbaya.
Mzee kawatembeza eneo letu. Kuna ng'ombe mle ndani kuna bustani ya mboga mboga na kuna bustani ya maua nzuri. Amewazungusha wanashangaa.... Mzee anawauliza haya nyie Wazaramo nani sasa wakuja kati yangu na nyie.
Kwa kweli wamebaki wanashangaa. Mzee wangu alitoka Bara miaka ya 50s huko. Sisi tumezaliwa na kukulia Dar. Bado tunajisikia Fahari kuwa Wabara. Dsm imejengwa na wageni. Hawa hawa mnaowaita washamba.
Angalia Jiji la Dar. Limetawaliwa na
1. Wasukuma
2. Wanyakyusa
3. Wahaya
4. Wachaga
5. Wakinga
Na kule Mjini utakuta Wahindi.
Nikawaza nikagundua Ushamba wa Wabara una ujanja kuliko Ujanja wa Wapwani. Hawa wanasema waliwafundisha wabara Kiswahili. Miaka ile wanasema walimfundisha Nyerere kuvaa... Nawatizama nasema Hiiiiiiiiiii.....