Business information technology vs information technology.

ngotho

Senior Member
Jun 18, 2021
142
110
Wakuu naombeni ushauri wenu juu hizi kizi.
Kati y business information technology na information technology ipi ni nzuri zaidi..
naingia degree mwaka wa kwanza (business information technology) pale UDSM na tayari nimeshai-confirm.. but wengine wanasema et information technology ni bora zaidii ikiwezekana niende nibadilishe kozi nikiingia chuoni..
Japo mimi bado nimesimama kidete na hiyo business information technology.. kwa hiyo kabla sijafanya maamuzi yoyote tofauti na hayo ya nyuma, naombeni nyinyi pia mnishauri kulingana na uelewa wenu..
advance nimesoma egm .
Japo napenda sana mambo ya IT, .. sasa vip nipige IT alone au niipge IT na business?? Ushauri wenu wakuu....

Jamani msaada na ushauri wenu basi..
 
Nakuunga mkono fanya hiyo business with IT.
Business skills ni muhimu sana hasa kwenye kujiajiri.
Sawa Mkuu, bila shaka mpaka sasa nipo chuo napiga hiyo kozi, nipo UDBS partially na COICT kwa wale wa UDSM wanaelewa
 
Kozi usha chagua na uko chuoni unasoma kwanini unaleta uzi kama huu? Mkuu mbona kama hujuiamini?
Mkuu najiamini sana tena hii kozi naipenda sana.. huu uzi niliuleta mwaka jana mwezi wa kumi kipindi cha kuchagua kozi, naona wewe umechelewa kuuona huu uzi
 
Jee kama mtu ana F ya Math O level anaweza kusoma bila shida hii kozi ya bussiness Information Tech akianzia certificate?
 
Natumae mleta mada ulipata muongozo...
Ndiyo mkuu.. nilipata msaada wa kutosha na chaguzi nililolifanya ni sahihi kwangu.. imagine saiv napiga codding na niko hapa UDSM 💪..

Kumbe business information technology sio technology ndani ya biashara, bali ni biashara ndani ya technolojia..

Yaani tunapiga asilimia 98 ya IT na asilimia 2 ya biashara..

Masomo ya biashara tunasoma tu mwaka wa kwanza tu pamoja na (javascript, c na networking, ).
Kuanzia mwaka wa pili, masomo ya biashara yanakuwa OPTIONAL, ila IT inakua core hadi mwisho..

Kwa yeyote anayetaka hii cozi, asisite, ni kozi bomba sana, unaenjoy codding balaa💪.
 
Ndiyo mkuu.. nilipata msaada wa kutosha na chaguzi nililolifanya ni sahihi kwangu.. imagine saiv napiga codding na niko hapa UDSM ..

Kumbe business information technology sio technology ndani ya biashara, bali ni biashara ndani ya technolojia..

Yaani tunapiga asilimia 98 ya IT na asilimia 2 ya biashara..

Masomo ya biashara tunasoma tu mwaka wa kwanza tu pamoja na (javascript, c na networking, ).
Kuanzia mwaka wa pili, masomo ya biashara yanakuwa OPTIONAL, ila IT inakua core hadi mwisho..

Kwa yeyote anayetaka hii cozi, asisite, ni kozi bomba sana, unaenjoy codding balaa.
Asante sana kwa mrejesho.

#MaendeleoHayanaChama
 
Ndiyo mkuu.. nilipata msaada wa kutosha na chaguzi nililolifanya ni sahihi kwangu.. imagine saiv napiga codding na niko hapa UDSM 💪..

Kumbe business information technology sio technology ndani ya biashara, bali ni biashara ndani ya technolojia..

Yaani tunapiga asilimia 98 ya IT na asilimia 2 ya biashara..

Masomo ya biashara tunasoma tu mwaka wa kwanza tu pamoja na (javascript, c na networking, ).
Kuanzia mwaka wa pili, masomo ya biashara yanakuwa OPTIONAL, ila IT inakua core hadi mwisho..

Kwa yeyote anayetaka hii cozi, asisite, ni kozi bomba sana, unaenjoy codding balaa💪.
Inapendeza sana...
 
Back
Top Bottom