udsm

The University of Dar es Salaam (UDSM) is a public university in Dar es Salaam, Tanzania. It was established in 1961 as an affiliate college of the University of London. The university became an affiliate of the University of East Africa (UEA) in 1963, shortly after Tanzania gained its independence from the United Kingdom. In 1970, UEA split into three independent universities: Makerere University in Uganda, the University of Nairobi in Kenya, and the University of Dar es Salaam.

View More On Wikipedia.org
  1. mdukuzi

    UDSM itenge eneo la makaburi kwa wahadhiri wake

    Ukiacha JWTZ taasisi inayomiliki ardhi kubwa katika mkoa wa DSM ni Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam, na kutokana na kuwa chuo hiki kimetoa wahadhiri mahiri wenye kuheshimika duniani ambao walikuwa busy kufundisha mpaka kusahau kujenga makwao ni muda sasa chuo kuwatengea sehemu ya malalo ya kudumu...
  2. Jamii Opportunities

    Job Opportunities at UDSM

    UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM VACANCIES The University of Dar es Salaam invites applications from suitably qualified Tanzanians to be considered for immediate employment to fill the following vacant posts: ACADEMIC POSITIONS 1. COLLEGE OF SOCIAL SCIENCES (CoSS) a. Department of Statistics...
  3. TheDreamer Thebeliever

    Kabla ya kumjadili Kenani Kihongosi turejee kisa cha Hayati Samwel Sita na harakati zake pale UDSM

    Habari wadau! Juzi watu walikuwa wanapiga kelele kitendo cha mkuu wa wilaya Kenani Kihongosi kutandika viboko wale wahuni walioiba madawati ya shule. Binafsi nikawa na cheka tu maana akanikumbusha kisa cha Hayati Mwalimu JK Nyerere na mzee wetu spika wa mstaafu Hayati Samweli Sita (Mungu...
  4. L

    Jamani nahitaji msaada kwa wanafunzi wanaosoma UDSM

    Kama nlivoanza hapo juu nahitaji msaada kwa wanafunzi wanaosoma UDSM au chuo chochote. Ni kuhusu course yangu ya Bachelor of art in language nahitaji kufanya online registration na sielewi nfanye chaguo kwa ktk linguistic na English lang au linguistic na kiswahili? Naomben msaada ushaur wenu n...
  5. Valencia_UPV

    UDSM Marathon hiyo Kwio!

    UDSM hakika mmejitahid kuandaa marathon matata nchini. Kongole. Ila mnabidi mwakani mjipange zaidi. 1. Usalama wa washiriki barabarani haukuzingatiwa (magari yaliendelea kupita wakati marathon inaendelea). 2. Hakukuwa na MC mahsusi wa shughuli nzima, zaidi wale wa kujitolea, 3. Finish line...
  6. GENTAMYCINE

    Hongereni sana TAKUKURU ( PCCB ) kwa Kuvitaja Vyuo Vikuu vya UDSM na UDOM ndiyo Vinara wa Rushwa ya Ngono

    TAKUKURU YABAINI VYUO VYA UDSM NA UDOM KUWA VINARA WA RUSHWA YA NGONO NCHINI Habari Kamili Gazeti la Nipashe la Leo ukurasa wa Pili. Nashukuru sana Chuo Kikuu changu bora na tukuka kabisa cha SAUT hakina huu Uhuni na Upuuzi na ndiyo maana kinatoa Geniuses tupu Tanzania.
  7. Makanyaga

    Vyumba vya wanafunzi vya kupanga karibu na maeneo ya UDSM

    Kwa wale wote wanaohitaji kupanga Hostel karibu au jirani na maeneo ya UDSM, ARU, Chuo cha TAKWIMU mnakaribishwa. Hostel ipo Changanyikeni. Ina fensi, maji pia na umeme. Uwanja una peving na vyumba vyote vina Ceiling Board. Baadhi ya vyumba ni self contained na vina tiles. Vyumba vipo bei...
  8. E

    Namtafuta anayesoma masters ya uchumi UDSM

    Habarini za Leo wakuu, Namtafuta mtu anayesoma masters ya Uchumi UDSM. Kama yupo hapa ajitokeze
  9. analysti

    Admission Letters + Joining Instructions - UDSM

    Wakuu, habari za majukumu. Naomba kujuzwa, UDSM wanatoa lini admission letters na Joining Instructions, maana siku zinazidi kusonga wazazi hatujui ni nini kinahitajika mpaka sasa.
  10. P Accountant

