Unahisi kuna lugha ngapi duniani?
6,500-7,117.
Tena hizi ni zile zinazojulikana na zikiwa kwenye hatari ya kupungua.
Vipi kuhusu zile ambazo hazijulikani?
Wewe je unajua na kuzungumza lugha ngapi mbali na Kiswahili, Kiingereza na lugha ya kabila yako (Kilugha)?
(Washiriki wa mafunzo ya...
I know there is a lot of things running in our heads when we hear or see the two terms Girls/ladies/women and Technology..
I will tell you what comes in so many People's minds and it's probably a true or verified assumption ......
Facebook ; As soon as you open your account there is a big...
Science and Technology
According to oxford reference science encompasses the systematic study of the structure and behavior of the physical and natural world through observation and experiment, and technology is the application of scientific knowledge for practical purposes.
Science and...
UTANGULIZI
Kila sifa njema anastahiki Mwenyezi. Ama baada, ningependa kuzibainisha nukta 03 zitakazo chambuliwa katika mnakasha huu.
01) Mapinduzi ya Viwanda kwa ujumla wake.
02) Hali ya Mapinduzi ya Viwanda Nchini Tanzania.
03) Mtazamo Juu ya Nini Kifanyike.
01) MAPINDUZI YA VIWANDA KWA...
Mifumo yetu ya malipo, Benki, utumaji pesa na ulipaji Kodi iendane na spidi ya Teknolojia (kutumia Blockchain technology).
Blockchain technology ni teknolojia mpya iliyogunduliwa mwaka 2008 na kushika kasi kuanzia 2014, ni mfumo madhubuti ambao ni ngumu Ku hack na kuiba data au pesa. kwa...
Mbezi, Dar es salaam ---- The capacities of mobile technology include enhanced communication via SMS messaging, as well as more accessible online education. Internet-based services are growing in popularity in developing nations, resulting in new jobs and revenue for people. Advances in mobile...
Tukiwaambia muache kulinganisha Nairobi na miji uchwara mnaona kama mnatukanwa...
Nairobi has been ranked as the only African city in the top 50 category of cities around the globe according to the 2021 Global Fintech Rankings. The city was ranked in position 37 ahead of Lagos which dropped to...
Habari wana board!
Namshukuru Mungu kwa uzima aliotukirimia, sifa, heshima na utukufu ni kwake Yeye Pekee!
Miaka 5 iliyopita nilianza kupata hamasa ya kujifunga mambo ya kuunda tovuti, hii ilichochewa na kuwepo kwa fursa nyingi sana ambazo mimi binafsi niliziona kwenye upate wa IT...
Two students of Kanga High school have invented a mobile phone application that will connect patients and doctors remotely.
The Covid-19 pandemic inspired the two, Ian Alindi and Keith Tren to come up with the invention owing to the fact that doctors risk their lives by being in contact with...
Habari ndugu zangu wana Jf,
Naombeni mwenye ufahamu kuhusu kozi ya microbiology na kpzi molecular biology and biotechnology anisaidie kunielezea baada ya kuhitimu wanafanya kazi gani hasa? uwezekano wa kupata kazi au kujiajiri kwa hapa Tanzania upoje
Hello bosses.
Kwenye technology yoyote ile kwa sasa kuna watu muhimu sana ambao wengi hawawafahamu bali wanaishia kuona maajabu yao tu, watu hao sio wengine bali ni COMPUTER PROGRAMMERS au SOFTWARE DEVELOPERS. Iwe unaangalia TV, una-surf mtandaoni, unacheza game au unafanya kitu chochote...
Habari wana jukwa kama nilivo eleza apo juu mim ni mtumiaji wa computer ila sina utundu nayo sana kwa undani baada yakununua yangu nina kama miezii sita ivi natumia sana san kwa matumizi ya mtandaoni pamoja na kujisomea coz napenda kusoma san mtandaoni.
1;je application gani nizamuhimu kuwa...
Kenya plans to leverage on alternative building technology in order to bridge the housing deficit, a government official said on Monday.
Gordon Kihalangwa, principal secretary, State Department of Public Works told journalists in Nairobi that use of technology such as expanded polystyrene (EPS)...
Hello bosses,
Niko hapa na-code huku naangalia Azamtv, kiukweli wana graphics kali sana. Sasa nikawa najiuliza hivi hio speed ya transmission inachezea kwenye mb/s ngapi kwa sababu nikisema niangalie video yenye quality hio kwa kutumia intaneti kwanza inabidi niwe na bando la kutosha na pia...
Habarini wana tech JF, katika pita pita zangu za kuwatch movie na nini, nikakutana na movie(sikuweza kulijua jina lake) inahusisha maswala ya pre crime technology ambayo kwa humo ndani police wanatumia science fulan kuzuia crimes kabla hazijatokea ni kama kuna namna kuna watu wanaprophesy next...
Habari zenu wadau,
Kuna technology mbalimbali hasa technology ya kuunda internet, technology kurusha kombora na rocket kupitia computer pia technology ya kuunda satelite na kuirusha angani.
Natamani na mimi kuwa miongoni mwa hao wenye ujuzi wa kuwa na hiyo technology ya kurusha ivo vitu na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.