Panya kafia kabatini Chuo Kikuu cha Dar es Salaam

Shift

JF-Expert Member
Oct 3, 2014
1,078
2,148
likuwa hospitali ya Temeke. Nilimuona mama mmoja mtu mzima na ambaye aliwahi kunihudumia wakati nasoma UDSM.

Saa sita wakati natoka nikamuona bado amekaa palepale. Kumuuliza akasema alistaahafu na anamsubiri mtoto wake ili amlipie apate huduma kwani baada ya ajira alitakiwa aongeze pesa nyingi ili apewe kitambulisho cha msataahafu.

Sikumuelewa kwani serikalini ukistaahafu unapewa kitambulisho cha kukuwezesha kutibuwa ww na mwenzawako. Nikaamua kufuatilia jambo hilo kuuujua kweli.

Nilitafuta wastaahafu kadhaa wa UD na wakanithibitishia kwamba ni kweli, niliumia sana.

Lakini katika kuulizia pia nikagundua kwamba kuna wastaahafu ambao tangu January mwaka huu hawajalipwa stahiki zao ikiwemo zawadi ya kukitumikia UD na nauli ya kurudia bara hii ni mbali na pensheni.

Nikaamua kuweka kambi UD hasa eneo maarufu kama mamalishe ili nipate ukweli wa haki za wastaahafu za nauli na tiba. Kambi yangu hiyo iliibua mengi ila leo tudurusu hayo mawili.

Bima ya afya suala ambalo naendelea kufuatilia niliambiwa kwamba NHIF walibadili taratibu ikiwemo kuondoa watoto above 18 na kutaka wastaahafu waondeze pesa ndipo watambulike.

Kwa mujibu wa ofisa mmoja mwaka huu wanategemea watu zaidi ya hamsini kustaahafu na wastaahafu hupewa zawadi na UD kulingana na muda wa utumishi na ngazi ya mshahara.

Kuna baadhi ya wastaahafu ambao ni kweli tangu wastaahafu wajalipwa nauli wala zawadi stahiki. Shida iko wapi, niliambiwa majalada yao yamekaliwa na afisa mmoja ofisi na Naibu Makamu Mkuu wa Chuo Utawala kwa madai kwamba kuna kiambatanisho kinakosekana.

Baada ya kuulizia sana nikaambiwa ni mojawapo ya nyaraka za UD yenyewe na wala sio kutoka nje

Hapa najiuliza km inachukua mwezi au zaidi kupata kiambatanisho from within the organization je itachukua muda gani kupata kibali cha Wizara au hata Ikulu?

Baada ya kudodosa sana niliushia kuchekwa na kuulizwa, we dada ninmgeni hapa mjini? Tangu lini mkono mtupu ukalamwa. Penye udhia waandie hao vikongwe watumbukize rupia.

Hivi ni kweli wakuu wa UD hawaisikii harufu ya panya mfu ndani ya ofisi zao au nao harufu hiyo inawasaidia kuishi mjini?
 
likuwa hospitali ya Temeke. Nilimuona mama mmoja mtu mzima na ambaye aliwahi kunihudumia wakati nasoma UDSM.

Saa sita wakati natoka nikamuona bado amekaa palepale. Kumuuliza akasema alistaahafu na anamsubiri mtoto wake ili amlipie apate huduma kwani baada ya ajira alitakiwa aongeze pesa nyingi ili apewe kitambulisho cha msataahafu.

Sikumuelewa kwani serikalini ukistaahafu unapewa kitambulisho cha kukuwezesha kutibuwa ww na mwenzawako. Nikaamua kufuatilia jambo hilo kuuujua kweli.

Nilitafuta wastaahafu kadhaa wa UD na wakanithibitishia kwamba ni kweli, niliumia sana.

Lakini katika kuulizia pia nikagundua kwamba kuna wastaahafu ambao tangu January mwaka huu hawajalipwa stahiki zao ikiwemo zawadi ya kukitumikia UD na nauli ya kurudia bara hii ni mbali na pensheni.

Nikaamua kuweka kambi UD hasa eneo maarufu kama mamalishe ili nipate ukweli wa haki za wastaahafu za nauli na tiba. Kambi yangu hiyo iliibua mengi ila leo tudurusu hayo mawili.

