Ubovu wa barabara kipande cha Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kama unaenda Changanyikeni

Matope

JF-Expert Member
Apr 29, 2009
892
679
Wajameni kwa kweli nimeona nilete hii hoja hapa angalau inaweza fanyiwa kazi. Kutoka geti la Chuo Kikuu Dar es Salaam kama unaenda Msewe kwenda geti la kutokea kama unaenda Changanyikeni katikati au jirani na School of Education.

Kuna mashimo mawili ni kama choo. Gari zinapita upande mmoja tu ikitokea bahati mbaya ukakanyaga haya mashimo ujue unenda kubadilisha tairi na kunyoosha rim.

Tatizo liko wapi wakuu chuo chetu kinazalisha enginers kibao wa barabara kuziba haya mashimo hata kwa udongo tatizo liko wapi?

Miezi miwili nyuma kipande cha mbele cha Changanyikeni kililekebishwa why upande wa Chuo Kikuu barabara iwe na mashimo makubwa kiasi hicho?

Gari kibao zimeshaharibu tairi na zinaendelea kuharibu kila siku.

Msaada wenu kurekebisha hayo maeneo wapeni hata vijana wa engineering wazibe kama field yako wajameni.
 
Wajameni kwa kweli nimeona nilete hii hoja hapa angalau inaweza fanyiwa kazi. Kutoka geti la Chuo Kikuu Dar es Salaam kama unaenda Msewe kwenda geti la kutokea kama unaenda Changanyikeni katikati au jirani na School of Education.

Kuna mashimo mawili ni kama choo. Gari zinapita upande mmoja tu ikitokea bahati mbaya ukakanyaga haya mashimo ujue unenda kubadilisha tairi na kunyoosha rim.

Tatizo liko wapi wakuu chuo chetu kinazalisha enginers kibao wa barabara kuziba haya mashimo hata kwa udongo tatizo liko wapi?

Miezi miwili nyuma kipande cha mbele cha Changanyikeni kililekebishwa why upande wa Chuo Kikuu barabara iwe na mashimo makubwa kiasi hicho?

Gari kibao zimeshaharibu tairi na zinaendelea kuharibu kila siku.

Msaada wenu kurekebisha hayo maeneo wapeni hata vijana wa engineering wazibe kama field yako wajameni.
Tunyweni bia jamani
 
Huyu mkandarasi aliyepewa barabara ya makongo anajielewa kweli, zaidi ya miaka mitano hakuna kinachoeleweka na msimu wa mvua unakaribia.......hivi hawa wakandarasi uchwara huwa mnawaokota wapi?
 
Wajameni kwa kweli nimeona nilete hii hoja hapa angalau inaweza fanyiwa kazi. Kutoka geti la Chuo Kikuu Dar es Salaam kama unaenda Msewe kwenda geti la kutokea kama unaenda Changanyikeni katikati au jirani na School of Education.

Kuna mashimo mawili ni kama choo. Gari zinapita upande mmoja tu ikitokea bahati mbaya ukakanyaga haya mashimo ujue unenda kubadilisha tairi na kunyoosha rim.

Tatizo liko wapi wakuu chuo chetu kinazalisha enginers kibao wa barabara kuziba haya mashimo hata kwa udongo tatizo liko wapi?

Miezi miwili nyuma kipande cha mbele cha Changanyikeni kililekebishwa why upande wa Chuo Kikuu barabara iwe na mashimo makubwa kiasi hicho?

Gari kibao zimeshaharibu tairi na zinaendelea kuharibu kila siku.

Msaada wenu kurekebisha hayo maeneo wapeni hata vijana wa engineering wazibe kama field yako wajameni.
Umeshindwa hata kupata picha ili i-support unachokisema ulikuwa na haraka haraka ya kuandika tu!

Sent from my TECNO KD7h using JamiiForums mobile app
 
Huyu mkandarasi aliyepewa barabara ya makongo anajielewa kweli, zaidi ya miaka mitano hakuna kinachoeleweka na msimu wa mvua unakaribia.......hivi hawa wakandarasi uchwara huwa mnawaokota wapi?
... Ten Parcent, Mkuu.
 
Umeshindwa hata kupata picha ili i-support unachokisema ulikuwa na haraka haraka ya kuandika tu!

Sent from my TECNO KD7h using JamiiForums mobile app
Mkuu haya mabandiko wanayapitia sana mara baada ya bandiko hili huwezi kuamini Changanyikeni kama Toronto tu yalizibwa yote fasta heku kwa Chuo Kikuuu chetu pendwa hongereni sana
 
Back
Top Bottom