Mimi niliambiwa Kuna watu wametumiwa na jana baadhi wamefuata baruaHili swali kila mtu anajiuliza maana mchakato haupo open kama wameshatuma email kwa watu au wanaendelea kutuma.Wapo wanaosema walitumiwa email jumapili ila mimi sijaskia yeyote ninayemjua katumiwa.Labda wanaojua watasema
Yeah ningekuwa nimesikia kutoka kwa watu ninaowafahamu atleast but kila unayemuuliza anasema hamnaMImi mwenyewe sina mtu yoyote aliyetumiwa email ndo napata mashaka
Tatizo hizi stori kila mtu anasikia tu na ndo itakua imetoka hiyo. Ni vyema wangesema kua sasa zoezi la kuchukua database limeisha na tushapata idadi tulioitaka. Simple sanaYeah ningekuwa nimesikia kutoka kwa watu ninaowafahamu atleast but kila unayemuuliza anasema hamna