Bima ya afya suala ambalo naendelea kufuatilia niliambiwa kwamba NHIF walibadili taratibu ikiwemo kuondoa watoto above 18 na kutaka wastaahafu waondeze pesa ndipo watambulike.

Kwa mujibu wa ofisa mmoja mwaka huu wanategemea watu zaidi ya hamsini kustaahafu na wastaahafu hupewa zawadi na UD kulingana na muda wa utumishi na ngazi ya mshahara.

Kuna baadhi ya wastaahafu ambao ni kweli tangu wastaahafu wajalipwa nauli wala zawadi stahiki. Shida iko wapi, niliambiwa majalada yao yamekaliwa na afisa mmoja ofisi na Naibu Makamu Mkuu wa Chuo Utawala kwa madai kwamba kuna kiambatanisho kinakosekana.

Baada ya kuulizia sana nikaambiwa ni mojawapo ya nyaraka za UD yenyewe na wala sio kutoka nje

Hapa najiuliza km inachukua mwezi au zaidi kupata kiambatanisho from within the organization je itachukua muda gani kupata kibali cha Wizara au hata Ikulu?

Baada ya kudodosa sana niliushia kuchekwa na kuulizwa, we dada ninmgeni hapa mjini? Tangu lini mkono mtupu ukalamwa. Penye udhia waandie hao vikongwe watumbukize rupia.

Hivi ni kweli wakuu wa UD hawaisikii harufu ya panya mfu ndani ya ofisi zao au nao harufu hiyo inawasaidia kuishi mjini?
Hayo mashirika yote NSSF NHIF Meko alishayaua kimyakimya hayana meno hela zao zilishakopwa na serikali kutekeleza mradi mikibwa ambayo hamlets faida Leo. Kwahiyo hawana cash wanacheza delaying tactics ku buy time
 
L
Kwa mujibu wa PCCB, hii ni taarifa tosha ya kitengo husika na rushwa.
Usije sikia kesho wanapiga hodi.
Hata Mama Samia anapitia hii mitanda.
Asante lakini.
 
likuwa hospitali ya Temeke. Nilimuona mama mmoja mtu mzima na ambaye aliwahi kunihudumia wakati nasoma UDSM.

Saa sita wakati natoka nikamuona bado amekaa palepale. Kumuuliza akasema alistaahafu na anamsubiri mtoto wake ili amlipie apate huduma kwani baada ya ajira alitakiwa aongeze pesa nyingi ili apewe kitambulisho cha msataahafu.

Sikumuelewa kwani serikalini ukistaahafu unapewa kitambulisho cha kukuwezesha kutibuwa ww na mwenzawako. Nikaamua kufuatilia jambo hilo kuuujua kweli.

Nilitafuta wastaahafu kadhaa wa UD na wakanithibitishia kwamba ni kweli, niliumia sana.

Lakini katika kuulizia pia nikagundua kwamba kuna wastaahafu ambao tangu January mwaka huu hawajalipwa stahiki zao ikiwemo zawadi ya kukitumikia UD na nauli ya kurudia bara hii ni mbali na pensheni.

Nikaamua kuweka kambi UD hasa eneo maarufu kama mamalishe ili nipate ukweli wa haki za wastaahafu za nauli na tiba. Kambi yangu hiyo iliibua mengi ila leo tudurusu hayo mawili.

Bima ya afya suala ambalo naendelea kufuatilia niliambiwa kwamba NHIF walibadili taratibu ikiwemo kuondoa watoto above 18 na kutaka wastaahafu waondeze pesa ndipo watambulike.

Kwa mujibu wa ofisa mmoja mwaka huu wanategemea watu zaidi ya hamsini kustaahafu na wastaahafu hupewa zawadi na UD kulingana na muda wa utumishi na ngazi ya mshahara.

Kuna baadhi ya wastaahafu ambao ni kweli tangu wastaahafu wajalipwa nauli wala zawadi stahiki. Shida iko wapi, niliambiwa majalada yao yamekaliwa na afisa mmoja ofisi na Naibu Makamu Mkuu wa Chuo Utawala kwa madai kwamba kuna kiambatanisho kinakosekana.

