Orodha ya changamoto ulizowahi kukutana nazo TRA

Orodha ya changamoto ulizowahi kukutana nazo TRA

TheForgotten Genious

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2014
Posts
2,787
Reaction score
4,262
Wakuu samahani naomba mtu yeyote aliyewahi kukutana na changamoto yoyote katika suala lolote linalohusiana na Huduma za TRA aandike hapa,itapendeza zaidi ukifafanua ugumu ulikuwa wapi,?

Zaidi naangazia katika malipo ya kodi,kujaza compliance,kutoa mzigo bandarini,kupitisha mzigo mpakani,nk.

Lakini changamoto yoyote ile naomba uandike hapa ninapitia.

ASANTENI
 
Kwann mtu akichelewa kufile return siku moja tuu fine ina anza 200k
mimi sijui ila kunakitu nakifanyia kazi ili kuleta maboresho kuzikabili changamoto zilizopo,nafikiri lengo ni kuharakisha zoezi la ulipaji,na hii yote ni kwa sababu mambo mengi yanafanyika manually,wakati yanaweza kuwa moderated with powerful impacts digitaly.

Mfano kila biashara ikiwa moderated na mfumo wa TRA,na kuchambuliwa na mfumo wa TRA,basi mfumo utatengeneza draft ya return ,kazi ya afisa itakuwa kupitia makosa madogomadogo na wewe kupitia kwa ajili ya objection,kama hakuna basi utaendelea na malipo.

Zaidi wanatumia nguvu sana badala ya maarifa.
 
mimi sijui ila kunakitu nakifanyia kazi ili kuleta maboresho kuzikabili changamoto zilizopo,nafikiri lengo ni kuharakisha zoezi la ulipaji,na hii yote ni kwa sababu mambo mengi yanafanyika manually,wakati yanaweza kuwa moderated with powerful impacts digitaly.

Mfano kila biashara ikiwa moderated na mfumo wa TRA,na kuchambuliwa na mfumo wa TRA,basi mfumo utatengeneza draft ya return ,kazi ya afisa itakuwa kupitia makosa madogomadogo na wewe kupitia kwa ajili ya objection,kama hakuna basi utaendelea na malipo.

Zaidi wanatumia nguvu sana badala ya maarifa.
Hujui ok wewe ni afisa wa Tra au mwanachuo upo kwenye dissertation
 
Elezea unachotaka kuwasilisha mkuu

Uplifting iko hivi mkuu:

1.Unaona gari kwenye mtandao na bei tajwa ni e.g. $ 3000.

2 Unajadliana na muuzaji na anakubali kukuuzia kwa e.g $ 2000

3. invoice na BOL vyote vinaonesha $2000 kama pesa uliyolipia kununua gari hiyo.

4. Ukifika TRA kulipia kodi ili kulikomboa gari hilo, TRA wanakuambia bei halisi ya hiyo gari ni e.g. $4000

5. Kwa hiyo gari unalipia kodi kwa kutumia makadiro waliyokuambia TRA ($4000) na siyo ile bei iliyo kwenye invoice ($2000).

6. Hayo makadirio ya mchongo ya bei ya gari i.e $4000 badala ya bei halisi ya invoice i.e. $2000 ndiyo "uplifting" yenyewe mkuu.
 
Nipe process za kufungua account ili nisajiri tin number
Fuata hii kiungo,kisha bofya "tin registration",kama ni kwa ajili ya buiashara chagua BUSINESS,kama,ni leseni ya udereva chagua INDIVIDUAL,then fuata maelekezo,kama una NIDA chagua kipengeli kilichoandika with NID,kama huna chagua kipengele cha pili.

 
Back
Top Bottom