UDSM Marathon hiyo Kwio!

Valencia_UPV

JF-Expert Member
Mar 31, 2016
6,223
7,406
UDSM hakika mmejitahid kuandaa marathon matata nchini. Kongole. Ila mnabidi mwakani mjipange zaidi.
1. Usalama wa washiriki barabarani haukuzingatiwa (magari yaliendelea kupita wakati marathon inaendelea).
2. Hakukuwa na MC mahsusi wa shughuli nzima, zaidi wale wa kujitolea,
3. Finish line ilikua na watu kibao wanaselfika wakati marathoners wanarudi (ngumu kutambua mshindi halisi).
4. Medali hazina ubora kabisa (chuma lililoveshwa kamba).
 

Attachments

  • udsmmarathon_20201205_233144_4.jpg
    udsmmarathon_20201205_233144_4.jpg
    77.1 KB · Views: 55
  • udsmmarathon_20201205_233144_5.jpg
    udsmmarathon_20201205_233144_5.jpg
    104.8 KB · Views: 46
  • udsmmarathon_20201205_233144_0.jpg
    udsmmarathon_20201205_233144_0.jpg
    117.1 KB · Views: 43
Hizi marathon zimekuwa nyingi mpaka tunakosa muda wakujiandaa, maana kule kuna "fursa" nyingi mno
 
Back
Top Bottom