Baada ya kuulizia sana nikaambiwa ni mojawapo ya nyaraka za UD yenyewe na wala sio kutoka nje

Hapa najiuliza km inachukua mwezi au zaidi kupata kiambatanisho from within the organization je itachukua muda gani kupata kibali cha Wizara au hata Ikulu?

Baada ya kudodosa sana niliushia kuchekwa na kuulizwa, we dada ninmgeni hapa mjini? Tangu lini mkono mtupu ukalamwa. Penye udhia waandie hao vikongwe watumbukize rupia.

Hivi ni kweli wakuu wa UD hawaisikii harufu ya panya mfu ndani ya ofisi zao au nao harufu hiyo inawasaidia kuishi mjini?
genrally ukistaaf unarudisha kadi ya bima, labda kama kuna special arrangement kati ya mwajiri na bima
hapa naongelea nhif
na hata hizo arrangement zina exclude madogo irrespective of their age
 
likuwa hospitali ya Temeke. Nilimuona mama mmoja mtu mzima na ambaye aliwahi kunihudumia wakati nasoma UDSM.

Saa sita wakati natoka nikamuona bado amekaa palepale. Kumuuliza akasema alistaahafu na anamsubiri mtoto wake ili amlipie apate huduma kwani baada ya ajira alitakiwa aongeze pesa nyingi ili apewe kitambulisho cha msataahafu.

Sikumuelewa kwani serikalini ukistaahafu unapewa kitambulisho cha kukuwezesha kutibuwa ww na mwenzawako. Nikaamua kufuatilia jambo hilo kuuujua kweli.

Nilitafuta wastaahafu kadhaa wa UD na wakanithibitishia kwamba ni kweli, niliumia sana.

Lakini katika kuulizia pia nikagundua kwamba kuna wastaahafu ambao tangu January mwaka huu hawajalipwa stahiki zao ikiwemo zawadi ya kukitumikia UD na nauli ya kurudia bara hii ni mbali na pensheni.

Nikaamua kuweka kambi UD hasa eneo maarufu kama mamalishe ili nipate ukweli wa haki za wastaahafu za nauli na tiba. Kambi yangu hiyo iliibua mengi ila leo tudurusu hayo mawili.

Bima ya afya suala ambalo naendelea kufuatilia niliambiwa kwamba NHIF walibadili taratibu ikiwemo kuondoa watoto above 18 na kutaka wastaahafu waondeze pesa ndipo watambulike.

Kwa mujibu wa ofisa mmoja mwaka huu wanategemea watu zaidi ya hamsini kustaahafu na wastaahafu hupewa zawadi na UD kulingana na muda wa utumishi na ngazi ya mshahara.

Kuna baadhi ya wastaahafu ambao ni kweli tangu wastaahafu wajalipwa nauli wala zawadi stahiki. Shida iko wapi, niliambiwa majalada yao yamekaliwa na afisa mmoja ofisi na Naibu Makamu Mkuu wa Chuo Utawala kwa madai kwamba kuna kiambatanisho kinakosekana.

Baada ya kuulizia sana nikaambiwa ni mojawapo ya nyaraka za UD yenyewe na wala sio kutoka nje

Hapa najiuliza km inachukua mwezi au zaidi kupata kiambatanisho from within the organization je itachukua muda gani kupata kibali cha Wizara au hata Ikulu?

Baada ya kudodosa sana niliushia kuchekwa na kuulizwa, we dada ninmgeni hapa mjini? Tangu lini mkono mtupu ukalamwa. Penye udhia waandie hao vikongwe watumbukize rupia.

Hivi ni kweli wakuu wa UD hawaisikii harufu ya panya mfu ndani ya ofisi zao au nao harufu hiyo inawasaidia kuishi mjini?
Umeandika kwa ustaadi mkubwa sana.juna maprof wengi pale UD walishastaaf lakini bado utawaon coridoni pale UD,kumbe huwenda wanafuatilia mafao yao.wengine nilidhani wanafundisha evening clases,lakini nadhani ni zaidi ya hivyo

Poleni sana wasomi wetu,mmezalisha wasomi wengi sana,wengine ndiyo hao hao wanaowadharirisha leo
 
likuwa hospitali ya Temeke. Nilimuona mama mmoja mtu mzima na ambaye aliwahi kunihudumia wakati nasoma UDSM.

