coded and horror photos thread!!!

Quavohucho

JF-Expert Member
Aug 30, 2020
753
1,881
thread maalumu kwa ajili ya horror photo za kusisumua na za zenye ujumbe
279659686_1018704985437524_709387431776084798_n.jpg
277852287_684915946163829_8862707910316471636_n.jpg
291062284_137585335307330_4081544397158296922_n.jpg
 
thread maalumu kwa ajili ya horror photo za kusisumua na za zenye ujumbe
picha ya kwanza hao ni viumbe kama malaika wana mabawa ila yamefungu(kwaiyo hawawezi kupaa), wamevuliwa nguo(kuzalilishwa), wanavidonda (wanapitia mateso), nyuso zao zinaonyesha wasiwasi(hawana waoga), chini kuna Bomba za sindano na kuna wenzao waliojiinamia tu(kupoteza matumaini).

Maana:
1: kimwili: hii inaonesha jamii ya watu waliokuwa watiifu/wenye heshima ila wakafungwa na baadhi ya vitu (madawa ya kulevya, tamaa nk) na kujikuta wanapoteza Ile heshima/hadhi Yao wapo wanaojaribu kujipa mataini (hao wawili waliokumbatiana) na wapo waliojikatia tamaa.

2. Kiroho: hapo ni watu wale waliokuwa watakatifu/watiifu Kwa Mungu ila ulimwengu ukawafungu na kuwafanya wateseke kutokana na utii wao na hapo wanaojipa matumain ya kushinda majaribu(hao waliokumbatia) na wapo waliokata tamaa ya kuyashinda majaribu (hao wa pembeni walio jiinamia)

Ngoja nimalizie ambiance yangu kwanza alafu nirudi kuangalia tena vizuri
 
.
 

Attachments

  • 296213487_5966607100051038_6989571051597662298_n.jpg
    296213487_5966607100051038_6989571051597662298_n.jpg
    185.5 KB · Views: 38
Back
Top Bottom