    UDSM, first year students 2020/2021

    Habari za wakati huu, Wale tuliochanguliwa UDSM kwa mwaka wa masomo 2020/2021, karibuni tupeane details zinazoendelea kwa ajiri ya joining instructions, Admission letter na hata taratibu mbalimbali za chuo. Wakongwe pia wa UDSM karibuni kwa maoni yenu, ushauri na hata mtupe taswira ya...
  11. Johnyy

    Gpa ya3.7Diploma ntapata kwel UDSM Bcom Accounts

    Wana jf,GPA ya diploma inasoma 3.7 ndoto kuingia UDSM kwa competition iliyopo pale ntapata kweli??
  12. Johnyy

    Ni vipi vigezo vya kuingia UDSM kwa njia ya Diploma?

    Wana JF, From diploma to best uni (UDSM) inahitaji sifa zipi na idadi inayodahiliwa ni kubwa au?
  13. T

    Msaada: Tofauti ya Bsc. In Chemistry- UDSM na Bsc. In Chemistry- MUCE.

    Habari wakuu naomba kufahamu kama hizo course zinatumia mtaala mmoja,
  14. tang'ana

    Academic promotions at udsm

    Hongera sana wasomi wetu.
  15. GENTAMYCINE

    Ulipokuwa UDSM nakumbuka ulisema kuwa 'Unateua' tu 'Wasomi' hasa wenye 'Masters' na 'Doctorates' pekee katika Serikali yako, leo Kulikoni umegeuka?

    "UONGOZI SIO MADEGREE" MAGUFULI "Uongozi sio Madgree, ni kipaji unachopewa na Mungu, Mbunge wenu Lusinde ni Kijana mzuri anafanya kazi nzuri, ndio maana ni Mjumbe wa NEC,niliahidi Barabara ya lami KM 16 kutoka Mlowa hadi Mvumi, RC njoo nikuagize tumalizane hapahapa,zege halilali"-JPM akiwa...
  16. and 998 others

    Matriculation Exam UDSM ilipunguza vilaza

    Wakuu mtakumbuka miaka ile kuingia UDSM hata Kama una Division One ya point 3 Lazima ufanye na kufaulu Matriculation Exam. Tofauti na Zama hizi za Dot.com jitu linamaliza chuo hata kuandika sentensi mbili za kiingereza halijui. Ptuu
  17. J

    Wanasiasa kama Tundu Lisu mnapotumia msamiati wa " Jalalani" mnakosa uzalendo kwa UDSM!

    Siyo jambo jema kwa mgombea urais wa JMT kupitia Chadema mh Tundu Lisu kupendelea kutumia neno la " wa majalalani" Kuna watu wanahusisha neno jalalani na wasomi wa vyuo vikuu hili siyo jambo jema kwa kweli. Maendeleo hayana vyama!
  18. P

    UDSM hii mmewakatisha na kupunguza ari ya kufanya kazi kwa hao vijana wenu

    UDSM mlitangaza nafasi kwa watumishi wa umma kuhamia, na katika tangazo lenu mliweka mpaka scale za mishahara kwa ambao watafanikiwa kupata nafasi hizo. Mdogo wangu ni mmoja wa watu waliofanikiwa kuomba nafasi hizo na kufanikiwa kupata! ana siku kadhaa sasa toka ameanza kazi hapo...
  19. Tripo9

    Umbea tu: Kwa wale vijana wa 1982 (Achana na kilaza Bashite) waliopitia UDSM hasa wa mabibo hostel yule mdada alikua anaitwa kitimoto yu wapi nowdays

    Niko naangalia video music ya Harmonize hapa ya "Falling in love". Kamtumia mke wake yule muitaliano kama Video Queen. Dah mweupe balaa kanikumbusha yule mdada wa miaka hiyo ya UDSM alikua akivuma sana hasa kwa waliokaa mabibo hostel alikua anataniwa kiti moto. Nadhani alikua Law yule. Yuko...
  20. Valencia_UPV

    Kelele za Muziki maeneo ya UDSM

    Wakuu nilipeleka mgonjwa pale kituo cha afya UDSM-Main Campus. Tukiwa pale Kama masaa MAWILI mfululizo. Panapigwa muziki kwa kelele zote. Najiuliza wanafunzi na wagonjwa wanawezaje kuhimili Yale makelele? Serikali ya mtaa, Chukueni hatua
Back
Top Bottom