Saa sita wakati natoka nikamuona bado amekaa palepale. Kumuuliza akasema alistaahafu na anamsubiri mtoto wake ili amlipie apate huduma kwani baada ya ajira alitakiwa aongeze pesa nyingi ili apewe kitambulisho cha msataahafu.

Sikumuelewa kwani serikalini ukistaahafu unapewa kitambulisho cha kukuwezesha kutibuwa ww na mwenzawako. Nikaamua kufuatilia jambo hilo kuuujua kweli.

Nilitafuta wastaahafu kadhaa wa UD na wakanithibitishia kwamba ni kweli, niliumia sana.

Lakini katika kuulizia pia nikagundua kwamba kuna wastaahafu ambao tangu January mwaka huu hawajalipwa stahiki zao ikiwemo zawadi ya kukitumikia UD na nauli ya kurudia bara hii ni mbali na pensheni.

Nikaamua kuweka kambi UD hasa eneo maarufu kama mamalishe ili nipate ukweli wa haki za wastaahafu za nauli na tiba. Kambi yangu hiyo iliibua mengi ila leo tudurusu hayo mawili.

Bima ya afya suala ambalo naendelea kufuatilia niliambiwa kwamba NHIF walibadili taratibu ikiwemo kuondoa watoto above 18 na kutaka wastaahafu waondeze pesa ndipo watambulike.

Kwa mujibu wa ofisa mmoja mwaka huu wanategemea watu zaidi ya hamsini kustaahafu na wastaahafu hupewa zawadi na UD kulingana na muda wa utumishi na ngazi ya mshahara.

Kuna baadhi ya wastaahafu ambao ni kweli tangu wastaahafu wajalipwa nauli wala zawadi stahiki. Shida iko wapi, niliambiwa majalada yao yamekaliwa na afisa mmoja ofisi na Naibu Makamu Mkuu wa Chuo Utawala kwa madai kwamba kuna kiambatanisho kinakosekana.

Baada ya kuulizia sana nikaambiwa ni mojawapo ya nyaraka za UD yenyewe na wala sio kutoka nje

Hapa najiuliza km inachukua mwezi au zaidi kupata kiambatanisho from within the organization je itachukua muda gani kupata kibali cha Wizara au hata Ikulu?

Baada ya kudodosa sana niliushia kuchekwa na kuulizwa, we dada ninmgeni hapa mjini? Tangu lini mkono mtupu ukalamwa. Penye udhia waandie hao vikongwe watumbukize rupia.

Hivi ni kweli wakuu wa UD hawaisikii harufu ya panya mfu ndani ya ofisi zao au nao harufu hiyo inawasaidia kuishi mjini?
Baada ya kudodosa sana niliushia kuchekwa na kuulizwa, we dada ninmgeni hapa mjini? Tangu lini mkono mtupu ukalamwa. Penye udhia waandie hao vikongwe watumbukize rupia.

Hivi ni kweli wakuu wa UD hawaisikii harufu ya panya mfu ndani ya ofisi zao au nao harufu hiyo inawasaidia kuishi mjini?
 
Kama ni kweli UDSM ata wakija na utetezi bado hii ni kashfa kubwa sana.
Taasisi kama hii haikupaswa kuwa na madudu kama haya ukizingatia wanao wataalam wa kila nyanja.
 
Kama ni kweli UDSM ata wakija na utetezi bado hii ni kashfa kubwa sana.
Taasisi kama hii haikupaswa kuwa na madudu kama haya ukizingatia wanao wataalam wa kila nyanja.
Huamini? Muhulize mutu yoyote
 
Mafaili wanakaa nayo,walipewa taarifa kamili na viambatanisho vyote bila kukosekana hata kimoja.
Hatimayake unamwambia mtu hakuna baadhi ya viambatanisho,mmevila? Au mmeuza?Au mmefutia niniiii.Mbona kwenye makato hamtumi viambatanisho? Inamaana mnawalipa watu wasiona vigezo?
Basi wapeni watu wakae na mafaili yao wakimaliza walete taarifa zao.
 
Back
Top Bottom