Mganguzi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2022
- 1,032
- 2,769
Nawaza tu, endapo Magufuli angekuwepo leo;
1. Train ya umeme ingekuwa inapiga kazi usiku na mchana na serikali ingianza kuingiza pesa za kutosha.
2. Bwawa la Mwl. Nyerere lingeanza kuzalisha umeme wa kutosha na leo hii stori za kukatika umeme zisingekuwepo.
3. Kalemani angekuwa Waziri wa Nishati na Nape Nnauye bado angekuwa Mbunge wa kawaida.
4. Magufuli angekuwepo January Makamba angeendelea kuwa Mbunge wa kawaida na Paul Makonda angeteuliwa kuwa Mbunge wa kuteuliwa na sasa angekuwa Waziri wa Miundombinu.
5. Magufuli angekuwepo Lissu bado angekuwa Ubelgiji na Wamasai wasingeondolewa Ngorongoro.
6. Magufuli angekuwepo Sabaya kwa sasa angekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dodoma!
1. Train ya umeme ingekuwa inapiga kazi usiku na mchana na serikali ingianza kuingiza pesa za kutosha.
2. Bwawa la Mwl. Nyerere lingeanza kuzalisha umeme wa kutosha na leo hii stori za kukatika umeme zisingekuwepo.
3. Kalemani angekuwa Waziri wa Nishati na Nape Nnauye bado angekuwa Mbunge wa kawaida.
4. Magufuli angekuwepo January Makamba angeendelea kuwa Mbunge wa kawaida na Paul Makonda angeteuliwa kuwa Mbunge wa kuteuliwa na sasa angekuwa Waziri wa Miundombinu.
5. Magufuli angekuwepo Lissu bado angekuwa Ubelgiji na Wamasai wasingeondolewa Ngorongoro.
6. Magufuli angekuwepo Sabaya kwa sasa angekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dodoma!