Magharibi mwa Kenya, mkulima wa mahindi Josephat Ouma alipitia kwenye safu za mabua ya kijani akiwa na simu yake janja mkononi. Alisita na kuinama kabla ya kupiga picha ya jani lililokuwa linaonekana kupatwa ugonjwa.
"Zamani nilikuwa nikisubiri mtu aje kusaidia. Tena baadhi ya wakati alikuwa...
Na je, tuna sababu ya kuamini kuwa akili ya bandia ni rafiki wa binadamu?
Miezi kadhaa iliyopita, nilikuwa nikisikiliza vijana wawili wakijibizana katika basi la mwendo kasi kuhusu programu mpya ya simu inayoweza kumfanyia mtu kazi ya uandishi wa habari, tafsiri, na hata ushauri wa kisheria...
Gari ya cybertruck kama mwanamke yani ukitaka kupata rahaa lazima kumtayarisha ili utumie.
Sasa kitu ambacho nimefikiria haya magari kuleta bongo unaweza kulipark uwani na kufa mazima.
Gari ya cybertruck ukilipeka kuoshwa lazima ulitambulishe la sivyo litakugomea kufungua chochote na kuondoka...
Baadhi ya wananchi wamekumbana na changamoto ya kufungiwa namba zao za Nida kwasababu ya kutokuchukua kadi zao za Nida. Tatizo hili limesababishwa na serikali yenyewe kwasababu imekuwa ikitumia muda mrefu kutoa Vitambulisho na wananchi wengi kutokana na harakati za utafutaji wamejikuta wakihama...
Dunia ya Leo wanaomiliki bidhaa za kiteknolojia ndo wanamiliki ukwasi.
MTU Kama mirradayo , diamond n.k
Max Melo
Ili uwafikie sijui unabidi ufuge mbuzi wa ngapi na ulime heka ngapi
Dunia inashuhudia economic transformation kubwa Sana.
USHAWAHI ZURURA KWENY SIMU UAKO UKAKUTA NENO "NFC" 🥲 AU WATUMIA 😂 INFINIX okay
NFC NI KIFUPI CHA (Near Field Communication)
NFC ni teknolojia ya wireless communication inayoruhusu mawasiliano kati ya vifaa viwili vilivyo karibu (karibu cm 4–10).
Inatumika wapi?
Kufanya malipo (e.g...
Mbunge wa Jimbo la Siha ambaye ni Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Godwin Mollel amesema Sekta ya Afya imepiga hatua kubwa nchini kutokana na maendeleo mbalimbali yaliyofanyika kutokana na uwekezaji uliofanywa na Serikali.
Dkt. Godwin Mollel amesema Shilingi Trilioni 6.7 zilizotolewa na Serikali...
Wakuu,
Katika kada karibu zote tuko nyuma sana kitekknolojia, hata ambao ungetegemea wawe updated nao mambo ni yale yale.
Mfano waandishi wa habari, mambo yanabadilika kila leo, sasa tuna mitandao ya kijamii na nyenzo za kadhaa ambazo ukilinganisha na vinavyofundishwa huko vyuoni ni huzuni na...
2025 kama naona ndio ajira zinaelekea mwishoni nchi nyingi sana na afrika.
Sasa hakuna ulazima wa kuendesha magari wakati magari yana jiendesha.
Uwezi kuajiri wafanyakazi wengi wakati kuna mashine zinazoweza kufanya kazi zaidi ya wafanyakazi.
Jeshini na polisi nako naona marobot yanaanza...
Tanzania na Ufalme wa Morocco zimekubaliana kuimarisha ushirikiano wa matumizi ya teknolojia katika Sekta ya Nishati ili kuiwezesha sekta hiyo kuwa na mchango endelevu nchini.
Hayo yamebainishwa na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko alipokutana na Mwenyeji wake...
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo akisimulia mkasa wa Maderva wa Tanzania walivyokwama kuendesha magari Qatar licha ya kuwa ni wahitimu wa Chuo cha NIT, alisema hayo Mei 7, 2025 alipokutana na Wahariri wa Vyombo vya Habari, Dar es Salaam...
Wacha nikwambie kitu moja straight up bila kuzungusha — hii AI ni kama dope mpya ya kizazi cha dot com. Inakufanya ujione mwerevu, lakini deep down ina-slow kill akili zako. You feel me? Yani mtu anakaa home, hawezi hata kuandika paragraph bila kumtumia ChatGPT. Bro, that’s soft! That ain’t it...
Habarini wana JF;
Hebu tuchangamshe genge Kama Title inavyosomeka hapo juu,
Katika dunia ya sasa, teknolojia imekuwa sehemu muhimu ya maisha yetu. Simu zetu mahiri, mitandao ya kijamii, na majukwaa ya mawasiliano yamerahisisha sana kuwasiliana, lakini swali linabaki: Je, tunazidi kujitenga...
We fikiria,
Machimbo tu ya kariakoo watu wanafanya siri.
Wengine wanadai kusafiri kwa kutumia ungo, wengine wanatuma barua kwa njiwa, sasa kwanini wasiwajuze wenzao pia?
Yani kwanini watu wa kijijini watembee kwa miguu umbali mrefu km ungo upo?
Kama internet ingegunduliwa Africa, watu...
Wakuu,
Kama Ruge alivyosema aogopa sana Teknolojia na Mungu vinginevyo utaumbuka pabaya.
Kwenye press yao akina Mrema tukaowana wachawi, Mungu na Teknolojia ikawavua watu nguo:KEKWlaugh::KEKWlaugh::KEKLaugh:. Kwenye hiko kipande hapo Salum Mwalim akathibitishia umma kuwa wao ni mpango maalum...
JE, TEKNOLOJIA INATUIMARISHA AU INATUFANYA TUWE WAZEMBE?
Teknolojia imeleta maendeleo makubwa, lakini pia imeibua changamoto. Inawezesha maisha rahisi kwa kurahisisha kazi, kuongeza ufanisi, na kurahisisha mawasiliano. Watu wanapata elimu mtandaoni, fursa za ajira zimeongezeka, na dunia...
Jinsi Teknolojia Inavyoboresha Maisha ya Watu Wenye Ulemavu
Katika dunia ya leo ya kidijitali, teknolojia si tu nyenzo ya maendeleo bali pia mkombozi mkubwa kwa watu wenye ulemavu. Iwe ni ulemavu wa kuona, kusikia, kutembea au kujifunza, kuna suluhisho nyingi zinazorahisisha maisha na kuongeza...
Meta inatishia kufunga Facebook nchini Nigeria kutokana na kutozwa faini kubwa
Watu nchini Nigeria wanaweza kupoteza ufikiaji wa Facebook na Instagram baada ya kampuni mama ya Meta kusema ilikabiliwa na faini kubwa na matakwa ya udhibiti "yasiyo halisi" kutoka kwa mamlaka ya Nigeria.
Mwaka...
Nimewaza sana kuhusu CCM inavyoendesha nchi bila kukubari ukweli.
Mfano lile la afande muriro video zinaonekana polisi wanabeba watu mahakamani na kukana kusema sio polisi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.